Mjukuu wangu ananijuza ,,,babuuu kuliko kuweka fedha bank na kununua ma hisa...kwa nini watu wasinunue Dhahabu na ardhi tu?..
Nikafikiria nikataka kumjibu nikanyamaza.....kwa hiyo na mimi namiulizeni ninyi,,,,,
mnanke mie si mtaalamu wa inflation....