vyombo vya ulinzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Vyombo vya Ulinzi vilifanya kazi ya kutukuka Oktoba 29 kwa Taifa letu

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media Asha-Rose Migiro: "...kuhusu vyombo vya ulinzi na usalama. Ndugu Kikeke, unafahamu kwamba katika nchi yoyote na Tanzania haina tofauti, vyombo vya ulinzi na usalama...
  2. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Yaliyotokea Oktoba 29 yametupa funzo. Vyombo vya Ulinzi na Usalama majaribio yale waliweza kuyaondoa kwa muda mfupi sana

    Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza umuhimu wa vyombo vya ulinzi na usalama kutochukulia amani ya nchi kama mazoea. Anabainisha kuwa majaribu yaliyopita yametoa mafunzo, na hivyo hakuna taarifa yoyote ya kiashiria cha hatari inayopaswa kudharauliwa, bali inatakiwa kufanyiwa kazi kwa haraka...
  3. L

    JamiiForums Tanzania PICHA: Rais Samia arejea Salama nchini na kupokelewa Kijeshi na Viongozi Mbalimbali Wa Vyombo vya ulinzi na usalama

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Amerejea salama salimini Kabisa Nchini Mwetu. Ambapo Rais wetu Mpendwa Na Moyo wa Taifa Amepokelewa kijeshi na viongozi Mbalimbali wa Vyombo vya ulinzi na usalama...
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Mwaipopo: Kama sio vyombo vya ulinzi kupanga WAPIGANAJI wao barabarani hii nchi ingekuwa imekwenda. Hawakufanya kosa kwanini wajiuzulu?

    Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam mapema leo Shekhe Said Mwaipopo amewataka wale wanaoshutumu viongozi wa ulinzi na usalama katika utekelezaji wa kazi zao hasa katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa oktoba 29 Ameyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari ambapo...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM yavipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kazi nzuri Oktoba 29

    Naona CCM kwa CCM wanajipongeza :) Ila wanachekesha sana! Ila ipo siku yenu tu ============= Leo, Alhamisi tarehe 07.05.2026, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (HKT) imefanya kikao chake cha kawaida jijini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Rais wa...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CCM imeshajitambua haikubaliki kwa wananchi ndio maana imeamua kukumbatia vyombo vya ulinzi na usalama ili ikae madarakani kwa mabavu

    Hakuna uchaguzi halali uliofanyika ile Oktoba 29 mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia rais wa taifa letu akiapishwa na Wanajeshi kwenye viwanja vya jeshi. Wananchi mpaka sasa wameichukia CCM na hawaitaki kabisa. Inachokifanya ni kukumbatia vyombo vya ulinzi na usalama ili ikae...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Balozi Paul Mella: Matukio ya Oktoba 29 yametoa somo kubwa kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama

    Balozi Luteni Jenerali Paul Mella akizungumza wakati Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 ikizungumza na Waanadishi wa Habari, amesema tukio la Oktoba 29 limetoa funzo kubwa kwa vyombo vya Ulinzi na Usalama na kwamba vitakuwa...
  8. O

    JamiiForums Tanzania Kutokana na vifo zaidi ya 500, baadhi ya viongozi wa juu wa serikali na vyombo vya ulinzi walipaswa kujiuzulu.

    Haijalishi nani mhusika au nani mwenye makosa; kitendo cha viongozi wa juu wa serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kushindwa kujiuzulu kufuatia vifo vya Watanzania zaidi ya 500 kinaweka mfano hatari sana kwa siku zijazo linapokuja suala la uwajibikaji katika kulinda uhai wa raia.
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania BAKWATA: Pongezi za ziada ziende kwa vyombo vya ulinzi kuhakikisha Amani na Usalama vilirejea ndani ya muda mfupi Oktoba 29

    Katibu Mkuu wa Bakwata, Alhaj Nuhu Mruma, akizungumza kwenye Baraza la Idd el-Fitri leo tarehe 21 Machi, 2026 jijini Dar es Salaam.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu ni ushahidi kuwa katika Vyombo vya Ulinzi na Usalama, kuna shida ya watu Wazalendo

    Huu ndio ukweli mchungu na ndio maana tupo katika halii hii na huenda tukaendelea kushuduhia mambo mengi zaidi ya haya tunayoyaona leo. Pia, yaliyotokea Oktoba 29 ni ushahidii mwingine wa kukosekana wazalendo katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Jambo la msingi: Kupitia mauji ya Oktoba...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Vyombo vya dola vifanye uchunguzi wa kina, vijiridhishe kama waliokamatwa Oktoba 29, 2025 wameachiwa huru kama alivyoahidi Rais

    Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amezitaka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Wizara ya Katiba na Sheria kufanya uchunguzi wa kina ili kujiridhisha kama watu wote waliokamatwa katika matukio ya Oktoba 29, 2025 wameachiwa huru, kama...
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Unawaelewa wazee hawa? Haya ndi maazimio yao juu ya matukio ya mauaji ya 29/10 - 4/11/2025 yaliyofanya na vyombo vya ulinzi na usalama vya serikali

    https://www.youtube.com/live/EJPutwDEwWI?si=34CGu0w1t3vdHky0 Leo taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation ilikusanya wazee na kujadili mauaji ya zaidi Watanganyika 10,000 yaliyofanywa na serikali ya Samia na CCM Binafsi sijawaelewa.. Nimesikiliza hayo maazimio ya hawa wanaojiita "wazee" na...
  13. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Reuters: Mauji ya maelfu ya Raia wa Tanzania trh 29/10/2025 yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi na Usalama - Tanzania yalipangwa na kukusudiwa!

    "Hawa watu wametukaba koo kweli"; Alisikika Mwigulu Nchemba akimwambia Jakaya Kikwete ktk korido za Lumumba "Na sisi tutahakikisha tunatumia kila njia kujisafisha, na kama mbwai basi na iwe mbai. Tutahakikisha Samia wetu haendi kwenye ile mahakama ya kimatifa!" Akajibu Jakaya Kikwete Hii ni...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Tunaomba kupata mwongozo kwamba serikali na vyombo vya ulinzi vikikukuta na kadi ya CHADEMA ni uhaini

    Kwa sasa nimeshindwa kuelewa wakihisi kwamba sio CCM .Wakikukamata wa kikukagua wakakuta una kadi ya CHADEMA au kukupekuwa nyumbani kwako basi vyombo vya ulinzi unatafutiwa kesi. Je vitendo hivi vyombo vya ulinzi vituoneshe sheria hipi kwa sasa imeingizwa. Moderator unaweza kuweka idara...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Simbachawene: Vyombo vya ulinzi mmefanya kazi nzuri kuwalinda raia na mali zao

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, ametoa pongezi kwa Askari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama kwa kuhakikisha hali ya amani na utulivu nchini, hasa baada ya kuibuka fununu za uwepo wa maandamano yasiyo na kikomo. Waziri Simbachawene ametoa kauli hii alipotembelea na...
  16. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania wavimiminia na kuvimwagia Sifa na Pongezi vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa Uhodari na uimara wake katika kulinda Taifa letu

    Ndugu zangu Watanzania, Imeeleweka ni kwanini maadui zetu huviogopa sana vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania, imeeleweka vizuri ni kwanini Askari wa kitanzania hupata tuzo na nishani mbalimbali wawapo katika misheni mbalimbali nje ya nchi. Imefahamika ni kwanini Tanzania imekuwa salama...
  17. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video: Vyombo vya ulinzi vikiendelea kufanya ukaguzi wa usalama kwa nyia ya anga

    Ukaguzi wa Usalama kwa Njia ya Anga, Helkopta ya Kijeshi Ikizunguka Maeneo mbalimbali ya Dar Es Salaam wakiangalia Usalama. Vipi hali huko mitaani wakuu?
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania 'Inkotanyi': Falsafa muhimu inayopaswa kufundishwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama hasa JWTZ na TISS

    Nchini Rwanda kuna falsafa muhimu sana inayotumiwa kumaanisha kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo na kuwalinda Wananchi na maslahi yao. Falsafa hiyo inapatikana kwenye neno Inkotanyi. Neno hili linamaanisha nguvu ya pamoja inayofanywa kwa ujasiri ili kulinda Wananchi na kusimamia maslahi mapana...
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Vyombo vya ulinzi viko tayari wakati wowote kuelekea Desemba 9

    "Vyombo vyetu vya usalama kama ilivyo leo, ilivyokuwa jana, ndivyo itakavyokuwa tarehe 9 na siku zinazofuata. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wakati wote viko tayari kuhakikisha watu wako salama, mali zao ziko salama, mipaka ya nchi yetu iko salama." Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali
  20. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Nawahakikishia Vyombo vya Ulinzi na Usalama. Endeleeni kumkumbatia ila kuanzia Aprili 2026 mtaanza kupokea mishahara na posho tarehe 70

    Najua mna akili za kuvukia barabara tu. Najua wengi wenu hamuelewi hata maana ya kusimamia maslahi ya Taifa na Wananchi ni nini? Najua wengi wenu hamuelewi kuwa kiapo cha kwanza cha askari dunia nzima ni kulinda raia na wananchi. Najua wengi wenu mnanogewa na hivyo vimishahara mnavyolipwa na...
Back
Top Bottom