Biashara gani nifanye kuanzia leo july,august,september,november ,december na january?

Mimi mstaarabu

JF-Expert Member
Dec 10, 2020
258
567
Kutokana na kuwa na wimbi la kila organisation kuweka system zao ONLINE. Je kwa uhitaji huu wa mambo ya online mfano kuhakiki vyeti,passport,vyeti,leseni,police fine, na mambo mengi tu. Unanishairi nifanye kitu gani na miki niingize mia miambili?

Nifanye biashara gani? Itakayo nilipa? Niko mbagala
 
Back
Top Bottom