mkumbo

Diana Mkumbo Chilolo (born 14 April 1954) is a Member of Parliament in the National Assembly of Tanzania. She has been a member since 2000. She is a member of the Chama Cha Mapinduzi (CCM) party.

View More On Wikipedia.org
  1. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania No reform, no elections inawatesa mno wafuata mkumbo. Hivi sasa wanajuta kuzaliwa na kuisoma namba kisaikolojia

    Kila kitu wanaona hakifai kwao kumbe ni athari za uamuzi wao useless . Wanamkasirikia kila mtu bila hata ya sababu ya msingi, na ni uamuzi huo waliufanya kwa uhuru na amani yao kidemokrasia. Wala hakuna aliewazuia wasisusie uchaguzi, na uchaguzi mkuu ukafanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi kwa...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hakuna na wala hapatakuwepo na mgogoro wa kidiplomasia baina ya Tanzania, Marekani na EU, Puuzeni upotoshaji wa wafuata mkumbo waliokosa agenda.

    Uhusiano wa Tanzania na washirika wake wa maendeleo na kidiplomasia kote ulimwenguni ikiwa ni pamoja na serikali ya Marekani, Umoja wa Ulaya EU, Urusi, Japan, China n.k ni mzuri sana na unaendelea kuimarika kila uchwao kwa maslahi mapana ya wananchi wa nchi zote husika. Porojo na upotoshaji...
  3. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kwasasa, mamluki na wafuata mkumbo ni janga na changamoto mpya ya kitaifa Tanzania

    Sote ni mashuhuda kwamba, katika majukwaa mbalimbali humu JF, kumezuka na kuibuka wimbi kubwa sana la baadhi ya wadau wa JF kujidhirisha pasina shaka yoyote kwamba wao ni kundi la mamluki wa vibaraka fulani wa mabwenyenye ya magharibi,yaliyokita kambi humu nchini, lakini pia ni wazi kwamba wao...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Mkumbo: Tanzania tuna vitaasisi vingi, vinasumbua biashara

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema wingi wa taasisi za udhibiti nchini unachangia usumbufu mkubwa katika biashara na kuathiri ukuaji wa sekta hiyo. Prof. Mkumbo alisema hayo Machi 27, 2026, wakati wa mkutano wa uhakiki wa rasimu ya mpango wa...
  5. W

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo: Kama unataka kuwa tajiri usiombe kazi Serikalini

    Imeelezwa kuwa wakati Tanzania ikiwa na nguvu kazi kubwa ya watu milioni 33, sekta ya umma imeajiri chini ya watu milioni moja, jambo linalothibitisha kuwa serikali haiwezi kuwa injini kuu ya uzalishaji wa ajira. Hayo yamefafanuliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof...
  6. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu wengi wameoa/kuolewa kwa kufata mkumbo na imewagharimu sana

    Jipange vizuri kiuchumu, tafuta mwenza sahihi, usisikilize maneno ya watu au fulani kaoa ngoja na mimi nioe try at you own risk. Jipange kwanza usifate mkumbo
  7. Think2

    JamiiForums Tanzania Tafadhali usivae hii bangili kwa kufuata mkumbo

    Umeona bangili kwa masai wewe ununua tu kisha unaivaa, bangili kama hizi hazivaliwi na kila mtu bali kwa maelekezo maalumu ya mizimu ya ukoo wenu. Katika jamii zetu watu wa kasikqzini mara nyingi hizi bangili huvaliwa na wazee wa ukoo huwa tunaita mate ndele au unakuta bibi mzee kabisa...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Profesa Mkumbo: Pato la mtu mmoja nchini laongezeka karibu mara tatu

    Tathmini ya utekelezaji wa mipango mitatu ya maendeleo ya miaka mitano imebaini mafanikio makubwa ya kiuchumi yaliyopatikana kupitia Mpango Elekezi wa Maendeleo wa Muda Mrefu (LTPP) 2025, hususan kuongezeka kwa pato la mtu mmoja mmoja. Akizungumza Bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu, Februari 2...
  9. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania BoT Vs Kitila Mkumbo Vs Mwigulu; Wananchi tumsikilize nani sakata la akiba ya dhahabu?

    BBC, BLOOMBERG na BUSINESS INSIDER AFRICA wamemnukuu Waziri wenu wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango, KITILA MKUMBI akisema “Governments are no longer interested in providing aid to Africa so we are reorganizing ourselves,” mnatuona hatuelewi kitasha? Kitila MKUMBO amewaeleza watasha kwamba...
  10. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Mkumbo: Tanzania Iko Tayari kwa Uwekezaji wa Kimataifa

    London, Uingereza — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), amewahakikishia wawekezaji wa Uingereza kuwa Tanzania ni nchi salama, yenye uthabiti wa kisiasa na inayoendelea kutekeleza mageuzi ya kina ili kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji. Prof...
  11. Ileje

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo ulipokuwa na akili timamu: Katiba mpya inapatikana kwa vurugu!

    https://twitter.com/Ndolezi_Petro/status/1992542007432990932?t=Fwrcy6pC7f5hy5BUPN4o4A&s=19
  12. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msingwa kuhusu 9 Disemba: Tunawasihi vijana wasifate mkumbo, tumejipanga kuhakikisha usalama unaimarishwa

    Msigwa ameulizwa kuhusu response ya serikali kuhusu maandamano yanayopamgwa kufanyika Disemba 9, ambapo amesema: "Kuhusu maandamano ya Tisa Disemba, tunawasihi vijana wajiepushe na kufuata mkumbo kwa kujihusisha na vitendo vya kuharibu amani. "Tumejipamga kuhakikisha usalama wa raia na mali...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Waliofuata Mkumbo na kupewa kesi ya Uhaini wamesamehewa, Waliokufa je?

    Kumbe mlijua kuna vijana wanafuata mkumbo kwanini muwapige risasi za kichwa na marungu? Ndio mnavyolea watoto wenu huko au watoto wa masikini ndio wakujifunzia kulenga shabaha? Nafikiri huu unaoitwa msamaha lengo lake ni kutaka kusamehewa na yeye. Umetengeneza tatizo halifu unjifanya...
  14. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Prof. Mkumbo: Hali ya hewa ni nzuri wananchi jitokezeni kupiga kura

    Mgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo kupitia @ccmtanzania Professa Kitila Mkumbo amepiga kura leo katika kituo cha Ubungo Plaza jijini Dar Es Salaam Source Jambo TV
  15. W

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo: Nchi zenye akili hupima uwezo wa Wagombea Urais kupitia midahalo

    Kupitia akaunti yake ya mtandao wa X aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof. Waziri Kitila Mkumbo Septemba 29, 2015 aliwahi kuandika "Nchi zote zenye akili hupima uwezo wa kifikra wa wagombea urais kupitia midahalo. Hapa kwetu wanakwepa. Ujanjajanja na ulaghai...
  16. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Picha na Video Hekaheka za Kitila Mkumbo akisaka kura kwa wananchi

    Wakuu habari, Hizi ni baadhi ya picha na video za Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Professa Kitila Mkumbo akipita mtaani kusaka kura kutoka kwa wananchi kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 Je, ataendelea na muenendo huu wa kufanya ziara Mtaani katika Jimbo lake...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kitila Mkumbo aomba kura kwenye daladala

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Professa Kitila Alexander Mkumbo leo Septemba 12, 2025 amefanya kampeni za aina yake kwa kuomba kura kwa abiria walio ndani ya Daladala zilizokuwa zinachukua abiria katika Kituo cha Riverside, Ubungo Dar Es Salaam. Kitila...
  18. C

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mnaoimbishwa wimbo wa "OKTOBA TUNATIKI" ni mkumbo wa kichama au mnaujua ukweli wa kutiki?

    Wakati wewe unaimbishwa wimbo wa "OKTOBA TUNATIKI" mnao waimbia wako busy kujiwekeza kiuchumi wao na watoto wao pamoja na familia zao kwa ujumla kupiti mgongo wa ninyi mnao imbishwa huo wimbo. Nimesikitika sana nimeenda kituo cha afya kimoja kikubwa tu na kinahudumia zaidi ya kata tatu au zaid...
  19. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Comment ya Kitila Mkumbo JF Kuhusu Chanel ten 2009 kabla hajalamba Asali

    GT Watu wanasema hata shetani zamani alikuwa malaika aha 😆 🤣 😄 😂 kwa kweli wansiaisa wetu wa mchongo wanalithibitisha hilo..
  20. chiembe

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema ampongeza Kitila Mkumbo

    Siasa ni mchezo ambao hutakiwi kuwa na hasira. Haya sasa, Lemma kampongeza Kitila Mkumbo na kumtakia kila la heri.
Back
Top Bottom