Kwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani?
Nashauri hivi, tembelea ndoto yako, usiforce mambo kwa sababu fulani.
Maisha ni wewe, ukiumia ni wewe, ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu, siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki.
Je,hapo...
Naitwa termux from (Tanganyika) Darusalaam Tupambane kwa ajili ya Tanzania bora na ya wazalendo.
•Nina furaha kujiunga na JF
Tanganyika kwanza (Tamaduni zetu na maadili yetu )
#Dini zilikuja
#Jina lilikuja
#Siasa zilikuja
Hello habari ya saizi wana jamii wenzangu naomba msaada nahitaji kusoma programming short course je kama kuna chuo chochote kinacho fundisha au nipeni namna nayoweza kusoma ila isiwe online
Wakuu, nilirequest mtonyo wangu uko NSSF ten days ago ambapo nilisubmit all recquirments.
Jana nimeangalia kwa account nimeandikiwa paid lakin nikaenda bank sijaona mtonyo, kwakua leo ni jumapili nmefail kuwafata ofisini hivyo naomba mwenye uelewa na haya mambo anieleweshe nini tatizo hapo...
Leo ni weekend ndio inaisha kesho ni kazi na mtu kuja nyumbani nyang'anyang'a nani Leo unamtakia wiki njema yenye baraka?? Mie ni JamiiForums wote na Lovelovie Nakadori To yeye Kalpana
Ni muuza magodoro hapa.
Nimefurahi kukutana nanyi jukwaani..
Nashukuru sana.
Karibu ujipatie godoro lako.
Tupo kariakoo dar es salaam
0712082915
Whatsapp
0684943062
KARIBUNI SANA
Jameni wana JF
Wazima??
Naomba muongozo kwa watu wanaouza mapochi ya jumla sio reja reja nitawapataje kama upo serious unataka kunisaidia kuniunganisha nao please ni inbox mie sitaki za mitumba nataka mzigo ambao ni pochi mpya .
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.