jamaa

Djamaa (Arabic: ﺟﺎﻣﻌﺔ‎) (also written Jama'a) is a town and commune in El Oued Province, Algeria. According to the 2008 census it has a population of 50,916, up from 37,438 in 1998, with an annual growth rate of 3.1%.

View More On Wikipedia.org
  1. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Page ya Russian Today (RT) haina habari ya ujio wa Rais Samia. Jamaa wanatudharau pia?

    Hii hapa page yao na habari zao muhimu. Hapo hakuna habari. Pia hapa.
  2. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu. Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kuhukumiwa "kunyongwa mpka kufa" akatoka jela bila...
  3. Red black

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa akishavuta ganja akipanda on the stage ni balaa tupu😂

    smoking On the stage
  4. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimtongoza huyu dada, akanikataa,, akamchagua jamaa yangu, sijatajirika sijabadirika leo, anani fata, eti she loves me

    Hawa viumbe sijui shida Nini, nilimtongoza, akanichomolea, akamkubali mshikaji wangu, nikasema basi haikua bahati, time go, eti Leo ananambia ananipenda nimuowe, Mimi sasa👇 Nikajifikiria, nikamtega, vipi bikra bado ipo, akadai ipo imejaa telee, dah nikakuna kichwa, nikampa hii, dada angu Sina...
  5. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mabeberu wakisikia tu tunataka kujikomboa lazima hawa jamaa wachungulie kinachofanyika.

  6. MK254

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda: Ndugu waungana kumkata mikono jamaa kisa ameaga uislamu na kujiunga Ukristo

    Baba yake alibariki huo ukatili na kusema sharia ya kiislamu inaruhusu kumfanyia chochote baada ya yeye kuaga hiyo dini ya muarabu. Niliona pale Kampala idadi ya waislamu kama inazidi kuongezeka, haya matukio yataongezeka sana kwa mzee Museveni, kajizeekea na kuacha nchi iendelee kuharibika...
  7. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Khalifa saidi wa TheChanzo, huyu jamaa ni kichwa hasa

    Naombeni tuu msije mkamnyakua maana jamaa amekataa uchawa na ameacha akili yake ifikiri kwa kina bila uoga na bila kujali mkono wa chuma. Alichokiongea kwenye hii video kina make sense sana, na sio mara ya kwanza huyu jamaa kutema madini bila uoga aisee. RESPECT BRO 🫡
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamaa mmoja kaniuliza; Hivi Mtibeli unavyowakandia Wanawake unapataga kweli wanawake? Jibu langu ni hili

    JAMAA MMOJA KANIULIZA; HIVI MTIBELI UNAVYOWAKANDIA WANAWAKE UNAPATAGA KWELI WANAWAKE? JIBU LANGU NI HILI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kati ya vitu ambavyo Sisi watibeli havijawahi kutusumbua ni upatikanaji wa wanawake. 2. Na sio ilimradi wanawake. Bali wanawake wenye sifa na vigezo...
  9. Red black

    JamiiForums Tanzania Leo nilipata time ya kuskilizia Ngoma za Tupac Shakur...one by one aise huyu jamaa alikua machine.

    County down
  10. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Siku ya Pili tu Jamaa nilimpiga IGNORE na sijam-UNIGNORE mpaka leo, do you know why? Usicheke maana hii haichekeshi

    Forget. Kifupi ni kwamba, Sikuwahi kuamini kwamba mtu anaweza akaku-follow then next day anakuonyeshea kidole cha kukusonta na kukusontea anakupiga masingi tena kwa issue ya kijinga kijinga kaabisa how comes? Kifupi ni kwamba, JF tupo watu wa dizaini nyingi, watu wenye mawazo chanya na hasi...
  11. Mjusi Sharobalo

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa ni hatari huko upande wa pili

    MUHOOZI ANATAKA BIKRA..😀 Kiongozi wa jeshi la Uganda na mtoto wa Rais wa nchi iyo, ametoa kauli isiyo ya kawaida kwa kuitaka nchi ya Turkish Uturuki itemize masharti yafuatayo haraka. 1) Uturuki itoe kiasi cha U.S Dola billion 1, kwaajili ya maendeleo ya nchi yake. Ikiwa ni pamoja na kuongeza...
  12. Red black

    JamiiForums Tanzania Iani Dialo from kenya Radio presenter wangu Bora wa muda wote huyu jamaa ana IQ kubwa sana.

    Aliwahi kufanya kazi EA redio katika kipindi cha EAST AFRICA DRIVE ndinga mpya town akiwa na David rwenyagira. Jamaa ana madini sana.
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kwanini hawa jamaa wa upande wa pili wengi wao ni mashabiki wakubwa wa mamlaka zenye hurka ya ugaidi na uminyaji wa haki za binadamu?

    Eti Echolima1 MK254 loose Nut kwani wale vijana wanachukizwa na ustaarabu wa magharibi na maendeleo yake huku wakishabikia vikundi vinavyohatarisha maisha ya watu duniani kisa vikundi hivi vinasali kama wao? Je ni upumbavu au ulimbukeni? Au vyote kiujumla?😁
  14. O

    JamiiForums Tanzania Jamaa Kila akifunga shop anaweka PESA bank na kuxitoa KWENYE ATM siku hiyo hiyo

    Nilivyomuuliza huoni unapoteza fedha nyingi Kwa MAKATO akasema lengo lake ni kuchukua noti mpya akatunze home. Ilikuwa kicheko na masikitiko. Basi namkumbuka Rafaeli, Tukalewa Tukalewa tukalewaaaa..... Mbege ya kibosho
  15. amarina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi unaishi kwa dadaako usiku jamaa akimchapa wewe unajisikiaje?

    Huwa napiga mtungi, wifi yenu ana mdogo ake 33yrs umri wake, asa sijui wakati wa mchenetu jamaa anakuwa katika hali gani, maana sielewi kwa umri huo lazima kichupa kinajaa sana
  16. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Vilabu vyote vigome kushiriki michuano ya CAF kama vilabu vya Senegal vimetangaza kugoma

    SENEGAL NAO WAMETANGAZA VILABU VYAO VYOTE HAVITASHIRIKI MICHUANO YA CAF MPAKA WAPATE AOLN YA KOMBE LAO NGOMA BADO TAMU KUMEANZA KUCHANGAMKA
  17. Arsenal Gunner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna jamaa mmoja wa bodaboda hapa mtaani namchapia mke wake Sasa nahisi kama ameanza kujua

    Kifupi yaani huyu demu katokea kunielewa code ninazopiga sababu ni pamba Kali na kunukia pafyumu nzuriMimi ni mtaalamu sana wa kupangilia pamba Sasa huyu jamaa yeye kuva hajui na pesa Hana Sasa mke wake hua namchapia gesti Sasa Leo Kuna jicho kaniangalia nimepishana nae yeye alikua kwenye...
  18. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Hivi Kuna rapa wa kitapeli kama huyu jamaa

    Huyu jamaa mistari yake hapana Utasikia 1) Wanataka nife Ili Aishi manula 2)Vyombo vya habari vinaoshwa kwenye besen 3) Hata wachawi wanajua mchawi pesa 4)Dirisha la usajili wameweka mapazia 5)Nanunua kanga mbele ya maulidi kitenge 6) Nimeongea na ndugu yangu anaitwa Maneno akasema Hana...
  19. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania TRA NA JESHI LA POLISI BUNDA MNA HABARI KUHUSU HUYU JAMAA ANAYEUZA STICKER FEKI ZA TRA?

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.Kati ya maandiko yangu ya siku zilizotangulia niliwahi kugusia bwana mmoja maarufu kwa jina Baraka wasila ambaye ni muasisi wa kuuza dhahabu feki hapa bunda mjini.Niliwahi pia kueleza kwamba licha ya kuwa muuza dhahabu feki mjini aliamua kufungua...
Back
Top Bottom