Masauni Wizara ya Mambo ya Ndani haiwezi, soon atapambana kuwabadilisha wakuu wa vyombo vya ulinzi waliopo aweke anaoweza kuwadhibiti

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Masauni akiwa Naibu waziri aligombana na karibia viongozi wengi wa vyombo vya ulinzi vilivyopo Wizara ya Mambo ya Ndani.

Tulimwona kwenye TV akigombeza askari bila kujali vyeo Wala umri wao. Leo amepewa full minister, hatuwezi kutegemea jipya zaidi ya kwenda kupambana Mhe. RAIS awafute kazi wakuu wa vyombo waliopo au wapangiwe KAZI nyingine then apendekeze watu wake.

Kwa ufupi Masauni ana ujana mwingi, dharau na ukubwa mwingi, tathimini hii nafanya wa kuangalia historia yake kwenye TV. Siamini kama ipo tofauti kati ya Masauni na Kangi Lugola.

Wizara Hii wizara Ina madili mengi na haikupaswa kumweka mtu asiyefanya analysis before decion ataumiza watu. Otherwise Mhe. Masauni kachape kazi usipambane kuondoa watu ofisini maana ujui utakutana nao Wapi.
 
Shida ya hii nchi sio viongozi, ni watendaji ambao ni Sisi wananchi....hivi mtu ni mtumishi, si ufuate Sheria za Utumishi? Standing order ipo, Yani ufanisi wako unataka Hadi udhibitiwe?

Sometimes tunajitafutiaga tu adhabu ya Mungu, ndo tunaishia kupata wadhibiti kweli kweli.
 
Shida ya hii nchi sio viongozi, ni watendaji ambao ni Sisi wananchi....hivi mtu ni mtumishi, si ufuate Sheria za Utumishi? Standing order ipo, Yani ufanisi wako unataka Hadi udhibitiwe? Sometimes tunajitafutiaga tu adhabu ya Mungu, ndo tunaishia kupata wadhibiti kweli kweli.
Lakini pia kuna kipindi wakuta viongozi hawana hatia bali wale walo chini yao ndo wawaangusha.

Nchi hii ni ngumu.
 
Masauni akiwa Naibu waziri aligombana na karibia viongozi wengi wa vyombo vya ulinzi vilivyopo Wizara ya Mambo ya Ndani...
Masauni ni dhaifu, wizara ya Mambo ya Ndani NI oversize kwake. Nadhani kapewa wizara hii sababu ya chimbuko la kule anakotokea.

Msustaajabu Mkuu wa MAJESHI akitokea ng'ambo ya mto
 
Lakini pia kuna kipindi wakuta viongozi hawana hatia bali wale walo chini yao ndo wawaangusha.

Nchi hii ni ngumu.
Hata tuwe na Katiba ya Aina gani, Kama watendaji si waadilifu, wanasubiri kufokewa na kupigwa mikwara ndio wawajibike ni Kazi bure...nadhani ingeanzishwa kampeni kukumbusha watu kuwajibika bila mikwara wala kufokewa, Yani itoke moyoni, mtu ukiaminiwa katika majukumu Fulani basi tekeleza sio usubiri kusukumwa.
 
Lakini pia kuna kipindi wakuta viongozi hawana hatia bali wale walo chini yao ndo wawaangusha.

Nchi hii ni ngumu.

Nchi zote ni ngumu sana, zinafuata kiongozi anasema nini, anajali nini, signal gani anatuma, anachagua wakina nani?

Yuko serious na maagizo yake. Kwa nchi zetu kiongozi ni kama dume la Simba. Asipokuwepo familia itayumba.

Lazima uwe mkali, usimame na kusimamia sera muhimu kama maji, umeme, mfumuko wa bei kuwasaidia wengi, sio ndugu zako na washkaji tu.
 
Hata tuwe na Katiba ya Aina gani, Kama watendaji si waadilifu, wanasubiri kufokewa na kupigwa mikwara ndio wawajibike ni Kazi bure...nadhani ingeanzishwa kampeni kukumbusha watu kuwajibika bila mikwara wala kufokewa, Yani itoke moyoni, mtu ukiaminiwa katika majukumu Fulani basi tekeleza sio usubiri kusukumwa.

Kwa nchi zetu ni vigumu viongozi ni wagumu sana. Wengine wanajua hivyo vitu instinctively, bila kuambiwa.

kwañza inabidi uwape mishahara ya kutosha, pia kuwafundisha elimu ya uraia, tatu kuwasimamia.

Jiulize utahitaji kiongozi wa aina gani?
 
Hata tuwe na Katiba ya Aina gani, Kama watendaji si waadilifu, wanasubiri kufokewa na kupigwa mikwara ndio wawajibike ni Kazi bure...nadhani ingeanzishwa kampeni kukumbusha watu kuwajibika bila mikwara wala kufokewa, Yani itoke moyoni, mtu ukiaminiwa katika majukumu Fulani basi tekeleza sio usubiri kusukumwa.
Sasa kama kule kwenye Madini watu wasumbua waiba madini au fedha za wanunuzi wa madini. Hivyo huwezi kumlaumu Biteko kwa hayo bali hao watu wa chini.

Tatizo kubwa ni upumbavu na kukosa akili za kufikiri sawasawa.

Wazungu hawana uchawi lakini mambo yao yanapangwa kimfumo na kila mtu anawajibika.

Ukitaka kuweka sakafu za mbao (Laminate) waenda dukani na kisha wakuuliza kama wataka fundi kabisa.

Ukilipa fundi atafutwa na kisha yeye fundi akutafuta anunua vifaa vyote na aja nyumbani kwako na kazi yakamilika.

Sasa fundi wa pale Morogoro Road ukimpa hiyo kazi utajaniambia mtaishia wapi.

Hivyo wale wa chini wanakosa kuwajibika, kuheshimu na kuthamini kazi zao na kutofikiri sawasawa.

Akipatikana kiongozi anaefuatilia anaonekana ni Anunaki kutokea sayari ya Mars watamwita majina yote na kumwendea kwa Msisi.

Hayo ndo mambo twaweza.
 
Nchi zote ni ngumu sana, zinafuata kiongozi anasema nini, anajali nini, signal gani anatuma, anachagua wakina nani?

Yuko serious na maagizo yake. Kwa nchi zetu kiongozi ni kama dume la Simba. Asipokuwepo familia itayumba.

Lazima uwe mkali, usimame na kusimamia sera muhimu kama maji, umeme, mfumuko wa bei kuwasaidia wengi, sio ndugu zako na washkaji tu.
Masuala kama umeme na Maji si ya kuisumbua Tanzania hata kwa sekunde miaka 60 ya uhuru imepita.
 
Masauni akiwa Naibu waziri aligombana na karibia viongozi wengi wa vyombo vya ulinzi vilivyopo Wizara ya Mambo ya Ndani...
Ila kumbuka alikuwa anafanta vile nyakati zike ambazo ili uonekane ni kiongozi,lazima ufante yale,ila kwa sasa hatafanya hivyo,ila pia ufahamu hana mamlaka ya kuwapangua ma top wa polisi,magereza au uhamiaji

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom