simba

  1. M

    Simba inajiamulia tu mambo yake! Yaipiga Coastal 2-1 na kuongoza Ligi Kuu, leo Mei 21, 2026

    Simba yawakanda Coastal kwao, mechi yaisha 2-1 na kuongoza Ligi Kuu, leo Mei 21, 2026 Mechi iliyopigwa Uwanja wa Mkwakwani Tanga imewafanya Simba SC Kuibuka na Ushindi baada ya kusawazisha na kisha kuongeza Goli baada ya kutanguliwa kwa Goli 1. Ushindi huu unaifanya Simba kuwa juu ya Msimamo...
  2. Chizi Maarifa

    Hatumtaki Rio Ferdinand. Amelishwa maneno mengi kuhusu Simba. Kwa haya anayosema tutaonana wabaya

    Ijulikane kama mmemleta kwa ajili ya Simba au Tanzania. Maana naona ujinga mwingi sana unaendelea. Anasemaje anataka aonane na wachezaji wa Simba? Ili iweje? Itokeeje? Ikaaeje? Ni upuuzi hata kumwonesha goal la Chama. Kwani Ligi hii limefungwa goal moja tu? Serikali. Iangalie jambo hili tusije...
  3. Kichuguu

    Simba hii ya Baker Inatisha: Yanga tujiandae kisaikolojia

    Simba hii ya Baker inainyesha kutisha kweli kweli; Yanga tujiandae kisaikolojia, Yanga hii tumekuwa butu sana kwenye kushambulia goli la mpinzani na vile vile tumekuwa lege lege sana kwenye kilinda goli let. Simba inaonekana kuwa imara sana kulinda goli lao na vile vile wana makali ya...
  4. R

    Tatizo la Simba linaanzia hapa

    Nilikuwa namtetea sana Mangungu kwamba hana uwezo sababu katiba haimpi nguvu. Baada ya marekebisho ya katiba amekaa kimya na kuqcha bodi ambayo haitambuliki iendelee kufanya maamuzi ikiwemo kuingia mkataba wa kutengeneza kadi wakati swala la kadi za wanachama linatakiwa kuwa chini yake...
  5. L

    Vin Nkolomboka: Kinywaji Halisi Nguvu ya Simba

    Wazee wa ulabu, mjaribu hichi Kinywaji mtanishukuru baadae...wazee wa maji, Kinywaji kinawahusu hiki.
  6. M

    Mashujaa FC Vs Simba Sc Uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma, 14 Mei 2026

    Yap Yap ni Leo, Mei 14 2026 Simba ndani ya Msitu mzito wa Sokwe Aina ya Mashujaa FC, Mashujaa wamejiapiza kuikaanga Simba siku ya leo huku Simba wakiweka wazi kuwa kilichowapeleka Kigoma ni alama 3 tu na si vingine, kwani utalii wa kuona Sokwe si jambo lao. Simba leo watakuwa na Presha kubwa...
  7. B

    Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

    Viongozi wa Simba wanajua wanaenda poteza ubingwa kwa mara ya 5 mfululizo. Wakaamua kuja na njia ya kusifia magoli ili mashabiki wahamishie furaha Yao kwenye kushabikia magoli. Hivi timu kubwa km Simba ni yakukaa na kuwa wanafurahia magoli ya wachezaji wao?? Turudi kwa kiwango cha chama...
  8. Financial Analyst

    Aisee hata simba wenyewe wamebaki wanashangaa🤣🤣

    https://youtube.com/shorts/ckpjnHkqa9E?si=mG_23v6OuBb17h3T
  9. Hance Mtanashati

    Drafti: Ronaldo kaisha tangu arudi kutoka ughaibuni, kesho atacheza na Simba Dom kwa aibu atakayoipata hatokaa asahau

    Kuna wakati kulikuwa na ubishi nani mkali kati ya dogo Sisko(jini) na Ronaldo (mwanasayansi) kiukweli kwa kipindi kile angalau angalau angefurukuta ila alikuwa kila akiwekewa dau acheze naye anakimbia au akijua kwenye mashindano Sisko yupo jamaa hashiriki hayo mashindano. Sasa bwana jamaa hapa...
  10. Dennis Robert Shughuru

    Derby kuchezewa Isamuyo kabla ya week kuisha watu wanahamia KMC- Simba na TTF ina viongozi wajinga sana

    Unangangania Derby kuchezewa kmc ukijua kabisa uwanja sio mzuri kwa sababu tu unataka tu kumkomoa timu fulani cha ajabu unapewa baraka na TFF kabla ya week haijaisha unarudi tena TFF unalalamika uwanja ni mbovu wanakukubalia kumbuka week iliyopita walikukingia kifua kwamba uwanja ni mzuri swali...
  11. Kipenzi Changu

    FT: Simba 1- 0 JKT Tanzania; ni "Mzee " Chama tena

  12. Moto wa volcano

    Adui yako ni kama simba, ukimfuga utageukakuwa kitoweo

    Kitu ambacho kinaweza kumfanya mtu aje ajute ni kufikiri mtu mbaya anaweza kubadilika , ukishamtambua mtu ni mbaya / adui yako take action fast otherwise u will be screwed first
  13. uran

    Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Match Day Kariakoo Derby Vikosi VINAVYOANZA. Updates... Timu zote zimewasili tayari kwenye Uwanja wa Mchezo. Major Isamuhyo Mbweni... Kikosi cha Yanga kimegoma kuingia kwenye vyumba vyakubadilishia Nguo. Wameingia kwenye nyumba ya pembeni... Sasa ni saa 11:18jioni DK 1 Mpira umeanza kwa...
  14. N

    Dabi ya Simba na Yanga kesho mashakani

    Hizi ni za ndani kabisa kesho mechi ya Simba na Yanga iliyopangwa kufanyika katika uwanja wa Meja Isamuhyo ipo kwenye hati hati ya kutochezwa. 'Updates' zitakuja hivi punde au kesho asubuhi.
  15. R

    Waziri Mkuu Mwigulu aipongeza Simba kwa Ushindi wa mbinde dhidi ya Yanga

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza Bungeni leo Aprili 30, 2026, ameipongeza klabu ya Simba kwa ushindi wa bao 1 dhidi ya Yanga. Klabu ya Simba ilitwaa ubingwa wa Muungano mbele ya Yanga katika fainali iliyochezwa katika Uwanja wa New Amaan Complex...
  16. nusuhela

    Baada ya kombe la Muungano Simba atatwaa kombe lipi?

    Je, kuna uwezekano wa Simba kutwaa kombe lingine zaidi ya hili la muungano? Kama upo, niambie ni lipi
  17. Chizi Maarifa

    Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week

    Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week.. Kalikuwa kasehemu kadogo tu. Kuwa waingie vyumba vya kubadilishia jersey. Waligoma goma now wameshakubali. Watarudi kuja pokeay⁴
  18. C

    Leo Simba ana uwezekano Mkubwa sana wa kushinda, nitawachambulia kwanini,

    Yanga Ameshinda mechi zake nyingi kila alikutana na simba. Fikiria interms of probability, una coin yenye pande 2, kichwa na mwenge.. umerusha mara ya kwanza ikatua kichwa, mara ya pili kichwa hadi mara ya sita zote mfululizo kichwa. hapa unajua kabisa chance ya kupata upande wa mwenge ni...
  19. R

    Full Time: Yanga SC 0-1 Simba SC| Muungano Cup Final | New Amaan Complex | 29.04.2026. Simba abeba Ubingwa

    MATCH DAY Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa LEO 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuanzia majira ya saa 2:15 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Yanga SC wanaingia...
  20. Tajiri Tanzanite

    Anaweza kuifunga Simba ni refa tu na sio Yanga

    Hapo vip! Ni wazi yanga wanalijua hili ndio maana huwa wanacheza na marefa na sio kcheza na Simba.Yanga hana uwezo wa kuifunga au kutoka sare na Simba ila refa na waamuzi wa pembeni ndio huwa wanamfunga Simba au wanasare na Simba mfano darby iliyopita Simba amenyimwa goli lake la halali na...
Back
Top Bottom