hello

  1. SweetyCandy

    I need a friend to text me love me and share good things

    I need a friend to text me love me and share good things
  2. To yeye

    Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

    Kwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani? Nashauri hivi, tembelea ndoto yako, usiforce mambo kwa sababu fulani. Maisha ni wewe, ukiumia ni wewe, ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu, siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki. Je,hapo...
  3. Anchor g

    Hello, New Member

    Mgeni kutokea +254, love you all jamii members
  4. Termux

    Hello JF Termux

    Naitwa termux from (Tanganyika) Darusalaam Tupambane kwa ajili ya Tanzania bora na ya wazalendo. •Nina furaha kujiunga na JF Tanganyika kwanza (Tamaduni zetu na maadili yetu ) #Dini zilikuja #Jina lilikuja #Siasa zilikuja
  5. V

    New Member

    Hello JF members, happy to join you.
  6. Elijah08

    Hello JF members

    Naitwa Elijah from A town city nina wiki moja apa JF •Nina furaha kujiunga na JF Naombeni mnipokee
  7. Geuka tuone

    Hello jeiefers, new member hiya

    Hello, Mimi mgen humu....naomben kujuzwa huu mtandao unavyofanya kazi. Asante
  8. Chipkiz

    Hello

    Mimi naitwa chipkizy aka hotxun nimekuja kupata elimu bora kutoka kwenu Asante
  9. D

    Msaada nahitaji kusoma programming language short course

    Hello habari ya saizi wana jamii wenzangu naomba msaada nahitaji kusoma programming short course je kama kuna chuo chochote kinacho fundisha au nipeni namna nayoweza kusoma ila isiwe online
  10. Jeska Isaga

    Naomba kufahamishwa kazi ya Katibu Msaidizi wa Bunge Sosholojia

    Habari samahani naomba mnisaidie kujua zaidi kuhusu kazi ya katibu msaidizi wa Bunge sosholojia.
  11. Dallas green

    Kwa wenye uelewa zaidi na mambo ya NSSF naomba msaada

    Wakuu, nilirequest mtonyo wangu uko NSSF ten days ago ambapo nilisubmit all recquirments. Jana nimeangalia kwa account nimeandikiwa paid lakin nikaenda bank sijaona mtonyo, kwakua leo ni jumapili nmefail kuwafata ofisini hivyo naomba mwenye uelewa na haya mambo anieleweshe nini tatizo hapo...
  12. Unique Flower

    Hello JF nzima??

    Leo ni weekend ndio inaisha kesho ni kazi na mtu kuja nyumbani nyang'anyang'a nani Leo unamtakia wiki njema yenye baraka?? Mie ni JamiiForums wote na Lovelovie Nakadori To yeye Kalpana
  13. Capten Jang Bogo

    Hello

    Am Capten Jang Bogo from Josean Empire
  14. J

    Hello

    Hello JF members.
  15. Magodoro delivering ulipo

    INAUZWA Karibu ujipatie godoro lako

    Ni muuza magodoro hapa. Nimefurahi kukutana nanyi jukwaani.. Nashukuru sana. Karibu ujipatie godoro lako. Tupo kariakoo dar es salaam 0712082915 Whatsapp 0684943062 KARIBUNI SANA
  16. Upekuzi101

    Business as usual

  17. Blue-ish

    Msaada: Sehemu zinazofundisha lugha ya kijerumani, kichina na kituruki, Dsm

    Hello guys, ninaomba msaada wa kujua centers zinazofundisha lugha ya Kijerumani,Kichina na kituruki Tanzania, Dsm. Thanks
  18. Unique Flower

    Hello wana jf

    Jameni wana JF Wazima?? Naomba muongozo kwa watu wanaouza mapochi ya jumla sio reja reja nitawapataje kama upo serious unataka kunisaidia kuniunganisha nao please ni inbox mie sitaki za mitumba nataka mzigo ambao ni pochi mpya . Asanteni
Back
Top Bottom