Na wewe penyeza wakoDuuuuuuuh,wanataka kupenyeza watu wao. RIP Jeshi la Kujenga Taifa.
Nan alikuambia uende jktDuuuuuuuh,wanataka kupenyeza watu wao. RIP Jeshi la Kujenga Taifa.
Bungeni kuna manyumbu tu hakuna watu, wanataka waende watoto wao ambao hawaendi jkt/jku.Bunge limepitisha azimio la kuondoa kigezo cha kupitia mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) pamoja na Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) kwa vijana wanaoomba nafasi za ajira katika vyombo vya ulinzi na usalama.
View attachment 2905725
Acha makasiriko bro
Usitafutie watu ban za lazima maana tusi nililokuporomoshea lina ban ya mwaka mzima.
Yani hiki kigezo kilikuwa kinawanyima vijana wengi frusa na ukiangalia kwa asilimia kubwa izi taasi ndo zinabeba idadi kubwa ya vijana upande wa ajira like Uhamiaji, zima moto, migration, TAKUKURU n.k
Walikuwa wanazingua sana, huna kambi za kupeleka vijana wote JKT ila kazi zikitoka unabagua wakati ni wewe ulishindwa wapeleka
Unafikiri hichi kigezo ni kwaajili yenu akina Lucas mwashambwa nyie ombeni karani muongozaji wapiga kura nchi inawenyeweImeisha hiyo daaah hicho kigezo kilikuwa kinaniletea kauzibe fulan
Daaah afadhali
Sasa tangazen ajira haraka sana
Imeisha hiyo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe pangu pakavu huna connection sahauImeisha hiyo daaah hicho kigezo kilikuwa kinaniletea kauzibe fulan
Daaah afadhali
Sasa tangazen ajira haraka sana
Imeisha hiyo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app