Kwanini awamu ya Tano na sita haziwapandishi vyeo viongozi waandamizi wa vyombo vya ULINZI na usalama?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Wakati wa JPM tuliona mikeka mingi ya kupandisha vyeo Watumishi wa umma ila Siyo kupanga safu ya vyombo vya dola. Ilifika wakati ikaandaliwa makala kuhusu gap lilolopo kwenye jeshi la Polisi hasa nafasi za makamishna waandamizi, na wasaidizi waandamizi ikielezwa kwamba Hali hii IPO SAWA Kwa vyombo vyote vya ulinzi chini ya mambo ya ndani. Makala hiyo ilirushwa mitaaoni na Malisa if I'm not mistaken. But hakuna mkeka uliotoka.

Je, ni waliopewa vyombo hivi ndio wanawabania walio chini Yao kupanda kuziba nafasi zilizoachwa wazi na wastaafu au walioteuliwa nafasi nyingine au ni mteuaji ameamua kuacha ombwe la uongozi katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?

Zamani wakati wa Mwalimu, Mwinyi, Mkapa na Hata JK ilikuwa nadra cheo flani Cha kijeshi kukosa MTU , akistaafu faster anateuliwa Mwingine lakini Sasa hivi ni kawaida kuona Kanda maalumu kushikwa na junior officer for years huku akipewa majukumu ya kamishna Kanda maalumu. Je gharama za kukaimu hizi nafasi Siyo kubwa sana ? Kama wanaweza kukaimu Kwanini wasipandishwe?

May be wakipandishwa vyeo itasaidia kupunguza kamata kamata isiyo na tija, labda Kuna sehemu uongozi haujakamilika na hivyo wakuu wa vyombo wanakosa wasaidizi sahihi
 
Wakati wa JPM tuliona mikeka mingi ya kupandisha vyeo Watumishi wa umma ila Siyo kupanga safu ya vyombo vya dola. Ilifika wakati ikaandaliwa makala kuhusu gap lilolopo kwenye jeshi la Polisi hasa nafasi za makamishna waandamizi, na wasaidizi waandamizi ikielezwa kwamba Hali hii IPO SAWA Kwa vyombo vyote vya ulinzi chini ya mambo ya ndani. Makala hiyo ilirushwa mitaaoni na Malisa if I'm not mistaken. But hakuna mkeka uliotoka.

Je, ni waliopewa vyombo hivi ndio wanawabania walio chini Yao kupanda kuziba nafasi zilizoachwa wazi na wastaafu au walioteuliwa nafasi nyingine au ni mteuaji ameamua kuacha ombwe la uongozi katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?

Zamani wakati wa Mwalimu, Mwinyi, Mkapa na Hata JK ilikuwa nadra cheo flani Cha kijeshi kukosa MTU , akistaafu faster anateuliwa Mwingine lakini Sasa hivi ni kawaida kuona Kanda maalumu kushikwa na junior officer for years huku akipewa majukumu ya kamishna Kanda maalumu. Je gharama za kukaimu hizi nafasi Siyo kubwa sana ? Kama wanaweza kukaimu Kwanini wasipandishwe?

May be wakipandishwa vyeo itasaidia kupunguza kamata kamata isiyo na tija, labda Kuna sehemu uongozi haujakamilika na hivyo wakuu wa vyombo wanakosa wasaidizi sahihi
ACHA HIZO....
 
Inawezekana wote waliokuwepo hawana sifa na vigezo vilivyotukuka kupata hivyo vyeo,,,,,maana vyeo vya majeshini kwa ngazi za juu ni rais ambaye huangalia nani anafaa na kumpandisha
 
Kupanda vyeo kwa viongozi waandamizi kunategemea kuwepo na nafasi iliyo wazi au kitokee kitengo kinachopaswa kuongozwa na mtu mwenye cheo hicho.
 
Mambo ya majeshi mtajuana wenyewe. Ni Tanzania tu ndio utaona mkuu WA majeshi au IGP anampigia saluti mkuu WA wilaya.

Yaani Mabeyo na Siro wanampigia saluti Jeri Muro.

Hatari na nusu!.
Hii haijakaa sawa CDF ampigie salute Jokate 🔭
 
Awamu ya sita ipigeni mawe kwenye mambo mengine ila la kupandisha vyeo wanastahili pongezi siyo kama iliyopita
 
Tatizo la Bongo ukipandishwa cheo maana yake usifanye KAZI utataka mpaka kufunguliwa mlango,kufungwa mkanda wa gari,kila kitu utafanyiwa utalipwa mpaka kifo.
Wakati wasio na vyeo KAZI kubwa mshahara kidogo.

Wazo zuri wapandishwe lakini wafanye KAZI ili kuongeza tija.
 
Mambo ya majeshi mtajuana wenyewe. Ni Tanzania tu ndio utaona mkuu WA majeshi au IGP anampigia saluti mkuu WA wilaya.

Yaani Mabeyo na Siro wanampigia saluti Jeri Muro.

Hatari na nusu!.
Kimsingi watele wa rais wanapigiwa saluti. Hiyo ni sheria ya nchi si ya majeshi
 
Mambo ya majeshi mtajuana wenyewe. Ni Tanzania tu ndio utaona mkuu WA majeshi au IGP anampigia saluti mkuu WA wilaya.

Yaani Mabeyo na Siro wanampigia saluti Jeri Muro.

Hatari na nusu!.
Wanapo wasalute maana yake wanawapa heshima kwa niaba ya Rais.
 
M
Wakati wa JPM tuliona mikeka mingi ya kupandisha vyeo Watumishi wa umma ila Siyo kupanga safu ya vyombo vya dola. Ilifika wakati ikaandaliwa makala kuhusu gap lilolopo kwenye jeshi la Polisi hasa nafasi za makamishna waandamizi, na wasaidizi waandamizi ikielezwa kwamba Hali hii IPO SAWA Kwa vyombo vyote vya ulinzi chini ya mambo ya ndani. Makala hiyo ilirushwa mitaaoni na Malisa if I'm not mistaken. But hakuna mkeka uliotoka.

Je, ni waliopewa vyombo hivi ndio wanawabania walio chini Yao kupanda kuziba nafasi zilizoachwa wazi na wastaafu au walioteuliwa nafasi nyingine au ni mteuaji ameamua kuacha ombwe la uongozi katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?

Zamani wakati wa Mwalimu, Mwinyi, Mkapa na Hata JK ilikuwa nadra cheo flani Cha kijeshi kukosa MTU , akistaafu faster anateuliwa Mwingine lakini Sasa hivi ni kawaida kuona Kanda maalumu kushikwa na junior officer for years huku akipewa majukumu ya kamishna Kanda maalumu. Je gharama za kukaimu hizi nafasi Siyo kubwa sana ? Kama wanaweza kukaimu Kwanini wasipandishwe?

May be wakipandishwa vyeo itasaidia kupunguza kamata kamata isiyo na tija, labda Kuna sehemu uongozi haujakamilika na hivyo wakuu wa vyombo wanakosa wasaidizi sahihi
Pigania Kwanza maslahi ya walio Chini yako, ili wa juu yako pia apiganie maslahi yako.
 
Back
Top Bottom