watatu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Huihui2

    Mwanaharakati Malisa GJ adaiwa kutelekeza wanae watatu

    Mwanaharakati maarufu katika kusaidia watu wanaoishi kwenye mazingira magumu, Malisa GJ, anadaiwa kutelekeza wanae watatu aliozaa na mkewe wa ndoa Doreen. Kwa mujibu wa Doreen waliyeachana zaidi ya miaka 3 na Malisa GJ hajawahi kupeleka matumizi wala kutaka kuwaona. GJ ni maarufu kuchangisha...
  2. venchwa

    Jana bwana Hiyo nikapata demu watatu wakanipeleka jakuzi

    Nimechelewa kuamka mgongo unauma sana Mbaga Jr ninafuata ushauri wako ni kuwala tu 😀 Baada ya mechi ya ureno nikawa na mademu tumezoena sikutumia hata mia Jana wao ndo walinunua, wakanipa na pizza za free kumbe washaambizana kwamba huyu ni Hatari wanataka ku test ice cream nyeusi dadek! Kwanza...
  3. Kubwa la Maadui

    Wanaochafua Dar es salaam ni hawa watatu

    1. Mabango ya manabii/wachungaj 2. Mabango ya CCM 3. Matangazo ya waganga Yani kila sehemu yapi ovyoovyo, nchi haina utaratibu kabsa kama tunaishi porini. Huwez kukuta ujinga huu kwa watu wanaojtambua hata mara moja Kila kituo cha daladala, stend ya mabus , pembezoni mwa barabara hizo takataka...
  4. Dumas the terrible

    Wizara ya Afya:Taarifa ya Watoto watatu kufariki baada ya kupata sindano ya chanjo Iringa!

    Habari wakuu kuna taarifa nimepata kutoka kituo cha afya Isimani ikisema kuna watoto watatu wamefariki Dunia baada ya kupata sindano ya chanjo, Tunaomba kama kuna taarifa za kina Wizara ya Afya na mamlaka toka huko waje waitolee ufafanuzi maana kuna taharuki kubwa imezuka na hatua zaidi...
  5. R

    Kibaha: Wanaodaiwa kuwa ni Polisi wavamia usiku wa manane na kuwakamata wananchi, watatu hawajulikani walipo

    Wakazi wa eneo la Lupaso, Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani wameingiwa na hofu baada ya watu wanaodaiwa kujitambulisha kuwa polisi kufanya operesheni ya usiku na kuwakamata baadhi ya wananchi, siku nane tangu kutokee vurugu zilizohusishwa na mgogoro wa ardhi katika eneo hilo. Tukio hilo...
  6. Roving Journalist

    UVINZA: Vijana watatu kujeruhiwa kwa risasi, DC asema waliwavamia Askari wakitaka kuwanyang’anya bunduki

    UVINZA, KIGOMA: Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Dinah Mathamani ametoa ufafanuzi kuhusiana na tukio la vurugu lililotokea Mei 5, 2026 katika Kijiji cha Kalilani, ambapo vijana watatu walijeruhiwa kwa risasi wakati wa zoezi la kutoa elimu na uhamasishaji kwa wananchi wanaotakiwa kupisha maeneo ya...
  7. A

    DOKEZO Responded Askari wamewajeruhi vijana watatu kwa risasi – Uvinza wakati wa msafara wa DC, Mei 5, 2026, hatua zichukuliwe

    Kuna watu watatu wamepigwa risasi za moto na askari waliokuwepo kwenye msafara wa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza walipokuwa wakielekea Kijiji cha Kalilani kilichopo mkoani Kigoma Wilaya ya Uvinza, Tarafa ya Buhingu, Kata ya Buhingu. Vijana hao wao walishambuliwa na Askari Polisi waliokuwa na silaha...
  8. W

    Watatu wakamatwa kwa kutusi Tume ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29

    Jeshi la Polisi nchini limewakamata watu watatu kwa tuhuma za kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kusambaza matusi na maudhui ya kudhalilisha, wakiwemo waliolenga wajumbe wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya vurugu za Oktoba 29, 2025 na baada ya uchaguzi. Watuhumiwa hao wamekamatwa katika...
  9. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Tukiweka Dini pembeni pamoja umasikini narudia Tena kusema mke Mmoja hautoshi angalao wawili watatu hata wane si mbaya.

    Maelezo mnayo ninyi wakuu. NB: PICHA HII NDO NAMNA CCM ILIPOTUFIKISHA.
  10. M

    Inashangaza sana Mtumishi wa umma kulawiti watu watatu Igunga

    Hata kama ni kweli zaidi ya miezi mitatu anawalawiti alafu anakuja kukamatwa mwezi huu! ======= Watu Watatu wakazi wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora wanadaiwa kulawitiwa na mtumishi wa halmashauri ya wilayani humo kwa nyakati tofauti. Akizungumza na Mwananchi leo Aprili 12, 2026 Kamanda wa...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Pastor Nikki Shaboka, anakuambia hawezi kushindana na mwanamke aliyezaa naye watoto watatu. Ni ileile Facts niliyowapa. Mwanamke mzuri mzalishe watoto

    Hamjambo Wote! 1. Kuna wanaume wenye upeo Mdogo Sana. Ndio wale wanaotajwa wamezidiwa akili na wanawake. Ndio maana mambo madogo kama haya wanashindwa kuyaelewa. 2. Wanaume wote ambao uliwahi kuwaona hawababaishwi na Mapenzi wanatabia zinazofanana. Mojawapo ni kujua kuwatumia wanawake...
  12. Roving Journalist

    Jeshi la Polisi lawakamata Watu watatu wakiwa njiani kutorosha Punda 21 kwenda Nchi jirani

    Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo Nchini (STPU) Kwa kushirikiana na Shirika lisilokuwa la kiserikali la ASPA limefanikiwa kuwakamata Watuhumiwa Watatu waliokuwa wakitorosha Mifugo aina ya Punda 21 kwenda Nchi jirani pasipo kuwa na kibali. Kamanda wa Kikosi hicho, Kamishna...
  13. Pdidy

    Trafiki Kawe/na polisi kanzu wanahitaji kubadilishwa haraka kwa tuliowaona leo tena mbele ya kituo

    Inasikitisha sana sana anyway Mnamu saa tano asbh tar 18 feb Traffic mmoja mwembamba akishirikiana na wenzie watatu wakiwa mbele ya kituo cha polisi kawe walianza kukamata pikpik.. toyo... na bajaji Hatujakataa kukamata njia walizotumia ni hatarishi mh rto hata rc wetu aliepita alipiga...
  14. Doto12

    Mke anaruhusiwa kuwa na wanaume wawili watatu?

    Hili la wanawake kuwa na wanaume wengi limekuwa kama sheria waliyoipitisha wenyewe. Yaani asilimia ndogo sana wanawaume zao baasi, hawa 1970 hadi 1990, hawa wa 2000 kuja 2010 asilimia kubwa wana mabwana zaidi ya wawili watatu, nani kawaruhusu? Kama huamini na kama ni kidume chukua mtoto wa...
  15. Inside10

    Chama cha Mapinduzi kimepoteza wabunge watatu kwa muda mfupi kuanzia Disemba 2025 hadi February 2026

    Chama cha mapinduzi kimepoteza wabunge watatu kwa muda mfupi kuanzia disemba 2025 mpaka February 2026 Mbunge Jenista Mhagama alifariki 11 Disemba 2025 Mbunge Halima Nassor alifariki 18 January 2026. Munde Tambwe alifariki tarehe 3 February 2026 Pole ziende kwa rais na chama chake.
  16. Eli Cohen

    Kama unaujua mpira vizuri, historia na positioning, ebu chagua viungo watatu bora kutoka katika picha hii

    Hao waliosimama ni lothar mathaus na dunga Mimi: Mathaus Keane Makelele
  17. ERTUGRUL BEY

    Haikuhitaji Marekani kutumia ndege na tanks kuiangamiza Caracas, walihitaji walinzi watatu tu kufanikisha mchongo mzima

    My people, Habar iliyopo duniani sasa hivi ni kukamatwa kwa Maduro wa huko Venezuela, hapa nakuletea habar za kikachero kutoka Caracas. Pentagon,Marekani Mpango mzima ulianza mwaka mmoja uliopita pale ambapo Marekani ilikuwa inatafuta washirika wa kuwasaidia kufanikisha hii operation...
  18. Eli Cohen

    Trump wa US, Netanyahu wa Israel na Nayib wa El Salvador ndio viongozi watatu bora duniani kwa sasa

    Nayib ameweza kushinda mtandao wa unbazilifu, rushwa na magenge uliokuwa unaendesha nchi, ameweza kuitoa el salvador katika list ya nchi hatari duniani kwa kupambana na uharifu vikali. Trump ameweza kurudisha amani kwa nchi mbali zilizo kuwa na vita, ameirudisha marekani katika kiti uchumi bora...
  19. Foffana

    Tukielekea kufunga mwaka taja Members wako bora watano kwa mwaka huu 2025-Top 5

    Tupo ukimgoni wa mwaka huu uliokuwa na shuruba nzito nzito Kwa hakika ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mpaka leo imetukuta tukiwa tunavuta pumzi yake Hawa ni members bora kabisa kwangu kwa huu mwaka 2025 1. Binti wa zamani at the top 2. Manyanza 3. Sizinga 4. Chief-Mkwawa 5...
  20. DR HAYA LAND

    Binadamu watatu wema hapa duniani

    🍂🍂🍂
Back
Top Bottom