NAOMBA KUJUA FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA MASHINE HIZO KWENYE BIASHARA HII YA PRINTING. Vilevile naomba kujua ili nipate faida natakiwa niwe na raw material gani?
Imebidi nije hapa huu mtandao wa Loan Board hauko vizuri hasa hasa kwenye kipengele cha Preliminary information hakuna chochote unachoweza kujaza na uka submit na ukakiona kwenye preview. picha hata useti kwa kiwango kipi 120x150px haionyeshi wala haikai kwenye mfumo.
Tunaomba kujua hapa nina...
Passport ya Tanzania unapata ndani ya siku moja baada data kuingizwa kwenye mtambo. Benki kadi unapata ndani ya masaa kadhaa, najiuliza hii kadi ya NIDA ina teknolojia gani ngumu hadi ukae mwaka bila kuprint kitambulisho?
Lakini kama wenye namba ya NIDA wanapata huduma zote kwanini tunaamini...
Nimeandika vitabu vya financial education, women empowerment na girls rights maalum kwa ajili ya watoto. Pia nna vitabu vya Kiswahili kwa wageni kujifunza. Sina pesa ya designing na kuvichapisha.
Ni wapi naweza kupata msaada wa aina yoyote nichape vitabu vyangu? Ikiwezekana kwa makubaliano maalum.
Nikitaka ku print form ya signature and declaration baada ya kujaza all fields katika kuomba mkopo HESLB inasema picha ya grantor uliyowepa can not be printed. Solution yake ni please?
Nime i-resise accpording to their allowed size JPG still inakataa.
Inaleta msg hii
TCPDF ERROR: [Image]...
Mifuko yetu ni imara haina shida aina yeyote, haitoki rangi zake na inadumu muda mrefu.
Kama huna nembo tunakudesignia.
Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.
Tunapatikana Dar Es Salaam.
call& Whatsapp 0683557564
Habari za majukumu wanajamvi.
Kama uko interested na biashara ya kuprint t-shirts, kofia, vikombe, sahani n.k, njoo nikuuzie Heat press machine ambayo ni 4in1 pamoja na printer EPSON L810 kwa TSHS. 1, 700, 000/= (milioni moja na laki saba).
Pamoja na vitu hivi, nitakupatia baking paper.
Habari ya uzima wakuu katika jukwaa la technolojia.
Naomba mwenye ujuzi wa kwenye ms. excel anisaidie jinsi ya kuprint data zote kwenye “drop down menu” automatically kwa kutumia button moja.
Au hata kwa kutumia VBA code azinisaidie then kuziset kwa kuedit sheet ya drop down list na cell...
Wakuu salam
Nataka kufanya hii biashara
Naomba mwenye ujuzi tushee
Printer ya aina gani inatumika
Materials
Ujuzi
Na upatikanaji wake
Natanguliza shukran
Nimeatach picha ya sample
Wakuu Habari za majukumu, naomba kujua kuhusu hii biashara ya kuprint Tshirt hasa ile local ambayo wanatumia ki unao flani hivi.
Nachotaka kujua, namna unavyoweza kujifunza kukitumia hicho kifaa je logo kabla hujai print unaifitisha vipi kwenye hicho kimachine?
Mwenye darasa tafadhali tufungue...
Habari wakuu,
Nimekuwa interested na kujifunza teknolojia ya kuprint picha na kuziweka kwenye photo frame za mbao kama inavyoonekana hapo pichani.
Nimejaribu kuomba kufundishwa na watu mbalimbali wanaofanya biashara hii mitandaoni bila mafanikio.
Naomba msaada wa maelekezo, kama kuna online...
Habari wadau! Tafadhali nahitaji kufundishwa namna ya ku operate 3D VACUUM SUBLIMATION MACHINE pamoja na mambo yote ya msingi yanayotakikana katika ujasiriamali huu! Tafadhali mjuzi wa mambo hizi aliyepo hapa Dar anicheki PM kwa mawasiliano.Asante
Katika kuhakikisha kazi yako inakuwa safi na nadhifu kabisa. #watusmartpackaging tunajuza leo mambo muhimu kabla ya kuchapisha mifuko toka kwetu au sehemu nyingine.
1. Artwork /picha Kabla ya kuchapisha mifuko ya kuwekea unga ile ya viroba au ya salfeti ni muhimu kuwa na mchoro au picha ambayo...
Kila unapotembea hivi sasa katika nchi hii utayaona mabango kwa maelfu, ya wagombea wa CCM yakiwa yamebandikwa sehemu mbalimbali za kuwanadi wagombea wao kwa uchaguzi mkuu ujao.
Vile vile katika kila mkutano wao wa kampeni, utaona mashabiki wao, wakiwemo watoto wadogo wanaosoma shule za msingi...
Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali na kuonekana ngoma si kama tulivyoivalia kibwebwe.
Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza...
Habari wadau
Nauza mashine ya kuprint tshirt heat press machine heavy duty
Inatumika kuprint picha na maneno kwenye tshirt
Inafaa sana kuchapa tshirt za kampeni za wagombea.. na tshirt za kumbu kumbu ya msiba
Bei ya mashine ni shilingi milioni moja ( 1,000,000 )
Mashine ni heavy duty na...
BEI YA DESIGN TSH 50,000/= (UTAPATA NA OFFER YA REALISTIC MOCKUP YA BIDHAA YAKO)
BEI YA KUPRINT STICKER TSH 600/= A4 SIZE
HUDUMA ZETU UTAZIPATA MAHALI POPOTE ULIPO!
FREE DELIVERY NDANI YA DAR ES SALAAM MIKOANI TUNATUMA KWA BUS
CALL/WhatsApp +255 658 060 476
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.