story

  1. Hamad yusuph

    The Night of Scary: Story chapter two

    Tulipoishia ni pale mzee soni kuona moto ukipamba sana katika nyumba ya justin (Raia)..saidia jman mwanga maji,”lete maji”mungu jamn maindra Justin alishangwaza sana na moto hule umetokea wapi…?,machozi mengi sana yalimtoka justin Justin) haiwezikani lazima nikamtoe mke wangu maindra. Justin...
  2. Saint_Mwakyoma

    Love story of short broke black man

    Za wakati huu wanajukwaa......naomba kupata uzoefu wenu haswa kwa wale wanaume wenye sifa hizi 1. Short (wafupi) futi 5.6 kushuka chini 2. Broke(wenye kipato cha papatu papatu) #upambanaji mwingi 3. Black(weusi) Mlifanikiwa vipi kupata wenza(wake,mzazi mwenzio,mpenzi kawaida nk). Kwa maana...
  3. Abdul S Naumanga

    Kwanini Hans Poppe na wenzake walitaka kumpindua Mwl. Nyerere? (SEHEMU YA 1️⃣)

    HATIBU GADHI & OTHERS versus REPUBLIC, 1996. Karibu katika sehemu ya kwanza ya uchambuzi wa kina wa kesi hii ya kihistoria yenye mengi yaliyojificha ama yasiofahamiwa na watanzania wengi wa kizazi cha sasa. Katika makala hii ya kusisimua tutachambua kwakina kwanzia historia ya wahusika (hasa...
  4. M

    Jirani sijakualika Idd kwanini hauondoki kwang? story haziishi

    Ni kweli sisi ni majirani lakini kwanini tokea asubuhi upo hapa kwangu na wakati sijakualika? Jirani kwanini unakuwa hivi lakini? Yani tokea asubuhi unabadilisha story tu mara Treni ya Umeme, mara Goli la Yanga, mara Radio ya Alikiba na hauna dalili ya kuondoka.
  5. U

    True story: Mzazi ukiogopa kumlipia mtoto ajifunze kuogelea chini ya uangalizi jiandae kwa lolote mtoto akienda mtoni / beach kuogelea bila uangalizi

    maji yana hatari lakini ni vema kuipunguza hatari hii kwa kujifuunza kuogelea, kuna watu wanakufa maji kwenye mafuriko kwa kushindwa kuogelea, meli zinpinduka ufukweni kuna abiria wanakufa maji kwa kushindwa kuogelea, watu wanaozama wanashindwa kuokolewa saabu anaeshuhudia hawezi kuogelea, n.k...
  6. SAYVILLE

    Story za ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni danganya toto

    Hizi hadaa ambazo uongozi wa Yanga pamoja na GSM wanaendelea kufanya kuhusiana na ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni geresha tu ambazo hazitakuja kuzaa matunda yoyote zaidi ya kuwapotezea muda wapenzi, mashabiki na wanachama wa Deportivo de Utopolo. Pale Jangwani ni sehemu ya mkondo wa...
  7. N'yadikwa

    Story ya Kambona ipo kwenye kitabu cha kina Shivji

    Huyu Kambona huyu? alikuwa mjanja mjanja sana. Nani alikuwa anamtuma. Baadhi ya Mikasa yake Odinga anamshauri arudi Tz, anakataa Anaunda tuvikundi huko Msumbiji kuleta mchafukoge Tz Anaalikwa Nigeria anamponda Mwalimu Anamleta ndugu yake Kenya kutoka London wanaanzisha kajarida ka udaku...
  8. Teslarati

    Nimeona story ya Beka ya mahari milioni 22. Nawapa experience yangu nilivyobargain na wakwe zangu, vijana jifunzeni

    Iko hivi, kwanza niweke kitu kimoja sawa. Mwanza nzima nadhani nipo kwenye 100 bora za wanaume wanaomiliki pisi kali mule mjini. Haya tuendelee na story Miaka imepita nilikutana na binti ndo ameanza mwaka wa kwanza pale SAUTI, ninahofia alikua ni classmate wa GENTA. Alikua na uarabu fln kwa...
  9. T

    My Story..

    Niite Mimi ndyo jina langu(sio jina langu halisi. Nimezaliwa Miaka 30 iliyopita Kanda ya ziwa.Nina elimu ngazi ya Shahada. Nikiwa nina Miaka 10,siku moja jioni ghafla nikasikia kitu kinatembea machoni kama mtu aliyemwagiwa mchanga.Nikajua ni mchanga umeingia tu,Kumbe!Nikaanza kufikicha na...
  10. Powell Gonzalez

    True story; I killed her (Simulizi ya kweli; Nilimuua)

    The first day we met ilikuwa last week, on Christmas day, tulikutana kama bahati tu bar fulani hapa hapa Dar. We stay at the same table having some drinks and stories. Baada ya kuzoeana kidogo alianza kuniambia vitu ambavyo nilivipuuza na kuhisi alikuwa ameanza kuzidiwa na pombe. Nakumbuka...
  11. Leejay49

    Tupigeni story mbili tatu🤗🤗

    Hivi kwanini watu wanashindwa kutofautisha Kati ya Chuki na dharau??🤔🤔 Kwanza kuchukiana sio vizuri na haipendezi, Ila kwa upande wangu Mimi mtu akisema namchukia nakua simwelewi kwasababu naweza tu nikakufungia mageti, yani just unakua out of my businesses na naweza nisishughulike na kitu...
  12. R

    Tanesco na kuhadaa wananchi mara kina cha maji, mara uchakavu wa mitambo. The story will never end

    Hivi kwanini wa TZ ni mazumbukuku. Kila uwongozi ukija TANESCO wanakuja na same story lakini wa TZ wanasahau walichoambiwa nyuma. Ni upole ama ni ujinga. Mvua inanyesha sasa hivi natumaini bwawa limejaa. Lakini bado mgao. Mitambo inatengenezwa kila uwongozi lakini haiponi. TZ bwana !! Mtu...
  13. ninjajr

    Huwa mnapiga story gani siku ya kwanza kukutana na ndugu yako ambaye hujaongea nae zaidi ya mwaka

    Za usiku wana JF na poleni na shughuli za kujenga taifa. Nina ndugu yangu wa kiume upande wa maza mkubwa kidogo ila ni kama tunalingana na mimi pia ni kiume tulikuwa close saana kipindi cha nyuma karibia mwaka sasa hivi ule ukaribu ulikufa wote. Kwa mara ya kwanza tulipingana kauli hadi...
  14. sky soldier

    Hizo tetesi za Wakurya kujaa jeshini ni story tu zilizokuzwa, katika wanajeshi 10 ni Mkurya 1 tu utamkuta

    Huwa nashangaa mno haya mambo yanavyokuzwa, huenda ni zamani sana ilikuwa hivyo lakini kwa sasa mambo yamebadilika. Ukweli ni kwamba majeshini na hata kambi kibao za majeshi wakurya wapo lakini sio kama inavyopotoshwa mitaani kwamba kirefu cha JWTZ ni jeshi la Wakurya tangu zamani ama kuna...
  15. A

    True Story: Sikufaidi first love

    Habari kwa wana JamiiForums! Naomba niende kwenye simulizi moja kwa moja, hii ilinikuta miaka kadhaa iliyopita. Mambo yalikuwa hivi:- Wakati ninaanza kidato cha kwanza katika shule moja ya Serikali mkoani Mbeya kama ilivyo kwa wazazi wengi baba yangu alinipa maneno haya "soma kwa bidii...
  16. Vincenzo Jr

    Maswali haya je una majibu?

    Masawali haya je una majibu?jibu kisha nitumie majibu(mtihani wa maarifa ya dunia) 1.Kama hela haioti kwenye kwenye miti kwa nini bank zina matawi ? 2.Kwa nini gundi hainati kwenye chupa yake? 3.Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa kwa nini bar kuna parking? 4.Kama neno...
  17. Sky Eclat

    Mapenzi ya binti kwa baba yake yalisaidia kumtoa baba gerezani

    Ilitokea huko Ufaransa, wakati wa utawala wa Louis XIV, huyu baba alihukumiwa kufia gerezani kwa njaa kosa lake aliiba mkate. Mtoto wake akiyekua ananyonyesha alikwenda kumtembelea baba yake kila siku. Akifika anampa baba yake maziwa yake anyonye. Baada ya miezi minne walishangaa kumuona mzee...
  18. Wadiz

    Story ya Maisha ya MwanaFA akihojiwa na Salama Jabir Isomwe na Single Mother wote na waoaji wa ma single mothers.

    MwanaFA akisimulia njia na hadithi ngumu ya maisha yake hakika Mungu wetu ni mkubwa sana. Natumia nafasi kumuombea heri na tuzo ya milele Babu yake MwanaFA ambae ni mzaa baba yake. Tafadhari mwenye video full ya mahojiano aiweke hapa watu waone na wapate hisia za maisha yake. Kisa Kiko hivi...
  19. Mr Lukwaro

    PHOTOS: Uzi wa Wallpapers, Profile pictures , na Stutus story.

    Huu uzi maalumu kwa wale wanaotaka Wallpapers nzuri na Profile picture kali. Kwa wanaopenda kuweka Status na Picture stories pia uzi huu ni maalumu kwa ajili yenu.
Back
Top Bottom