kitila mkumbo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo wewe una mianya mingi ya kupata hela, hivyo lazima uone Tanzania hakuna shida yoyote

    Unaona vijisenti toka EU ni takataka kwa vile wewe you can afford anything on earth. Lakini kwa mwenye dialysis ambayo say ilikuwa inakuwa supplemented na EU funds katika afya analia na kusaga meno kukosa fedha hiyo ( nimetolea mfano dialysis , but this applies katika scenario nyingi za aina hiyo)
  2. K

    JamiiForums Tanzania Katambi na Prof Mkumbo wapo CCM kwasbabu ya tumbo tu!

    Tuna wanasiasa wengi sana wapo kwa maslahi ya matumbo yao tu lakini wana support siasa ambazo moyoni wenyewe wanazipinga. Moja yao ni Prof. Mkumbo na Katambi. Wote walikuwa wameongea sana huko nyuma kuhusu umuhimu wa kufuata sheria na demokrasia sasa eti wamebadilika! Njaa mbaya sana. Mkumbo...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: CCM haiwezi kufundishwa demokrasia na yeyote nchini

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ametoa jibu kali la kiitikadi dhidi ya vyama vya upinzani vinavyoishutumu serikali kwa kubana demokrasia, akisisitiza kuwa chama tawala cha CCM kina historia ndefu ya kupigania haki na kiko imara kisheria kufuatia ushindi...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Prof. Mkumbo: Ajenda ya Katiba mpya ni ya CCM, hakuna mwingine mwenye ajenda hiyo nje ya Chama kinachotawala

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amewashukia wanasiasa wanaozunguka nchi nzima kufanya mikutano au kutishia maandamano kwa kigezo cha kudai Katiba Mpya, akifafanua kuwa ajenda hiyo si mali ya upinzani bali tayari imeshaahidiwa kupitia llani ya Uchaguzi ya...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo: Tanzania haitakubali kupangiwa marafiki wala maadui

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema ziara za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nje ya nchi zinalenga kutafuta washirika wa biashara na uwekezaji badala ya wafadhili, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa falsafa ya kuifungua Tanzania kiuchumi, kisiasa na...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Prof. Mkumbo: Mchakato wa Katiba Mpya utaendelezwa ulipoishia

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo katika Mkutano wa Tume ya Taifa ya Mipango na Waandishi wa Hanari kuhusu Maelezo ya Utekelezaji wa DIRA2050, Ikulu Dar es Salaam 31 Mei, 2025 amesema; "Ndio maana umeona kwenye dira, kwenye mpango mrefu, na hata kwenye...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Mch Mbarikiwa Awachapa za uso wazee wa taifa hili: Mzee Othman Chande, Palamagamba Kabudi, Kitila Mkumbo, mch Hananja, Joseph Butiku, Mrisho Moto nk

    https://youtu.be/DmMvTZn92Cs?si=Pdj11TtTgLHCmAPc Tazama na sikiliza hii mpaka mwisho. Ameanza kwa kunukuu maadiko haya toka katika Biblia - Neno la Mungu ambayo ni Habari Njema kwa Watu Wote yaani👇👇 Mithali 16:31 SUV "....31 Kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu, Kama kikionekana katika njia ya...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Mkumbo: Tanzania tuna vitaasisi vingi, vinasumbua biashara

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema wingi wa taasisi za udhibiti nchini unachangia usumbufu mkubwa katika biashara na kuathiri ukuaji wa sekta hiyo. Prof. Mkumbo alisema hayo Machi 27, 2026, wakati wa mkutano wa uhakiki wa rasimu ya mpango wa...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo: Kama unataka kuwa tajiri usiombe kazi Serikalini

    Imeelezwa kuwa wakati Tanzania ikiwa na nguvu kazi kubwa ya watu milioni 33, sekta ya umma imeajiri chini ya watu milioni moja, jambo linalothibitisha kuwa serikali haiwezi kuwa injini kuu ya uzalishaji wa ajira. Hayo yamefafanuliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof...
  10. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo: Asanteni Mashekh kwa kunipigania uchaguzi 2025

    "Kwa uamuzi wenu siyo tu kwa kuniunga mkono, walioniunga mkono ni wengi, lakini kwa kitendo chenu cha kuniunga mkono waziwazi na hamkuficha. Mie ni mkristo na naungwa mkono na vongozi wangu wa kikristo, tofauti iliyopo ni kuwa hawa wameniunga mkono waziwazi bila kuficha, bila kusita...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Haiwezekani nchi ikaendelea kwa kuendelea kuwa na bunge linalojadili ujenzi wa matundu ya vyoo

    Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema mpango wa maendeleo wa Miaka mitano umejengwa kwa misingi ya Serikali kuu kuachia mamlaka ya kiutawala na kifedha kwenda chini. Waziri Kitila Mkumbo amesema hayo wakati anazungumza na wakuu wa mikoa nchi nzima kwa ajili ya uhakika wa...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Tutafikia uchumi wa dola trilioni 1 mwaka 2050

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema watalaamu wamefanya uchambuzi wa kutosha na kujiridhisha kuwa Tanzania inaweza kufikia uchumi wa Dola za Kimarekani trilioni 1 mwaka 2050.
  13. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mimi naamini maneno ya Kitila matumizi ya fedha za dhahabu, kuliko ya hao wengine, Je, wewe?

    Kuhusu jambo linalotaka kufanyika la serikali kuuza hazina ya dhahabu na pesa kutumika kwenye miradi, scenario ya Bwana Mkumbo inaingia akilini kuliko ya Bwana Gavana. Huwezi kuja na maelezo kwamba ulijiwekea lengo na kinachozidi unaamua kukiuza kwa nini???? Kwa hiyo Bwana Gavana unatuambia...
  14. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Kati ya Kitila Mkumbo na Mkurugenzi wa masoko BOT Emmanuel Akoro nani kapotosha umma

    BBC, BLOOMBERG na BUSINESS INSIDER AFRICA wamemnukuu Waziri wenu wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango, KITILA MKUMBI akisema “Governments are no longer interested in providing aid to Africa so we are reorganizing ourselves,” mnatuona hatuelewi kitasha? Kitila MKUMBO amewaeleza watasha kwamba...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba, Dorothy Gwajima na Kitila Mkumbo mnashindwaje kuweka chuo kikuu au tawi hapa Singida ?

    Hawa wote ni wasomi waliosoma vyuo nje ya mkoa na elimu imeweza kuwasaidia, Kwa mamlaka waliyonayo waki team up sioni kinachoshindikana kuleta chuo kikuu ndani ya mkoa ili wanasingida wengi zaidi wanufaike. Sio lazima kijengwe chuo kikuu kipya, linaweza kujengwa tawi la Udom, Udsm, Mzumbe...
  16. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kitila Mkumbo akabidhi mashine za cherehani kwa mafundi huko Manzese. Hiki nacho ni kitu cha kutangaza kwenye media?

    Mbunge wa Jimbo la Ubungo ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Professa Kitila Mkumbo (CCM) leo Novemba 22, 2025 ametimiza ahadi ya kukabidhi mashine za kushonea(cherehani) nne kwa mafundi waliopo mtaa wa Mwembeni, Kata ya Manzesse, jimbo la Ubungo. Kitila...
  17. Ileje

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo ulipokuwa na akili timamu: Katiba mpya inapatikana kwa vurugu!

    https://twitter.com/Ndolezi_Petro/status/1992542007432990932?t=Fwrcy6pC7f5hy5BUPN4o4A&s=19
  18. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Profesa Kitila: Wakati wa uchaguzi kama huu, maneno maneno lazima yawepo, lakini mama Samia yupo imara

    "Wakati wa uchaguzi kama huu, maneno maneno lazima yawepo, lakini mama yupo imara, amestahimili, kwa dua zenu Mungu pia hatamuacha, atasimama naye na tutavuka salama tarehe 29 Oktoba na nchi yetu itasonga mbele" -Prof. Kitila ‎Prof. Kitila ameeleza hayo Oktoba 09.2025, kwenye kongamano la dua...
  19. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kitila aendelea kusaka Kura nyumba kwa nyumba bila kujali mvua

    Oktoba 7, 2025, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, aliendelea na kampeni zake za nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa katika mtaa wa Kimara Baruti, uliopo Kata ya Kimara, Ubungo, Dar es Salaam. Pamoja na hali ya mvua, Kitila aliendelea kuwatembelea waajiri wake (wananchi)...
  20. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kitila azisaka kura, bila kujali mvua ilikuwa ikinyesha leo Dar

    Muda huu hata wakiambiwa na wananchi walale chini kwenye tope ili wapate kura watalala tu! ============== Leo Oktoba 7, 2025 Mgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo Professa Kitila Mkumbo ameendelea na kampeni zake za nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa katika mtaa wa Kimara Baruti uliopo kata ya Kimara...
Back
Top Bottom