Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 258
- 567
Kutokana na kuwa na wimbi la kila organisation kuweka system zao ONLINE. Je kwa uhitaji huu wa mambo ya online mfano kuhakiki vyeti,passport,vyeti,leseni,police fine, na mambo mengi tu. Unanishairi nifanye kitu gani na miki niingize mia miambili?
Nifanye biashara gani? Itakayo nilipa? Niko mbagala
Nifanye biashara gani? Itakayo nilipa? Niko mbagala