Search results

  1. M

    Ni maeneo gani ambayo naweza kufanya biashara ya Printing?

    Naombeni msaada wa mawazo. Ni maeneo gani ambayo naweza kufanya biashara ya PRINTING? Katika maeneo niliotaja BANANA KITUNDA AIRPOT GONGOLAMBOTO GOMZ
  2. M

    Je system ya RITA in tatizo?

    Hivi karibuni nimesajili vyeti vya kuzaliwa online na baada siku 14 unapata tangu siku uliyosajili na kulipia. Nina siku 24 tangu nmelipia system inaonyesha status ya cheti kwamba APPROVED IMna ilitakiwa iwe CERTIFICATE ISSUED SWALI LANGU: je system inasumbua au kuna tatizo?? Je nikienda rita...
  3. M

    Ukiwa na mashine za embroidery nawezaje kupata faida? Mashkne za kuprint tshirt mfano kamouni ya ricoma

    NAOMBA KUJUA FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA MASHINE HIZO KWENYE BIASHARA HII YA PRINTING. Vilevile naomba kujua ili nipate faida natakiwa niwe na raw material gani?
  4. M

    Wapi naweza kusoma maswala ya printing kwa vitendo?

    Nataka kujua fani ya digital printing kwa ukubwa zaidi nataka niprinti mifuko mabango na vingine vingi. Je ni wapi wanafundisha kozi hii na ni sh ngapi?
  5. M

    Ni zipi kozi fupi za Bandarini zinasaidia kupata kazi?

    Wakuu, nataka kusoma short courses zinazotolewa Chuo cha Bandari pale Tandika hivo nilikua nataka majina ya short course ambazo ukisoma labda 4 weeks utapata ajira maana kuna mtu kanambia hii ya kuendesha foko.
  6. M

    Kufanya mapenzi kumbe ni kimbembe hivi

    Mara yako ya kwanza kufanya mapenzi ulikua na miaka mingapu,ilikua ni wapi, ulimuanzaje na baadae ikawaje.
  7. M

    Ni huduma gani zinafanyika mtandaoni?

    Huduma zipi zinatolewa online nataka kujua ili hata mtu mwenye computer na printer aanze biashara. Mfano: Rita- vyeti vya kuzaliwa
  8. M

    Hizi kozi ukisoma unapoteza muda tu

    Kama mdogo wako alisoma HGL,HGK,HGE,HKL. Kama O-level ana principle passes za Physics, Bios na Chemistry mwambie asiende degree kama uwezo wa kulipia diploma ya afya upo. Kama haupo basi afuate tu mkopo chuoni ila hakuna faida ya degree ya izo comb kama hauna direct connection.
  9. M

    Hivi mwezi huu biashara ya stationery huwa inaenda slow?

    Ndugu zangu habari zenu, Mimi ni kijana wa miaka 29 ninajishughulisha na biashara ya stationery maeneo ya buza uswahilini sasa naona changamoto imeanza wiki hii mambo ni magumu: mauzo yapo hafifu sana Nipeni mbinu basi nini NIFANYE AU NITUMIE NJIA ZIPI MAANA NIMEPANGA KWENYE FREMU
  10. M

    Umejipangaje usipoolewa?

    Wewe msichana umejipangaje usipoolewa?
  11. M

    Tabia zipi za Mwanamke au Mwanaume zinaonesha mapenzi yameisha?

    Taja Tabia za mwanaume au mwanamke ambazo zinaonesha kwamba penzi limekwisha au penzi limekufa iwe ndoa au uchumba‼️
  12. M

    Ulioa au kuolewa ukiwa na umri gani?

    Kipindi ukiwa na umri gani ndo uliamua KUOA AU KUOLEWA? ✨Ulimpata wapi your partner? HAPO ONGEZEA ULIMPATA WAPI HUYO MWENZA WAKO?
  13. M

    Anaomba ushauri: Akubali kuwa mke wa pili au asubiri atapata mume wake?

    Nina rafiki yangu kwasasa ametimiza miaka 25 lakini wadogo zake wameolewa ambao ni watoto wa mjomba ake sasa yeye kwa sasa anafanya kazi hizi za kujitolea katika shirika X kwahiyo kuna muda anakua anatamani kuwa na mume au mchumba ambaye ana nia ya kumuoa sasa the bad thing ni kwamba hana...
  14. M

    Biashara gani nifanye kuanzia leo july,august,september,november ,december na january?

    Kutokana na kuwa na wimbi la kila organisation kuweka system zao ONLINE. Je kwa uhitaji huu wa mambo ya online mfano kuhakiki vyeti,passport,vyeti,leseni,police fine, na mambo mengi tu. Unanishairi nifanye kitu gani na miki niingize mia miambili? Nifanye biashara gani? Itakayo nilipa? Niko mbagala
  15. M

    Ni kweli manifestation inaweza kukuletea maisha unayotaka?

    Jamani ndugu zangu naomba mtu anieleweshe MANIFESTION INAHUSISHA NINI? Na je inaweza kunisaidia kupata ninachotaka maishani mwangu? Mfano nataka kazi au pesa au maisha mazuri nawezaje kupata kwa njia ya kumanifest? Naomba kuelekezwa njia za kumanifest : unafumba macho au unafanyaje? Kuna mdada...
  16. M

    Umepitia/Unapitia changamoto gani tangu umalize chuo mpaka sasa?

    Kama binadaamu kuna wakati mtu unapitia magumu mpaka hujui nani wa kukusaidia hata kimawazo. Leo nimeanzisha thread hii ili tushare mambo au changamoto mbalimbali ambazo tunapitia sisi viumbe wa Mungu. Orodhesha changamoto na jinsi ulivofanikiwa kutatua ili umsaidie mtu mwingine huko aliko...
  17. M

    Nawezaje kupata Leseni ya Biashara ya online?

    Hi utaratibu moat wa kupata leseni ya Biashara online sio Kama ile ya karatasi halmashauri unapata sasa hivi ONLINE. Sasa kuna baadhi ya stationery hawajui kwahiyo nataka nikomae mwenyewe JE INAWEZEKANA AU KAMA UNAJUA NAMNA YA KUPATA PLEASE ELEZEA!!.
  18. M

    Msichana aliye na miaka 25 ana stress za ndoa kuliko mwenye 30

    Msichana akifika miaka 25 anatakiwa awe na mchumba anaeonyesha malengo laasivo STRESS HAZITAISHA KWA DADA ZETU
  19. M

    Ukiwa hujapata wateja kwenye biashara unatakiwa ufanye nini?

    Ndugu zangu naombeni mnipe mbinu za kufanya kwa mtua liyeanza biashara alafu WATEJA MWANZONI WALIKUA WANAKUJA TU ILA KWASASA NI WEEK INAENDA WATEJA NI WA KUSUA SUA HASA MWEZI HUU. Nifanyejeeee? Maana biashara ni mpya na sitaki kuifunga
  20. M

    Hizi ndizo degree ambazo zimesambaa mtaani

    Degree ambazo zimesambaa mtaani na wengine WANAFUNGUA MADUKA NA KUJIAJIRI KWA PAMOJA TUNAITA KUPAMBANA: DEGREE ZENYEWE NI HIZI: Ualimu, Human Resource Economics Law Procurement and supply, Secretary Banking and Finance, Community Development, Public Relation, Business Administration, Record...
Back
Top Bottom