Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Hilo ndilo swali huwa najiuliza siku zote.
Wazi huwa yapo mambo mengi ambayo kwa macho ya kawaida kabisa, huhitaji Vyombo vya Dola viikemee Serikali inayoongozwa na CCM kwa kuhatarisha usalama wa Taifa. Ajabu wala hawajishughulishi!
Mbaya zaidi, CCM hutumia sababu ya machafuko kama silaha ya kuwatisha wapenda haki eti Nchi itasambaratika.
Shime wana usalama, wakati umefika muwe upande wa Wananchi wa kawaida. Kuendelea kuilea CCM kama mtoto pendwa ipo siku ulezi huo utazaa haramu.
Wazi huwa yapo mambo mengi ambayo kwa macho ya kawaida kabisa, huhitaji Vyombo vya Dola viikemee Serikali inayoongozwa na CCM kwa kuhatarisha usalama wa Taifa. Ajabu wala hawajishughulishi!
Mbaya zaidi, CCM hutumia sababu ya machafuko kama silaha ya kuwatisha wapenda haki eti Nchi itasambaratika.
Shime wana usalama, wakati umefika muwe upande wa Wananchi wa kawaida. Kuendelea kuilea CCM kama mtoto pendwa ipo siku ulezi huo utazaa haramu.