kuolewa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Afghanistan kuruhusu watoto wa miaka 9 kuolewa ni jambo linalozua maswali makubwa katika dunia ya leo

    “Afghanistan kuruhusu watoto wa miaka 9 kuolewa ni jambo linalozua maswali makubwa katika dunia ya leo. Wengi wanaona kuwa katika karne ya 21 mtoto wa umri huo bado ni mdogo sana na anapaswa kuwa shule, si kuingia kwenye ndoa. Soma Pia: Bunge la Iraq limepitsha rasmi sheria ya kuhalalisha ndoa...
  2. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania Sio Biblia sio Quran iloitaja umri wa mwanamke kuolewa hiyo 18 mmejitungia tu

    Mm nasema hamna kama kuna mwenye aya au ushahidi wowote aje nao nimpe 300,000 usiku huu Muhammad (60) kwa Aisha ilikua sahihi Na Joseph (63) kwa bikira Maria ni sawa Hiyo 18 ni mbwembwe za waja, kama unaushaid iweke mbele weka lipa namba
  3. Vien

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sio kila mwanamke aliyeolewa kabla ya 30 ni bora… lakini pia sio kila aliyefika 30 hajaolewa hana sababu - kuna mambo mengi nyuma ya pazia

    Habari wana JF, Tuwe wakweli kidogo leo. Kufika miaka 30 bila ndoa kwa mwanamke si automatic kwamba ana “tatizo”, lakini pia mara nyingi kuna patterns fulani zinachangia hali hiyo - iwe ni maamuzi binafsi, mazingira au mindset. Twende point kwa point: 1. Kupenda hela / lifestyle kwanza Kuna...
  4. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Umezaliwa Dodoma ukakulia na kusomea Dodoma unaoa ama kuolewa upo Dodoma na kuzaa watoto ukiwa hapohapo. Wagogo mmerogwa?

    Wagogo pamoja na kwamba ni watani zetu ila huu sio utani acheni ufala bana Tz kubwa hii. Mmerundikana kama uyoga fala sana. Halafu mizaramo ndo haishauriki kabisa imetembea sana mwisho morogoro wa kwa waluguru yaani ni chupa na mfuniko. Haya makabila ilitakiwa liwe koloni la wasukuma...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uganda: Mwanamke ahukumiwa kifungo miezi 6 kisa ada ya mume mtarajiwa

    Mwanamke mmoja wa Uganda aitwaye Fortunate Kyarikunda, amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela baada ya kushindwa kumlipa Mwanaume aliyekataa kuolewa nae, fidia ya zaidi ya shilingi milioni 14 za Uganda (Tsh. milioni 9.6) pesa ambazo Mwanaume huyo amedai kuzitumia kumlipia ada Mchumba huyo...
  6. MamaSamia2025

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kina dada acheni kuwasumbua waganga kuwawezesha kuolewa wakati mlikuwa mnajibu hovyo enzi mkiwa kwenye ubora wenu

    Ninaandika kwa hasira kali sana. Unakuta umeenda zako kwa mganga unakutana na foleni kubwa ya kina dada wameenda kupata dawa za kupata waume wakati ndo haohao enzi wakiwa kwenye ubora walikuwa wakijibu kwa karaha waoaji waliojitokeza. Binafsi ni mhanga wa majibu na matendo ya kishenzi enzi...
  7. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mliokosea kuoa na kuolewa njoeni mjifariji hapa. Mungu atawakumbuka

  8. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kuoa au kuolewa kimasihala??

    Ilikuwaje mpaka ikatokea ukaingia kwenye ndoa bila kukusudia. Wana jei efu mkuye hapa mtuelezee kidogo😅😅😅😅
  9. R

    JamiiForums Tanzania Faris Buruhani: Bila amani na utulivu hakuna kuoa wala kuolewa

    Wakuu mpoooo!!!! Huyu inatakiwa VAR imulike bongo lake labda kuna chenga chenga 😂 😂 😂 Wanaovuruga amani ni hao wanaong'ang'ania madaraka kiuhalifu ------------- Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amewataka wananchi wa mkoa huo...
  10. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Akimbia nchi nzuri ya Kiislamu kwenda ishi nchi ya Kibeberu na kuamua kuolewa na kaka yake

    Hii huwa inanichanganya. Huyu dada ameondoka nchi yao nzuri ya kiislamu yenye kufuata miiko ya dini na taratibu na kwenda kuishi nchi ya kikafir. Alichofanya ndo kimeshangaza zaidi. Huko ambako hawajifuniki nywele na hawavai nguo za stara ameenda akaoana na kaka yake. Imagine kaolewa na kaka...
  11. Mwl.RCT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sifa Kuu za Mwanamke Mwema wa Kuolewa kwa Mujibu wa Qur’an na Sunnah

    🕌 MUHTASARI: SIFA ZA MWANAMKE MWEMA KWA AJILI YA NDOA (KWA MUJIBU WA QUR’AN NA SUNNAH) 1. Mwenye Imani na Uchamungu (Taqwa) Qur’an: An-Nur 24:26 — “Wanawake wema ni kwa wanaume wema, na wanaume wema ni kwa wanawake wema...” Al-Baqara 2:221 — “Wala msiwaoe washirikina mpaka waamini; kwa hakika...
  12. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ukitaka kuolewa kuwa kwenye mahusiano na mwanaume anayekupenda na sio unayempenda wewe

    Hapo vip!! Wasichana au wanawake wengi wanabaki masingle mothers na kutelekezwaa kwasababu anakuwa kwenye mahusiano na mwanaume anayempenda..wanawake wengi huwa wanawazaliwa wanaume wanaowapenda wakifikiri ndio njia ya kuolewa kumbe ameamua mwenyewe kuwa single mother kwasababu mwanaume anamuoa...
  13. Blueboy Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini mwanamke amekubali kuolewa halafu hataki kuzaa

    Wajomba kuna uncle wangu ameowa huku ukanda wa pwani ni mwaka wa nne now hukuna mtoto. Mwanamke hataki kushika mimba wala kuzaa naye mjomba anasema bado time. Afu kibaya kuna location kapin Mme kufika Pesa ipo ameikuta na zingine wamepata wotee. Sasa shidah ake itakuwa nn wakuu. behind the...
  14. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utamjuaje mwanamke aliye tayari kuolewa cc B2

    How To Know A Woman That Is Ready For Marriage! Many women are waiting for marriage, but they are not ready for marriage. Some women may have married without these qualities, but it will show in the quality of their marriage. But when a woman is truly ready for marriage, these qualities must be...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kuoa au Kuolewa Kilimanjaro ni ticket ya mafanikio

    Katika nchi yetu hii nzuri Tanzania yenye fursa lukuki, huku tukiwa na usimamizi imara wa CCM chini ya Samia. Inapasa mtu kujua jambo moja tu ili maisha yako yawe na mafanikio. Kama hautokei Kilimanjaro hakikisha unaoa au unaolewa na mtu wa Kilimanjaro. Hakuna watu waliojaliwa vision wanaoweza...
  16. Mad Max

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna swali hapa kwa waliooa au kuolewa na kufanya sherehe: Hivi uwa mrudi kuangalia video za shughuli yenu?

    Katika heka heka za kupunguza gharama za uendeshaji wa harusi, kuna hii budget ya videography. Hii sekta inaongeza sana gharama na inaweza kufika Mil 2-3 kizembe sana. Mara nyingi ukienda kwenye harusi utaona TV kadhaa zinaonesha live, macamera man kadhaa, drones na mataa ya picha. Hao ndigo...
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wanawake watema Cheche: Wanaume wenye Vitambi 'Wananuka' kiukweli Wanawake wengi hatupendi Kuolewa nao

    Msinigombanie kama Mpira wa Kona sijasema Mimi na ukitaka kujua waliosema nenda Mtandao wa Bongo Mjini usikie. Hivi mnadhani akina GENTAMYCINE ambao Kutwa tunachukia kutoka Vitambi kama vyenu hatujui kile tunachokiepuka?
  18. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Nashangaa Wale Wanaoshobokea Waarabu — Hivi Mnajua Kwao Hamuoi Wala Hamuolewi? Mnatambua Kwamba Kuoa na Kuolewa Nao ni Kuchafua Koo Zao na Damu Zao?

    Na: Mjumbe wa Nafsi za Watu Katika zama hizi za mchanganyiko wa mitazamo na hamaki za kimatamanio, watu wengi wanajikuta wanashindwa kutofautisha kati ya upendo wa kweli na tamaa ya kimfumo. Kinachonishangaza, tena kunipa mshituko wa kifikra, ni kizazi cha sasa – wasomi, wapendeza, wa...
  19. Zee la madawa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Wanawake wa kiislamu ndiyo wanaongoza kuolewa?

    Hivi sijui kwanini wanawake wa kislamu ndiyo wanaongoza kuolewa sana yaani mara chache kuoana mwanamke wa kiislamu anazeekea nyumbani tofauti na wale wa upande wa pili kama budha,hindu na wale wengine na mara nyingi mwanaume au wanaume wapo radhi wabadili dini tu imradi amuoe mwanamke wa...
  20. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Anayetaka huduma za VIP alipie! Sio apewe kisa ameoa au kuolewa na Mbunge

    Wakuu, Hapa Majuzi Mbunge Musukuma alisema Bungeni kuwa wenza wa Wabunge wawe wanaruhusiwa kukaa VIP kama wenza wao. Nimependa hoja ya Mzee wa Kaliua (Oscar oscar) kwamba kila anayetaka ViP basi alipie, kwasababu tukiruhusu tu wenza kupata huduma hiyo, basi ipo Siku watoto wao na wajukuu wao...
Back
Top Bottom