ulinzi na usalama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Yaliyotokea Oktoba 29 yametupa funzo. Vyombo vya Ulinzi na Usalama majaribio yale waliweza kuyaondoa kwa muda mfupi sana

    Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza umuhimu wa vyombo vya ulinzi na usalama kutochukulia amani ya nchi kama mazoea. Anabainisha kuwa majaribu yaliyopita yametoa mafunzo, na hivyo hakuna taarifa yoyote ya kiashiria cha hatari inayopaswa kudharauliwa, bali inatakiwa kufanyiwa kazi kwa haraka...
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa taasisi za ulinzi na usalama Wajiuzulu ili Tume jinai iwe huru

    Kama kweli tuna nia ya dhati ya tume kufanya kazi zake, basi tufuate misingi ya haki. Taasisi ya Rais kuunda tume ya kuchunguza Jinai, ina maana ya Wakuu wote wa taasisi za ulinzi, usalama wanatakiwa kujiuzulu kwa hiyari kabla tume haijaanza kazi. Ni kanuni za Utawala bora wala si hiyari. Ndio...
  3. L

    JamiiForums Tanzania PICHA: Rais Samia arejea Salama nchini na kupokelewa Kijeshi na Viongozi Mbalimbali Wa Vyombo vya ulinzi na usalama

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Amerejea salama salimini Kabisa Nchini Mwetu. Ambapo Rais wetu Mpendwa Na Moyo wa Taifa Amepokelewa kijeshi na viongozi Mbalimbali wa Vyombo vya ulinzi na usalama...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM yavipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kazi nzuri Oktoba 29

    Naona CCM kwa CCM wanajipongeza :) Ila wanachekesha sana! Ila ipo siku yenu tu ============= Leo, Alhamisi tarehe 07.05.2026, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (HKT) imefanya kikao chake cha kawaida jijini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Rais wa...
  5. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CCM imeshajitambua haikubaliki kwa wananchi ndio maana imeamua kukumbatia vyombo vya ulinzi na usalama ili ikae madarakani kwa mabavu

    Hakuna uchaguzi halali uliofanyika ile Oktoba 29 mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia rais wa taifa letu akiapishwa na Wanajeshi kwenye viwanja vya jeshi. Wananchi mpaka sasa wameichukia CCM na hawaitaki kabisa. Inachokifanya ni kukumbatia vyombo vya ulinzi na usalama ili ikae...
  6. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Baada ya CHADEMA kuruhusiwa kufanya sias, kuna kundi limeibuka TikTok linatukana viongozi. Tunaomba vyombo vya ulinzi viwafundishe adabu

    Naomba kusiwe na lelemama kwa mtu yyte anayetukana viongozi mitandaoni, hii tabia imeibuka baada ya chadema kuruhusiwa waanze kufanya shughuli za kisiasa. Tusicheke na hawa vibaka wa chadema wanaotukana viongozi wetu mitandaoni. Mtoto mwenye malezi duni lazima anyooshwe na dunia
  7. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jinsi Vyombo vya Usalama vilivyogeuza Ulinzi kuwa chanzo cha hofu

    Tangu yalipofanyika maandamano na baadaye vurugu wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na baada ya hapo, kumekuwa na hofu kubwa kwa wananchi kutokana na kuongezwa kwa ulinzi wa polisi na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). Maandamano yaliyokabiliwa kwa nguvu na polisi na JWTZ yalisababisha...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Tanzania kushirikiana na Uganda kuimarisha ulinzi na usalama

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, ameshiriki katika Mkutano wa Tano wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission - JPC), kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Uganda uliofanyika kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa pande mbili...
  9. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Serikali za Afrika ziajiri vijana wataalam wa ulinzi na usalama wa taarifa za Serikali

    "Serikali za Afrika zinapaswa kuanzia sasa kuwatafuta expert hackers with Ethical Hacking experience kutoka ndani ya nchi zao na kuwaajiri na walipwe vizuri. Watu hawa ndio nguzo pekee wa kuhakikisha usalama wa taarifa za Taifa na kulinda mifumo yote ya kiserikali na siri nyeti. Nasisitiza...
  10. alpha walk

    JamiiForums Tanzania Kwa huduma za ulinzi na usalama wa mali zako

    🔐 Je, unataka kuona kinachoendelea hata ukiwa mbali? 🔐 Epuka wizi na uharibifu wa mali zako. 🔐 Fuatilia biashara yako LIVE kupitia simu yako. Smart Eye Security Services tunakufungia: ✅ CCTV Camera Installation ✅ Electric Fence ✅ Gate Motor ✅ Alarm System ✅ Biometric Attendance ✅ Access Control...
  11. alpha walk

    JamiiForums Tanzania Kwa huduma za ulinzi na usalama wa mali zako

    🔐 Je, unataka kuona kinachoendelea hata ukiwa mbali? 🔐 Epuka wizi na uharibifu wa mali zako. 🔐 Fuatilia biashara yako LIVE kupitia simu yako. Smart Eye Security Services tunakufungia: ✅ CCTV Camera Installation ✅ Electric Fence ✅ Gate Motor ✅ Alarm System ✅ Biometric Attendance ✅ Access Control...
  12. alpha walk

    JamiiForums Tanzania Huduma za ulinzi na usalama

    🔐 Je, unataka kuona kinachoendelea hata ukiwa mbali? 🔐 Epuka wizi na uharibifu wa mali zako. 🔐 Fuatilia biashara yako LIVE kupitia simu yako. Smart Eye Security Services tunakufungia: ✅ CCTV Camera Installation ✅ Electric Fence ✅ Gate Motor ✅ Alarm System ✅ Biometric Attendance ✅ Access Control...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu ni ushahidi kuwa katika Vyombo vya Ulinzi na Usalama, kuna shida ya watu Wazalendo

    Huu ndio ukweli mchungu na ndio maana tupo katika halii hii na huenda tukaendelea kushuduhia mambo mengi zaidi ya haya tunayoyaona leo. Pia, yaliyotokea Oktoba 29 ni ushahidii mwingine wa kukosekana wazalendo katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Jambo la msingi: Kupitia mauji ya Oktoba...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Vyombo vya dola vifanye uchunguzi wa kina, vijiridhishe kama waliokamatwa Oktoba 29, 2025 wameachiwa huru kama alivyoahidi Rais

    Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amezitaka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Wizara ya Katiba na Sheria kufanya uchunguzi wa kina ili kujiridhisha kama watu wote waliokamatwa katika matukio ya Oktoba 29, 2025 wameachiwa huru, kama...
  15. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Unawaelewa wazee hawa? Haya ndi maazimio yao juu ya matukio ya mauaji ya 29/10 - 4/11/2025 yaliyofanya na vyombo vya ulinzi na usalama vya serikali

    https://www.youtube.com/live/EJPutwDEwWI?si=34CGu0w1t3vdHky0 Leo taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation ilikusanya wazee na kujadili mauaji ya zaidi Watanganyika 10,000 yaliyofanywa na serikali ya Samia na CCM Binafsi sijawaelewa.. Nimesikiliza hayo maazimio ya hawa wanaojiita "wazee" na...
  16. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Reuters: Mauji ya maelfu ya Raia wa Tanzania trh 29/10/2025 yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi na Usalama - Tanzania yalipangwa na kukusudiwa!

    "Hawa watu wametukaba koo kweli"; Alisikika Mwigulu Nchemba akimwambia Jakaya Kikwete ktk korido za Lumumba "Na sisi tutahakikisha tunatumia kila njia kujisafisha, na kama mbwai basi na iwe mbai. Tutahakikisha Samia wetu haendi kwenye ile mahakama ya kimatifa!" Akajibu Jakaya Kikwete Hii ni...
  17. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi Tabora lawahakikishia ulinzi na usalama kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka

    Jeshi la polisi mkoani Tabora limewahakikishia wananchi ulinzi na usalama katika sherehe za Krisimasi na Mwakampya.. Akizungumza na Waandishi wa habari leo Disemba 24, 2025 Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa polisi, Richard Abwao amesema jeshi la polisi litaendesha...
  18. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Tukubaliane, Watekaji wamemshinda Rais Samia, na vyombo vyote vya ulinzi na usalama Tanzania, Sasa nashauri tujilinde

    Tukubaliane watanganyika, nasema watanganyika, maana zanzibari sijasikia wakitekwa au lolote BAYA lililotokea kwao, Nasema tukubaliane Tanganyika RAIS wetu ameshindwa na tabaka la watekaji Sasa tujiamini na tujilinde sisi wenyewe. Je vyombo vyeti navyo vimeshindwa kutulinda Sasa tujirinde?
  19. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini vyombo imara na vya kisasa vya ulinzi na usalama Tanzania, havina mzaha, havioni aibu wala haya kuwashughulikia magaidi?

    Hebu tazama Tanzania inavyopendeza kwa ulinzi na usalama wa kutosha kila kona ya nchi. Usalama ni wa uhakika na hakikisho la amani kwa waTanzania wote dhidi ya vitisho vya kigaidi kutoka kwa maharamia na mamluki wanaofadhiliwa na mabwenyenye ya magharibi hakuna tena. Ndugu mdau wa JF, ukipata...
  20. Area 56

    JamiiForums Tanzania CGI Anna Makakala ndio Mkuu pekee wa Chombo cha Ulinzi na Usalama aliyebaki mwenye uteuzi wa hayati Magufuli

    Rais Samia alipoingia tu madarakani 19 March 2021 alianza taratibu kuwaondoa Wakuu waVyombo vya Ulinzi na Usalama na kuweka wakwake. Ndio, wengine walikuwa washakaribia kustaafu kama Jenerali Mabeyo, ila wengine waliondolewa kabla ya kustaafu kwao kama vile DGIS Diwani Athumani pamoja na IGP...
Back
Top Bottom