simba

  1. Carasco Putin

    JamiiForums Tanzania NBC:KAGERA SUGAR VS SIMBA SPORTS CLUB

    Simba imeanza vizuri msimu waa Ligi Kuu Tanzania Bara Msimu wa 2026/2027 kwa kuifunga Kagera Sugar Magoli 2-0, leo Agosti 16, 2026. Baada ya mechi za maandalizi na bonanza, sasa Ligi yenyewe inaanza rasmi leo, kwa Kagera Sugar FC na Simba SC zikianza kampeni zao za msimu wa 2026/27. 📅 Leo...
  2. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na demu shabiki wa Simba mwambie Pesa ziko Benki

    Akikuomba hela mwambie pesaziko benki. Akupe kwa mkopo.
  3. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Tunaomba Yanga watusaidie Dennis Nkane aje kama X factor Simba

    Nadhani tunamhitaji Dennis Nkane wakuu. Kwakuwa pesa ziko Benki na hakuna mtandao, tunaomba GSM amlipe Nkane bilioni 8 ili aje msimbazi kwa msimu 1.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Upungufu wa watu wenye akili Tanzania ndicho chanzo cha migogoro mingi kukosa utatuzi,tizama mgogoro wa Simba

    Watu wengi huamini mtu mwenye vyeti vingi vya shule ndiye mwenye akili,lakini mimi naamini akili ni zaidi ya kumiliki vyeti vya shule. Mgogoro wa Simba ni mfano mzuri kuonesha watanzania wengi,hususan walio kwenye media na wanaojitokeza sana kuzungumza,hawana akili kabisa. Sijasikia mtu hata...
  5. kavulata

    JamiiForums Tanzania Shida ya Simba ni Mangungu kutumia busara zake badala ya Katiba ya Simba kuongoza timu.

    Mangungu inaivuruga Simba, anatumia busara kuongoza badala ya kuongoza kwa mujibu wa Katiba iliyopo. Tabia hii inampatia shida na lawama dhidi ya upande wa mwekezaji na chawa wake. Mangungu anachelewesha ukamilishaji wa mchakato wa mabadiliko Simba, hafai.
  6. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Tetesi: JayRutty kusitisha mkataba na Simba mwisho wa msimu huu

    Taarifa za uhakika ni kwamba boss Mo kaamua kukita mizizi pale msimbazi kiasi kwamba mzabuni wajezi kaona hakuna future nzuri. Atavunja mkataba kwa gharama zake na yuko tayari kulipa fedha ya fidia kwa Simba ili aondoke. Genius Mangungu unaupiga mwingi.
  7. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania "Simba" kuoa mwanawe wa Zinaa!

    Je, unawajua watoto ambao "Simba" anaweza kuwaoa? Wataje na mama zao! Taja watoto wa ZINAA WA SIMBA.
  8. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wa mo kuiachia Simba!

    Nashindwa kuielewa kabisa!,Kuna wakati waarabu wa nafikiri dubai au oman waliitaka simba,likatokea zengwe timu hii atafutwe mwekezaji mwarabu tajiri amwage fedha za kutosha ili mambo yakae sawa kwa usajili wa maana utakao leta wachezaji vigogo wa kuleta ushindani mkali,
  9. A

    JamiiForums Tanzania Simba wakati wa Kurudi pitieni Tanga au Mombasa

    Ndugu zangu Wana Simba wakati wa Kurudi pitieni Tanga au Mombasa. Amasivyo kwenye ligi tutafungwa tena
  10. COARTEM

    JamiiForums Tanzania Mangungu ni pandikizi la Yanga ndani ya Simba, shtukeni

    Wanachama na Wapenzi wa Simba huyo MANGUNGU ni pandikizi la Yanga msipomtoa mtaendelea kufungwa mpaka mkimbie nchi. Mzee matendo yake yanajieleza wazi kabisa kuwa siyo simba damu. Mangungu kachomekwa awe mwwnyekiti wa Simba ili alinde maslahi ya Yanga. Kuna mchezo mchsfu ulipangwa hadi na...
  11. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Yanga wana nyakua mchezaji kambi ya Simba kama tukio la Marekani kumnyakua Maduro, Ada ya kuuzwa Fei Toto italipa ya Seleman Mwalimu.

    Huyu Eng. Hersi anajikuta mbabe mithili ya Trump wa Marekani. Kavamia kambi ya Simba kamteka mshambuliaji wao tegemezi. Anawasubiria waingie kichwa kichwa kumnunua Feisal Salum (Fei Toto) kujipoza machungu au wanaita comeback, kumbe wanailipia Yanga ada ya Seleman Mwalimu kwa Wydad. Magori...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Bila kupoteza muda Mechi ya Leo ngao ya Jamii Kati ya Yanga na Simba Nikiwa pangani mchana huu narudi Tanga mjini napewa taarifa hapa kuwa Yanga atapasuka vibaya sana Leo Mpk sasahivi viongozi bado wanahaha namna ya kugeuza kipigo Nawathibishia Leo Simba anashinda Ewee shabiki wa Mnyama...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Hawa mashabiki wa Simba wanaosema wakawashitaki viongozi wao kwa Rais Samia wana akili kweli?

    Nasikitika kusema kuna mashabiki maarufu kama influencer wa Simba hawana akili timamu na nikama hayawani mmoja anaitwa nyumbu. Rais Samia ndiye huyu mlimzomea kwenye Simba day mwaka jana,leo mnajitoa akili eti mnaenda kushitaki viongozi wenu? Nyumbu ni mnyama ambaye akikimbizwa na Simba na...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    kuna msemo wa zamani unasema Mla miwa husahau ila mtupa maganda hasau! Salam Haitii mimba; Huu msemo unamaana tu kwa watu wenye nidhamu; Haiwezekani unasalimiwa na mkubwa katika birthday yako huitikii na kibaya zaidi unazomea! Sasa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu! NAIMANI wengi...
  15. kavulata

    JamiiForums Tanzania Shida ya Simba ni Simba yenyewe, umbumbumbu ni mwingi kuliko weledi.

    Tofauti ya Yanga na Simba ni viwango vyao vya umbumbumbu. Umbumbumbu wa mashabiki wa Simba ulianza kutangazwa na mwanasimba mwenzao Kaduguda na kukolezwa na Rage. Ukiona mashabiki wanakunya hadharani mchana kweupe hao unaweza kuwageuza unavyotaka kama samaki kikaangoni. Ni mchezaji gani Tz...
  16. Li ngunda ngali

    JamiiForums Tanzania Ipo siku Simba atatambulishwa kuwa amesajiliwa Yanga

    Ni suala la mda Ni wazi umafia wa Klabu ya Yanga anao mfanyia Simba, ipo siku kutakucha na taarifa ya "SIMBA IMESAJILIWA NA YANGA"
  17. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Yanga kuokoteza makombo ya Simba ni Ushamba au Upashkuna wa Michezo?

    Klabu ya Yangu 10-8-2026 imemsajili mchezaji wa Simba ambaye hakuna na namba na ameshuka kiwango Sulemani Mwalimu, kwa milioni 150, Nyumba mikocheni na Subaru forester na mshahara wa milioni 15 kwa mwezi kma zilivyopenyezwa za ndani japo hazijadhibitishwa na chanzo huru. Yanga inaonyesha vile...
  18. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Yanga yaanza kutumia “Yanga day” — je, ni kuiga Simba day?

    Kuna mjadala mpya unaoibuka kwenye soka la Tanzania baada ya klabu ya Yanga kutumia kwa nguvu zaidi jina “Yanga Day” katika tamasha lake la mwaka 2026. Kwa miaka kadhaa, tamasha hilo limekuwa likitambulika zaidi kama Siku ya Mwananchi au Wiki ya Mwananchi, majina yaliyokuwa sehemu ya...
  19. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Sapraiziiii: Yanga yamsajili Selemani Mwalimu siku mbili baada ya kunukuliwa akisema ataichezea Simba Msimu wa 2026/27

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambiliaji Selemani Mwalimu ambaye msimu uliopita aliichezea Simba kwa mkopo, ikiwa ni siku chache tangu mchezaji huyo anukuliwe katika clip iliyopostiwa na Simba akisema ataendelea kuichezea timu hiyo katika msimu wa 2026/27. Mwalimu alikuwa akiichezea...
  20. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania SIMBA VS YANGA: Nani ataodoka na ngao ya jamii?

    Tarehe 12 Agosti, macho ya mashabiki wa soka Tanzania yataelekezwa Amaan Stadium, Zanzibar, ambapo Simba na Yanga watakutana katika mchezo wa Ngao ya Jamii. Hii si mechi ya kawaida. Ni Derby ya Kariakoo, na kila upande unaingia uwanjani ukiwa na presha ya kutaka kuanza msimu kwa ushindi dhidi...
Back
Top Bottom