Stationery is a mass noun referring to commercially manufactured writing materials, including cut paper, envelopes, writing implements, continuous form paper, and other office supplies. Stationery includes materials to be written on by hand (e.g., letter paper) or by equipment such as computer printers.
Nauza Printer 🖨 ya Epson L850
Ina kila kitu chake, ni mpya sijawahi itumia
Tsh 900,000
All in one printer
Print,copy,scan
Six color eco-tank
Colored printer
Quality 💯
Napatikana Dar, Mbweni
WhatsApp/Call/SMS 0653 083 000
TANGAZO
Anahitajika Mfanyakazi wa kike mchapakazi kwa ajili ya kazi za Stationery.
Awe Mwaminifu na mdhamini mwenye makazi ya kudumu.
Awe anajua Microsoft office(Ms Office , Ms Excel, PowerPoint, Ms Publisher) vizuri na Software angalau Moja ya Adobe.
Awe anajua kupiga passport na kuprint...
Nauza Printer 🖨 ya Epson L850
Ina kila kitu chake, ni mpya sijawahi itumia
Tsh 900,000
All in one printer
Print,copy,scan
Six color eco-tank
Colored printer
Quality 💯
Napatikana Dar, Mbweni
WhatsApp/Call/SMS 0653 083 000
Habari,
Naomba msaada jamani nina stationery lakin katika kipindi hiki cha umeme kata rudi napitia wakati mgumu sana.. Naomba usbauri wenu jamani naweza kuongeza biashara gani isiyotumia umeme nikajiongezea kipato?
Pia ni sehem ipi online ambapo naweza kujifunza graphic design kwa undani??
Ndugu zangu habari zenu,
Mimi ni kijana wa miaka 29 ninajishughulisha na biashara ya stationery maeneo ya buza uswahilini sasa naona changamoto imeanza wiki hii mambo ni magumu: mauzo yapo hafifu sana
Nipeni mbinu basi nini NIFANYE AU NITUMIE NJIA ZIPI MAANA NIMEPANGA KWENYE FREMU
Kwahiyo, location imekuwa tatizo kuoata kwasababu sehemu nyingi watu wamejaa wenye kufanya tasnia hiyo ya stationery.
Location ambazo nakusudia ni:
Posta
Sasa sijapata na naskia stationery zimejaa sana maeneo hayo.
Sasa thread hii nataka kuomba ushauri nifanye nini ili kuboresha biashara...
NATAFUTA MFANYAKAZI WA STATIONARY
Awe msichana mwenye umri wa miaka 22 - 30.
Awe na ujuzi wa lugha ya Kiingereza na Kiswahili (Kuandika na kuongea)
Awe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea
Awe na ujuzi wa kutumia Komputer katika shughuli mbali mbali kama vile Typing, Printing n.k
Awe na...
Wakuu kwema?
Niende kwenye mada chap chap...
Mimi ni muajiriwa wa sekta binafsi,kazi yangu inakula mda wangu wote,sipati nafasi ya kusimamia ama kuendesha biashara zingine.
Ila nina hobby ya kupiga picha ni kitu napenda toka utotoni,nikaona ili kuhiendeleza nikasoma mitandaoni na hasa...
Naitwa Mustapha Rajabu. Nina umri wa miaka 28 naishia Dar Es Salaam maeneo ya Tabata Bima. Ninao uzoefu wa kutosha kwa kazi hiyo, nimefanya kazi ya stationery kwa zaidi ya miaka 5 hivyo ninao uzoefu mkubwa katika utendaji wa kazi hiyo.
Ninao uwezo wa kutumia Computer vizuri na kuchapa document...
Yas kama bei ya karatasi [hizi rimu/ream sijui] imefikia sijui 20,000s, na gharamagharama sijui thelathini naa huoni kama ni yaleyale. Ya kutoa dhahabu na kupewa kioo!!
Tunapewa kakitu kadogo tusichozalisha kwa bei kubwa na ili kupata fedha za kununulia huto tuvitu tunauza chakula chetu cha...
Katika kuendesha shule au kuandaa mitahani ama fomu mbalimbali karatasi ni nyenzo muhimu sana.
Sasa zinavyopanda kwa kasi hii kwa kisingizio cha vita ya Urusi na Ukraine tutafika kweli. Katoni ya Ream ya karatasi yenye pc 5, ilikuwa inauzwa 40 000/=
Kwa sasa ni Tsh 100,000/=.
Mimi bado...
Ndugu zangu watu wa Stationery hali yao ni mbaya sana. Kwani bidhaa muhimu katika Stationery hasa karatasi nyeupe zimepanda sana na haijawahi kutokea.
Kabla ya kauli ya Rais kuwa bidhaa nyingi zitazidi kupanda bei ya Katoni ilikuwa inauzwa Tsh 43000 ghafla baada ya ile kauli kutoka katoni ya...
Stationery Inauzwa. Bei 2,500,000 (Hakuna Punguzo). Stationery Ipo Mwanza, Jirani na chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino. Stationery ipo katika eneo zuri sana na inawateja wengi sana. (Sababu za kuuza ni mwenye nayo kukosa usimamizi). Ndani kuna vitu vifuatavyo:
1. Computer 1
2. Printer 2...
Ofisi ipo Mbezi Goba.
AWE MA SIFA ZIFUATAZO
1. Awe anaweza kutype kwa spidi.
2. Awe ana uwezo wa kutumia Inteernet
3. Awe ana uwezo wa kudesign.
4. Awe anaweza kuprint.
5. Awe anaweza kutumia mashine ya photocopy.
6. Awe anaweza kuscan.
7. Awe anaweza kutumia software ya Adobe.
8. Awe anaweza...
Wakuu nahijitaji vifaa vya stationery kwa Bei ya jumla Kama ifuatavyo.
1.Realm paper
2 flat files
3.printer ink HP laser jet 83A na 85A
4. Endorsing ink
5.blue pen and red pen
6.Box files
7.rubber band
8.steppler
9.punch
Etc.
Najua k/koo nikienda kutafuta nitaipata lkn Kama Kuna mdau huku...
Habari wanaJF,
Natumai hamjambo nyote
Mimi nipo Singida Manyoni nina kamtaji kangu, wazo lililonijia ni kufungua biashara ya vitu vya stationery, ila changamoto yangu sijui navipata wapi kwa bei nzuri, nataka niwe nauza jumla na reja reja pia, hivyo naomba mwenye kujua anijuze napata wapi...
Awali ya yote Napenda Kushukuru na Kupongeza Jukwaa kwa Mawazo Elekezi.
Naomba nielimishwe/nijulishwe juu ya Biashara ya Stationaries kwa ujumla, (Uuzaji wa Tonner, Karatasi, madaftari, peni, Office equipments, Photocopies) nakadhalika.
Natamani kusikia kwa mtu anaefanya hii biashara, Mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.