Vyombo vya ulinzi vinanufaikaje na uchaguzi wa ndani wa CCM?

mwanachuo

Member
Jan 15, 2013
36
25
Chama Cha mapinduzi Kiko kwenye michakato ya Uchaguzi wao wa NDANI ila Cha kushangaza kwenye Kila uchaguzi hasa za wiki Jana za jumuiya vyombo VYA ULINZI na usalama vimekuwa mstari wa mbele kushiriki kwenye chaguzi hizo.

Kuna wanaoshiriki Hadi kuhesabu kura ila hata kusimamia hizo chaguzi. Swali langu, vyombo hivi ninanufaikaje na chaguzi hizi?
 
Wanakula nchi pamoja.

Vyombo vya Dola(viongozi wa juu) na ccm,lao ni moja tu kula nchi,hawajuhi Wala hawana Nia ya kuikwamua hii nchi kutoka kwenye umaskini,watafanya lile tu ambalo linawahakikishia kuendelea kuneemeka na rasilimali za nchi hii.

Ndio maana nikisikia wazee kama Warioba wanaongelea mabaya ya utawala huu,nacheka tu. Hawa wazee ni wanafiki balaa, huu utawala unawanufahisha sana wao na familia zao,hakuna hata Mzee mmoja aliyekuwa anaongea au anayeweza kuongea kuhusu swala kubwa kama la jaribio la mauaji ya Tundu Lissu, utawasikia wakijiongeresha kuhusu minor isues kama udini,ukabila kwenye Siasa,lakini mauaji yanayoendelea,mbwa kabisa wale huwezi kuwasikia wakisema kitu.
 
Ccm ni chama dola, na hao viongozi wa vyombo vya dola ni makada wa Ccm.

Kwahiyo lazima wahusike kwenye mchakato wa chama Chao.
KILA SIKU WANAMBIWA CCM NI CHAMA DOLA,SIJUWI HAWAELEWI
BADO.....WANARUDIA KUULIZA SWALI
HILO HILO KILA MARA

OVA
 
Ni kutojujitambua tu kwa wanwaoviongoza hivyo vyombo.wangekuwa weledi kama wenzao wa kenya ccm ingekuwa imekufa zamani
 
Hao vyombo vya dola ndio hasa CCM, ndio maana nasisitiza kila siku kuwa machafuko ndio yataitoa CCM madarakani. Njia ya box la kura ni kupotezeana muda.
 
Ndio maana hao vyombo vya ulinzi wakistaafu hupewa vyeo na watawala wa CCM, hao ni ndugu moja, huwa wanawaibia kura kwa sababu maalum.
 
Ni kutojujitambua tu kwa wanwaoviongoza hivyo vyombo.wangekuwa weledi kama wenzao wa kenya ccm ingekuwa imekufa zamani

Sio kwamba hawajitambui, bali CCM ndio chama kinaweza kuwahakikishia ulaji wa cake ya taifa. Kwa sababu za ubinafsi, ni lazima wailinde CCM kuendelea kubaki madarakani. Hivyo wanachokifanya kwenye huo ushirikiano haramu wa CCM na vyombo vya dola, ni unilinde kwa mvua, nikulinde kwa jua.
 
Wangestuka mapema wakajisahihisha na yaliyotoka 2020.

Kwenda na mbinu zile zile za kuhujumu sanduku la kura Kwa kutumia Dola hazitafanikiwa.

CCM ikubali kifo kizuri Kwa njia ya KATIBA mpya, wakikataa njia hiyo Rahisi, viongozi watalazimika kukimbia Nchi.

Tusubiri.
 
Chama Cha mapinduzi Kiko kwenye michakato ya Uchaguzi wao wa NDANI ila Cha kushangaza kwenye Kila uchaguzi hasa za wiki Jana za jumuiya vyombo VYA ULINZI na usalama vimekuwa mstari wa mbele kushiriki kwenye chaguzi hizo.

Kuna wanaoahiriki Hadi kuhesabu kura ila hata kusimamia hizo chaguzi. Swali langu , vyombo hivi ninanufaikaje na chaguzi hizi?
Hujataja vyombo gani mana hata green guard ni chombo cha ulinzi wa chama.
 
Chama Cha mapinduzi Kiko kwenye michakato ya Uchaguzi wao wa NDANI ila Cha kushangaza kwenye Kila uchaguzi hasa za wiki Jana za jumuiya vyombo VYA ULINZI na usalama vimekuwa mstari wa mbele kushiriki kwenye chaguzi hizo.

Kuna wanaoahiriki Hadi kuhesabu kura ila hata kusimamia hizo chaguzi. Swali langu , vyombo hivi ninanufaikaje na chaguzi hizi?
We jama umeamua tu kuchokoza mada.
 
Wangestuka mapema wakajisahihisha na yaliyotoka 2020.

Kwenda na mbinu zile zile za kuhujumu sanduku la kura Kwa kutumia Dola hazitafanikiwa.

CCM ikubali kifo kizuri Kwa njia ya KATIBA mpya, wakikataa njia hiyo Rahisi, viongozi watalazimika kukimbia Nchi.

Tusubiri.
Naunga mkono hoja
 
Wangestuka mapema wakajisahihisha na yaliyotoka 2020.

Kwenda na mbinu zile zile za kuhujumu sanduku la kura Kwa kutumia Dola hazitafanikiwa.

CCM ikubali kifo kizuri Kwa njia ya KATIBA mpya, wakikataa njia hiyo Rahisi, viongozi watalazimika kukimbia Nchi.

Tusubiri.
Huu ushauri ndio ukweli wenyewe. Lakini je wana masikio?
 
Wanakula nchi pamoja,
Vyombo vya Dola(viongozi wa juu) na ccm,lao ni moja tu kula nchi,hawajuhi Wala hawana Nia ya kuikwamua hii nchi kutoka kwenye umaskini,watafanya lile tu ambalo linawahakikishia kuendelea kuneemeka na rasilimali za nchi hii.
Ndio maana nikisikia wazee kama Warioba wanaongelea mabaya ya utawala huu,nacheka tu,Hawa wazee ni wanafiki balaa,huu utawala unawanufahisha sana wao na familia zao,hakuna hata Mzee mmoja aliyekuwa anaongea au anayeweza kuongea kuhusu swala kubwa kama la jaribio la mauaji ya Tundu lisu,utawasikia wakijiongeresha kuhusu minor isues kama udini,ukabila kwenye Siasa,lakini mauaji yanayoendelea,mbwa kabisa wale huwezi kuwasikia wakisema kitu
Wewe na Lissu wote ni wapumbavu mna nongwa sana
 
Ccm ni chama dola, na hao viongozi wa vyombo vya dola ni makada wa Ccm.
Kwahiyo lazima wahusike kwenye mchakato wa chama Chao.
Nimekuwa nikijiuliza maswali mawili.
  • La kwanza kwa nini Jeshi la Polisi linajulikana mitaani kama poliCCM?
  • La pili ni je hawa polisi wanapata wapi ujasiri wa kuwapiga, kuwalemaza na kuwabambikia kesi wapinzani wa CCM?
Bila shaka yoyote leo baada ya ufafanuzi huu wa Matola nitakuwa nimepata majibu, waliapa kuilinda, kuitetea na kuitii CCM.
 
Back
Top Bottom