mwamba

Musonda Trevor Selwyn Mwamba (born 1958), known as Trevor Mwamba, is an Anglican bishop. He was consecrated Bishop of Botswana on 6 February 2005. He tendered his resignation as Bishop of Botswana on 30 September 2012 – the day on which Botswana marks the anniversary of its independence from Britain. His successor was consecrated on 14 July 2013. On April 4th 2021, he was elected President of the United National Independence Party.
A true ‘citizen of the world’, at home in many cultures. Passionate about justice, equality and the empowerment of all God’s children. Outgoing, well-read, approachable, with a sense of humour and strong diplomatic skills.
He took up the post of Team Rector of Barking in the Church of England on 1 January 2014, a post he resigned in December 2019. On 9 November 2013 he was made an honorary assistant bishop in the Diocese of Chelmsford.He made a cameo appearance on the third episode of the HBO and BBC co-produced miniseries The No. 1 Ladies' Detective Agency. He appears in the episode entitled "Poison" as himself thanking members of the business community of Gaborone for their donations to the fictional orphanage portrayed in the series. He is married to Mmasekgoa Masire-Mwamba, a Commonwealth Deputy Secretary-General from 2008 to 2014.He was made a deacon at Petertide 1984 (1 July) by Mark Santer, Bishop of Kensington (by letters dimissory from Leonard Mwenda, Bishop of Lusaka), at St Luke's, Chelsea, Greater London and served briefly as curate of All Saints, Notting Hill. He left the UK in 1985 to become Rector of Luanshya and Vocations Director for Central Zambia, and was ordained a priest that year.On April 4th 2021, he won the presidency of the United National Independence Party. He managed to wrestle power away from long time incumbent Tilyenji Kaunda who held on to power for 20 years after succeeding his father Dr. Kenneth Kaunda. This marks the first time (UNIP) has not been lead by a Kaunda since the 1960s.

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mwamba huyuu hapaaa! Kama umemjuwa mtaje

    Kaziiiendeleee
  2. Sister Abigail

    JamiiForums Tanzania Polisi wa kiume wajifanya wanawake ili wamkamate muuzaji wa madawa ya kulevya nchini Thailand

    Ni drug dealer maarufu Kwa jina la Wap-wap, nchini Thailand Nahisi alikuwa na mbinu zake za kuwakimbia polisi.kulikuwa na dancing festival Police Wakatumia mbinu ya kuvaa magauni na mask kama wadada huku wanadance Kakutwa na stock ya kutosha yupo kazini. Mbinu kama hizi huku Africa hakuna...
  3. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kama kidume unapojenga nyumba kabla haujavuka miaka 35 unajiona mwamba, ni feeling ya kibabe sana kushinda ile ya kuhimili round moja kwa dakika 10

    Mapambano mema hustlers!
  4. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama ulisoma hili gazeti wewe ni mwamba sana. tuambie maisha yanaendaje pande hizo

    :FireDuck:Agost 1985
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuna mwamba huko TikTok amebomoa bei za vioo vya simu, wafanyabiashara wamemkasirikia, wateja wanamfurahia, kosa lake ni lipi?

    Kuna mwamba huko Tiktok anatoa vioo vya simu kwa bei chee, Simu kama samsung A05 ni 16k tu , Ila kuna ukicheki comments wafanyabiashara wamekasirika, anawaharibia biashara, sasa kosa lake lipi.
  6. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Inasemekana huyu mwamba ni tapeli wa kutisha, kuna yeyote anamfahamu?

    Wana jf habari zenu? Huyu mwamba hapo pichani inadaiwa ni tapeli wa kutisha picha zake zimezagaa sana mitandaoni. Inasemekana mwamba hukodi magari na kufoji kadi kisha kuyauza kwa bei chee kisha kumuachia msala mnunuaji, hizi shutuma nimezioma hata kwa watu maarufu wakidai kutapeliwa na huyu...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Hizi zote ni propaganda za CCM tu na chawa wao. Behind the scene, Samia alisha - surrender kitambo kwa mwamba Tundu Lissu. Fuatilia mjadila👇🏻

    Wote nimewaelewa Ila kuna mmoja hajamuelewa Mwingine kwako MangeKimambi na kaka @HecheJohn Tusiwape Mwanya CCM kupata upenyo wa kutugawa kupitia nyufa za Majadiliano ya namna ya tunavyojadili masuala, Kwa namna yeyote ile @TunduALissu Lissu lazima awe out na ndo suala muhimu! Tunajua...
  8. mrangi

    JamiiForums Tanzania Mwamba anakokotoa bei ya mafuta

    Hebu tumsikilize Mshana Jr RRONDO Extrovert King Kong III Ova
  9. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania From Ukonga Prison: Ikulu ilituma ujumbe mwingine kumtaka mwamba akubali "msamaha" wa Mama. Tundu Lissu akataa, amwambia afute kesi kwa kuwa ni uongo

    Inasemakana Ikulu ya Samia ilituma wasaidizi wake tena Gereza la Ukonga kuonana na Tundu Lissu Wakamwambia Mhe. Lissu kwamba mama yao yupo tayari kumsamehe Mhe. Lissu ila sharti lake ni moja akubali kuipeleka CHADEMA kwenye maridhiano. Mhe. Lissu aliwauliza: "....Anisamehe kwa kosa gani wakati...
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ebu tu-share stori mbili tatu kuhusu huyu mwamba uliemuona katika picha hii

  11. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kama upo baa na ndugu comrade kipepe mwambie muhudumu sasa imetosha, mwamba akampumzike nyumbani

    Aisee mwamba anaandika nyuzi kila baada ya dakika 2 duh alafu mambo hayaeleweki😁
  12. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mwamba huko Tarime kajinyonga kisa mpenzi wake na barua yenyewe alioiacha ndio hii

  13. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Mwamba Mwamba - Mixx by Yas

  14. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Waumini 120 wa kanisa 'katoliki' walivalia njuga suala la 'ulofa' na 'wajinga' wasema Ruwa’ichi alitumia madhabahu kuwatukana

    Wanaodai kuwa Waumini wa Kanisa Katoliki, leo Januari 5, 2026 wamefika katika Ubalozi wa Vatican kuwasilisha barua rasmi ya malalamiko dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo la Dar es Salaam, Jude Thaddaeus Ruwa’ichi pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles...
  15. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Eti huyu mwamba ana miaka 22 hapo AFCON😂😂

    secretarybird Mjusi Sharobalo Vincenzo Jr ila huyu jamaa HAYA LAND yupo kila mahala😂😂
  16. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna mwamba aliwahi kuandika uzi humu kuwa alipewa utajiri na majini kutoka uajemi na akasema wahindi wanakitabu cha namna ya kuwatumikisha watu weusi

    Jamaa mjanja sana baada ya huo uzi hajawaahi tena kuonekana na hicho kitabu hakuwahi kukisema, 😂😂 Jf is a mystery sometimes
  17. Busu la Kenge

    JamiiForums Tanzania Mwamba alivyowapiga Lowassa na Mengi

    Unaambiwa ile 2015 Mwamba akamuweka pembeni Dkt. Slaa kwa kumkaribisha Lowassa lakini kabla ya hapo masharti ilikuwa Lowassa alipe dollar za kimarekani million moja kwa Mwamba. Lowassa akampa cash, mwamba akatia mfukoni. Mwamba Akaenda kumdanganya/ kumrubuni Mengi, Mengi naye akampa 1m USD...
  18. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Angalia mwamba alichomfanyia rais wa Mexico, kijana ajaribu kumpiga busu rais hadharani

    ukio lisilotarajiwa limezua gumzo nchini Mexico baada ya video kusambaa ikimuonyesha mwanamume mmoja akijaribu kumbusu Rais wa Mexico, Claudia Sheinbaum, alipokuwa akitembea katikati ya umati jijini Mexico City. Sheinbaum, ambaye ni rais wa kwanza mwanamke katika historia ya taifa hilo, alikuwa...
  19. The Father of All

    JamiiForums Tanzania GE2025 Yuko wapi mwamba Samia kwa sasa?

    Kuna machawa nataka kujua walipo wanafanya nini au wamefanywa au watafanywa nini. Na kwanini hawajatembelewa na kutembezewa kichapo? Ni wafuatao: Samuya Sululu Hassami Njaa Kaya Kiwete Abduli toto la mama Wanu Moody Mchengererwa Rizone Kiwete Salma Kiwete Daudi Albert Bashiti Albert Chalamila...
Back
Top Bottom