jamaa

Djamaa (Arabic: ﺟﺎﻣﻌﺔ‎) (also written Jama'a) is a town and commune in El Oued Province, Algeria. According to the 2008 census it has a population of 50,916, up from 37,438 in 1998, with an annual growth rate of 3.1%.

View More On Wikipedia.org
  1. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Hivi jamaa alipotelea wapi?

    Kuna miezi fulani alitokea jamaa Tiktok kwa jina la HABIL and KABIL, aliteka masikio ya wananchi wengi kwa stori zake za kuhusu maandamano, lakini ghafla bin vuu jamaa hasikiki tena. Ilikuaje ama ilikua project ya watu wazito? The same kwa CAPTAIN TESHA alisema tu nitarudi ila hadi leo holaa
  2. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania Unakutana na jamaa kapiga suti imekaa yupo kiheshima, kumbe hajala toka jana usiku

    Hapana lazma upate vidonda vya tumbo siku Wanawake watatumia mgodi waliopewa bure na Mungu Wale wanaume wasiojua kukaza ndo tunawapoteza kabsa kundini, wanahamia upande wa umamani Wale wabishi ndo tunaenda kaz ngumu na kuacha elimu na aibu za kijinga pemben Wale wachagua kaz pia wanaamia...
  3. The unpaid Seller

    JamiiForums Tanzania Video: Huyu jamaa amewashangaza wengi

    Wakuu hakuna haja na maneno mengi tazama mwenyewe: https://vm.tiktok.com/ZSCM2hCSL/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
  4. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Huwa najiuliza huyu jamaa ilikuaje

    Kwa wapenz wa movies moja ya series maarufu duniani ni prison break na moja kati ya character maarufu na star humo ni Michael Scofield Huyo jamaa anajua sana. Nikianza kukubali mwanzoni kabisa alipo chukua initiative za kwenda kumwokoa bro wake Lincoln Burrows how alivyo plan, alivyo...
  5. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania THE G.O.A.T

  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Nimepishana na Nissan Leaf zinasafirishwa kwenda nje (IT). Hawa jamaa watatoboa kweli ata Moro tu?

    Leo Nimepishana na Nissan Leaf 2nd gen tatu, mitaa ya Mbezi Magufuli (Morogoro Rd). Zote IT zinasafirishwa labda Malawi, Congo, Burundi nk ambako umbali ni zaidi ya 1000 km kutokea Dar. Sasa hivi vidude battery ndogo 40 kWh, vina range ya 240 km, ikiwa mpya na zile Leaf Plus zina battery ya...
  7. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Page ya Russian Today (RT) haina habari ya ujio wa Rais Samia. Jamaa wanatudharau pia?

    Hii hapa page yao na habari zao muhimu. Hapo hakuna habari. Pia hapa.
  8. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu. Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kuhukumiwa "kunyongwa mpka kufa" akatoka jela bila...
  9. Red black

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa akishavuta ganja akipanda on the stage ni balaa tupu😂

    smoking On the stage
  10. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimtongoza huyu dada, akanikataa,, akamchagua jamaa yangu, sijatajirika sijabadirika leo, anani fata, eti she loves me

    Hawa viumbe sijui shida Nini, nilimtongoza, akanichomolea, akamkubali mshikaji wangu, nikasema basi haikua bahati, time go, eti Leo ananambia ananipenda nimuowe, Mimi sasa👇 Nikajifikiria, nikamtega, vipi bikra bado ipo, akadai ipo imejaa telee, dah nikakuna kichwa, nikampa hii, dada angu Sina...
  11. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabeberu wakisikia tu tunataka kujikomboa lazima hawa jamaa wachungulie kinachofanyika.

  12. MK254

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda: Ndugu waungana kumkata mikono jamaa kisa ameaga uislamu na kujiunga Ukristo

    Baba yake alibariki huo ukatili na kusema sharia ya kiislamu inaruhusu kumfanyia chochote baada ya yeye kuaga hiyo dini ya muarabu. Niliona pale Kampala idadi ya waislamu kama inazidi kuongezeka, haya matukio yataongezeka sana kwa mzee Museveni, kajizeekea na kuacha nchi iendelee kuharibika...
  13. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Khalifa saidi wa TheChanzo, huyu jamaa ni kichwa hasa

    Naombeni tuu msije mkamnyakua maana jamaa amekataa uchawa na ameacha akili yake ifikiri kwa kina bila uoga na bila kujali mkono wa chuma. Alichokiongea kwenye hii video kina make sense sana, na sio mara ya kwanza huyu jamaa kutema madini bila uoga aisee. RESPECT BRO 🫡
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamaa mmoja kaniuliza; Hivi Mtibeli unavyowakandia Wanawake unapataga kweli wanawake? Jibu langu ni hili

    JAMAA MMOJA KANIULIZA; HIVI MTIBELI UNAVYOWAKANDIA WANAWAKE UNAPATAGA KWELI WANAWAKE? JIBU LANGU NI HILI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kati ya vitu ambavyo Sisi watibeli havijawahi kutusumbua ni upatikanaji wa wanawake. 2. Na sio ilimradi wanawake. Bali wanawake wenye sifa na vigezo...
  15. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nilipata time ya kuskilizia Ngoma za Tupac Shakur...one by one aise huyu jamaa alikua machine.

    County down
  16. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Siku ya Pili tu Jamaa nilimpiga IGNORE na sijam-UNIGNORE mpaka leo, do you know why? Usicheke maana hii haichekeshi

    Forget. Kifupi ni kwamba, Sikuwahi kuamini kwamba mtu anaweza akaku-follow then next day anakuonyeshea kidole cha kukusonta na kukusontea anakupiga masingi tena kwa issue ya kijinga kijinga kaabisa how comes? Kifupi ni kwamba, JF tupo watu wa dizaini nyingi, watu wenye mawazo chanya na hasi...
  17. Mjusi Sharobalo

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa ni hatari huko upande wa pili

    MUHOOZI ANATAKA BIKRA..😀 Kiongozi wa jeshi la Uganda na mtoto wa Rais wa nchi iyo, ametoa kauli isiyo ya kawaida kwa kuitaka nchi ya Turkish Uturuki itemize masharti yafuatayo haraka. 1) Uturuki itoe kiasi cha U.S Dola billion 1, kwaajili ya maendeleo ya nchi yake. Ikiwa ni pamoja na kuongeza...
  18. Red black

    JamiiForums Tanzania Iani Dialo from kenya Radio presenter wangu Bora wa muda wote huyu jamaa ana IQ kubwa sana.

    Aliwahi kufanya kazi EA redio katika kipindi cha EAST AFRICA DRIVE ndinga mpya town akiwa na David rwenyagira. Jamaa ana madini sana.
  19. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kwanini hawa jamaa wa upande wa pili wengi wao ni mashabiki wakubwa wa mamlaka zenye hurka ya ugaidi na uminyaji wa haki za binadamu?

    Eti Echolima1 MK254 loose Nut kwani wale vijana wanachukizwa na ustaarabu wa magharibi na maendeleo yake huku wakishabikia vikundi vinavyohatarisha maisha ya watu duniani kisa vikundi hivi vinasali kama wao? Je ni upumbavu au ulimbukeni? Au vyote kiujumla?😁
Back
Top Bottom