Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Asha-Rose Migiro: "...kuhusu vyombo vya ulinzi na usalama. Ndugu Kikeke, unafahamu kwamba katika nchi yoyote na Tanzania haina tofauti, vyombo vya ulinzi na usalama...
Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza umuhimu wa vyombo vya ulinzi na usalama kutochukulia amani ya nchi kama mazoea. Anabainisha kuwa majaribu yaliyopita yametoa mafunzo, na hivyo hakuna taarifa yoyote ya kiashiria cha hatari inayopaswa kudharauliwa, bali inatakiwa kufanyiwa kazi kwa haraka...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Amerejea salama salimini Kabisa Nchini Mwetu.
Ambapo Rais wetu Mpendwa Na Moyo wa Taifa Amepokelewa kijeshi na viongozi Mbalimbali wa Vyombo vya ulinzi na usalama...
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam mapema leo Shekhe Said Mwaipopo amewataka wale wanaoshutumu viongozi wa ulinzi na usalama katika utekelezaji wa kazi zao hasa katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa oktoba 29
Ameyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari ambapo...
Naona CCM kwa CCM wanajipongeza :)
Ila wanachekesha sana! Ila ipo siku yenu tu
=============
Leo, Alhamisi tarehe 07.05.2026, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (HKT) imefanya kikao chake cha kawaida jijini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Rais wa...
Hakuna uchaguzi halali uliofanyika ile Oktoba 29 mwaka jana.
Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia rais wa taifa letu akiapishwa na Wanajeshi kwenye viwanja vya jeshi.
Wananchi mpaka sasa wameichukia CCM na hawaitaki kabisa.
Inachokifanya ni kukumbatia vyombo vya ulinzi na usalama ili ikae...
Balozi Luteni Jenerali Paul Mella akizungumza wakati Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 ikizungumza na Waanadishi wa Habari, amesema tukio la Oktoba 29 limetoa funzo kubwa kwa vyombo vya Ulinzi na Usalama na kwamba vitakuwa...
Haijalishi nani mhusika au nani mwenye makosa; kitendo cha viongozi wa juu wa serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kushindwa kujiuzulu kufuatia vifo vya Watanzania zaidi ya 500 kinaweka mfano hatari sana kwa siku zijazo linapokuja suala la uwajibikaji katika kulinda uhai wa raia.
Huu ndio ukweli mchungu na ndio maana tupo katika halii hii na huenda tukaendelea kushuduhia mambo mengi zaidi ya haya tunayoyaona leo.
Pia, yaliyotokea Oktoba 29 ni ushahidii mwingine wa kukosekana wazalendo katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Jambo la msingi: Kupitia mauji ya Oktoba...
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amezitaka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Wizara ya Katiba na Sheria kufanya uchunguzi wa kina ili kujiridhisha kama watu wote waliokamatwa katika matukio ya Oktoba 29, 2025 wameachiwa huru, kama...
https://www.youtube.com/live/EJPutwDEwWI?si=34CGu0w1t3vdHky0
Leo taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation ilikusanya wazee na kujadili mauaji ya zaidi Watanganyika 10,000 yaliyofanywa na serikali ya Samia na CCM
Binafsi sijawaelewa..
Nimesikiliza hayo maazimio ya hawa wanaojiita "wazee" na...
"Hawa watu wametukaba koo kweli"; Alisikika Mwigulu Nchemba akimwambia Jakaya Kikwete ktk korido za Lumumba
"Na sisi tutahakikisha tunatumia kila njia kujisafisha, na kama mbwai basi na iwe mbai. Tutahakikisha Samia wetu haendi kwenye ile mahakama ya kimatifa!" Akajibu Jakaya Kikwete
Hii ni...
Kwa sasa nimeshindwa kuelewa wakihisi kwamba sio CCM .Wakikukamata wa kikukagua wakakuta una kadi ya CHADEMA au kukupekuwa nyumbani kwako basi vyombo vya ulinzi unatafutiwa kesi.
Je vitendo hivi vyombo vya ulinzi vituoneshe sheria hipi kwa sasa imeingizwa.
Moderator unaweza kuweka idara...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, ametoa pongezi kwa Askari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama kwa kuhakikisha hali ya amani na utulivu nchini, hasa baada ya kuibuka fununu za uwepo wa maandamano yasiyo na kikomo.
Waziri Simbachawene ametoa kauli hii alipotembelea na...
Ndugu zangu Watanzania,
Imeeleweka ni kwanini maadui zetu huviogopa sana vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania, imeeleweka vizuri ni kwanini Askari wa kitanzania hupata tuzo na nishani mbalimbali wawapo katika misheni mbalimbali nje ya nchi.
Imefahamika ni kwanini Tanzania imekuwa salama...
Ukaguzi wa Usalama kwa Njia ya Anga, Helkopta ya Kijeshi Ikizunguka Maeneo mbalimbali ya Dar Es Salaam wakiangalia Usalama.
Vipi hali huko mitaani wakuu?
Nchini Rwanda kuna falsafa muhimu sana inayotumiwa kumaanisha kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo na kuwalinda Wananchi na maslahi yao.
Falsafa hiyo inapatikana kwenye neno Inkotanyi. Neno hili linamaanisha nguvu ya pamoja inayofanywa kwa ujasiri ili kulinda Wananchi na kusimamia maslahi mapana...
"Vyombo vyetu vya usalama kama ilivyo leo, ilivyokuwa jana, ndivyo itakavyokuwa tarehe 9 na siku zinazofuata. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wakati wote viko tayari kuhakikisha watu wako salama, mali zao ziko salama, mipaka ya nchi yetu iko salama." Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali
Najua mna akili za kuvukia barabara tu.
Najua wengi wenu hamuelewi hata maana ya kusimamia maslahi ya Taifa na Wananchi ni nini?
Najua wengi wenu hamuelewi kuwa kiapo cha kwanza cha askari dunia nzima ni kulinda raia na wananchi.
Najua wengi wenu mnanogewa na hivyo vimishahara mnavyolipwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.