Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,028
- 12,352
Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.