Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,354
- 2,763
Habari za usiku wana jf.
Leo nimekuja kutoa mkasa mmoja uliotokea siku 2 nyuma juu ya hawa wanawake.
Nina rafiki yangu sana ambaye alikua na mpenz wake ambao wamedumu kwa miezi kama 9 wakiishi tofauti ila ni mtaa mmoja. Sasa kuna jamaa mwngine ambaye nafahamiananae alikua hajui kama yule ni msichana wa rafiki yangu.
Alipomtongoza alikubali na siku 1 wakaenda kufanya yao gest house.wakati wanarudi tuliwaona sehem tu wamepanda boda kama mshikaki mm nikiwa na yule mshiksji wangu, mshikaji akiwa hajui hili wala lile akaenda kumuulza yule mschana nilikuona sehm flan mmepanda boda, je mlkua mnatoka wapi, mschn akajibu mm alinikuta njian akasema pansa kati nikupe lifti.
Yule jamaa sijui aligundua vip kama yule mschana mm namfaham na ni mtu wa best yangu bas akaja kuniambia ukwel kuwa hakua anajua ila amepiga mzgo na alinihakikishia kwa 100% kuwa amekula. Mimi ilibidi nimchane mshikaji wangu ukwel kuwa demu wake ameliwa.
Basi alipoenda kumwambia mschana wake yule demu alikataa kata kata hadi analia na kuapa kwa mungu na kusema mungu tu ndio anajua,yan analia saana.
Daa wanawake hawa.
Leo nimekuja kutoa mkasa mmoja uliotokea siku 2 nyuma juu ya hawa wanawake.
Nina rafiki yangu sana ambaye alikua na mpenz wake ambao wamedumu kwa miezi kama 9 wakiishi tofauti ila ni mtaa mmoja. Sasa kuna jamaa mwngine ambaye nafahamiananae alikua hajui kama yule ni msichana wa rafiki yangu.
Alipomtongoza alikubali na siku 1 wakaenda kufanya yao gest house.wakati wanarudi tuliwaona sehem tu wamepanda boda kama mshikaki mm nikiwa na yule mshiksji wangu, mshikaji akiwa hajui hili wala lile akaenda kumuulza yule mschana nilikuona sehm flan mmepanda boda, je mlkua mnatoka wapi, mschn akajibu mm alinikuta njian akasema pansa kati nikupe lifti.
Yule jamaa sijui aligundua vip kama yule mschana mm namfaham na ni mtu wa best yangu bas akaja kuniambia ukwel kuwa hakua anajua ila amepiga mzgo na alinihakikishia kwa 100% kuwa amekula. Mimi ilibidi nimchane mshikaji wangu ukwel kuwa demu wake ameliwa.
Basi alipoenda kumwambia mschana wake yule demu alikataa kata kata hadi analia na kuapa kwa mungu na kusema mungu tu ndio anajua,yan analia saana.
Daa wanawake hawa.