Kwanini Rais Samia haambatani na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi kwenye matukio na hafla za Kitaifa?

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,914
6,033
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
 
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Haikuwa kitu kizuri kabisa, nadhani Dkt Magufuli alidanganywa kutembea na hao wakuu.
 
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
unaposema zamani unamaanisha lini maana hayo yalikuwa yanafanyika wakati wa magufuli tu, awamu iliyopita. Viongozi wote kabla ya magufuli walikuwa hawafanyi hivyo.
Zamani haikuwa rahisi kumjua mkurugenzi wa takukuru, Uhamiaji, TISS...waliofahamika ni mkuu wa majeshi na IGP tu
 
Sio utaratibu kuambatana nao ila kwa uelewa wangu kiongozi anayekuwa paranoid ndio anaenda nao. Hao uhamiaji na magereza wanakuwa included kuondoa maneno ila wanaolengwa ni hao wawili au watatu. In case kuna evil plan, chances za wao kudhurika zipo hivyo watakuwa makini kulinda usalama au itaongeza ugumu wa kufanya tukio
 
unaposema zamani unamaanisha lini maana hayo yalikuwa yanafanyika wakati wa magufuli tu, awamu iliyopita. Viongozi wote kabla ya magufuli walikuwa hawafanyi hivyo.
Zamani haikuwa rahisi kumjua mkurugenzi wa takukuru, Uhamiaji, TISS...waliofahamika ni mkuu wa majeshi na IGP tu
Jiongeze basi wakwetu, mbona una kichwa kigumu
 
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Kakinukishe ndio Utajua wapo au hawapo..

Pia Rais Samia hana mda wa kutisha watu kama yule ambae alikuwa hajiamini
 
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Mkuu..ile style ilikuwa ya wehu wa yule jamaa..
JK,Mkapa, Mwinyi wala Nyerere hawakuwahi kufanya ule ujinga isipokuwa yule mwehu peke yake..
Akae hukohuko alipo..Amen.
 
Ilikuwa ni kawaida tu...kwanini mkuu wa mkoa huwa anaambatana na kamati ya ulinzi na usalama? Na kwanini rais asiambatane na kamati ya ulinzi na usalama wa taifa⁉️⁉️
 
Back
Top Bottom