story

  1. B

    JamiiForums Tanzania Story ya mtoto Richard Kiko ( 15) inasikitisha mno

    Jana niliweka taarifa ya kupotea kwa mtoto Richard Riziki Kiko (15) mwanafunzi wa kidato cha pili, shule ya sekondari Mbwawa Lutheran iliyopo Kibaha. Richard alipotea juzi jumapili, akiwa anarudi nyumbani Magomeni Kagera akitoka kumsalimia bibi yake Mbezi Kibanda cha Mkaa. Jioni wakati anarudi...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania IEBC Confirms 2027 Election Date – Uchaguzi Kufanyika Agosti 10

    The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) imetangaza rasmi kwamba uchaguzi mkuu utafanyika Jumanne, Agosti 10, 2027. Hii ilitangazwa na Commissioner Ann Nderitu, Mwenyekiti wa Kamati ya Operesheni za Uchaguzi, wakati wa uzinduzi wa Election Operations Plan (EOP) 2025–2027. EOP...
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini kumekuwa na story nyingi sana za kutunga mtandaoni Tanzania?

    Nini kimetokea kuanzia JamiiForum, Facebook, Twitter na Instagram raia wengi wa Tanzania hasa vijana wanaposti visa au story nyingi mbalimbali za matukio ya uongo tu ya kutunga ya mahusiano, ndoa, uchawi n.k ?
  4. Hidden Diamond

    JamiiForums Tanzania TRUE story: Kifo cha mama yangu kilivyo taka kuniua

    Jina langu naitwa Hidden Diamond. Kwa mama, mimi ni mtoto wa tatu kuzaliwa (na kaka yangu mkubwa ambaye mama alimpata akiwa bado msichana mdogo), ila kwa baba ni mtoto wa pili baada ya kaka yangu ambaye kwa sasa ameajiriwa kwenye sekta mojawapo binafsi nchini. Kwenye familia yetu, wote kwa...
  5. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania The nite has a story to tell..

    Share your memories... Negatively😪💔 OR Positively😍💖 Whatever the cause! Just share..!🔥💪🏿
  6. ngara23

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Sisi millennials tupeane story za ujambazi wa kutisha uliotikisa miaka ya 2000 kurudi nyuma Watu wa mkoa wa Kagera tukumbuke Yale mapori ya Kasindaga na Kimisi, Pale wahuni waliuwa na kuibia watu kibabe sana Namkumbuka ilikuwa 1998 nikiwa mdogo mno, nadhani chekechea. Usiku wa manane...
  7. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Story ya binti alietoroka kwao baada ya kumaliza darasa la saba mwaka 2014. Baada ya kupatikana hiki ndio kisa chake.. Kuna kitu cha kujifunza hapa

    Shalom ndugu zangu. Nilipotelewa na mdogo wangu Lilian malisa miaka 12 ilopita. Mwezi ulopita niliomba msaada kwa wana FB kwa yoyote ambayo alimjua au kumwona. Nashukuru MUNGU kwa mawazo yenu, maombi yenu, na pia kwa yyte ambaye aliguswa kwa namna moja ama nyingine ili tu kunisaidia . MUNGU...
  8. C

    JamiiForums Tanzania The Darkest Form of Discipline in Human History, The story of The Monk Who Turned Himself Into a Living Mummy

    There was once a Japanese monk who wanted to master not only the mind… but the body itself. For years, he trained in silence, meditation, fasting, and extreme discipline. He slowly stopped eating normal food. First rice. Then vegetables. Until eventually he survived on roots, bark, pine...
  9. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Kuna sehemu nzuri ya kutunza watu hawa ? Au ni story?

    Habari! Kuna mtazamo mmoja hivi kwamba watu ambao huwa wanaonekana ni wasumbufu lakini ni public figure mfano Balozi polepole na Mdude Nyagali pengine Kuna mahala wanaweza kuwa wamehifadhiwa kwa mda tu huku wanapata huduma muhimu hasa ikiwa watu kama hawa huwa wanahusishwa na serikali. Huu...
  10. Empty containers Tanzania

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Hizi story za uchawi , ni story ambazo zipo kwa ajili ya jamii duni na jamii za watu wajinga . Mwaka 2006 ulitokea msiba wa kumpoteza bibi yetu , ila kwakuwa bibi yetu alikuwa kaolewa ndoa ya mke zaidi ya Mmoja basi walisema karogwa na kuuliwa na mke mwenza. Kitu Gani kilitokea . Bibi...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Free Education ama ni Story Tu? MPs Wafichua Ksh77B Hole Wazazi Sasa Wabebe Mzigo?”

    Kenya iko kwa dilemma kubwa sana kwa sector ya education. MPs sasa wanauliza swali direct—is education still free or ni slogan tu? Hii inakuja baada ya Basic Education PS Julius Bitok kufichua kuwa kuna underfunding ya karibu Ksh77 billion kwa secondary schools. Kwa ground, reality ni tofauti...
  12. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muda wa Story: Tujifunze na kuburudika na Story ya kufurahisha ya Baraka

    Usiku ulikuwa mzito kuliko kawaida. Mvua ilinyesha polepole kana kwamba anga linafikiria kabla ya kuangusha kila tone. Kijana mmoja aitwaye Baraka alisimama dirishani akitazama taa za mbali za jiji zikicheza ndani ya maji yaliyokuwa yakitiririka kwenye vioo. Hakujua ni nini hasa kilikuwa...
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Face2Face with Bilionea Saidi Lugumi, Kumbe Story ya Kuoa Binti wa IGP Saidi Mwema ni Uzushi wa Uongo! . JF Tuacheni Uongo na Uzushi!, Unatuharibia!

    Wanabodi Niko kwenye ibada ya mazishi ya msiba wa jirani yangu mmoja, katika Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma (BMMH), Mbezi Beach, Dar es Salaam ambapo nimekutana Face2Face with Bilionea Saidi Lugumi ambaye pia ni mmoja wa waombolezaji...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania From Dump Site to Play Site: Mathare Youth Change the Story

    Kile kilikuwa damsite hatari Mathare, sasa kimegeuzwa kuwa children’s park ya bure, mahali salama ambapo watoto wanaweza kucheza, kujiexpress na kuwa watoto tu. This transformation was led by a local youth group determined to reclaim space for the community. Kwa ushirikiano na SHOFCO (Shining...
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania GBV Against Men: The Story We Don’t Talk About

    Let's think of a scenerio in Githurai, Kevin is known as a hardworking boda boda rider ule jamaa hustler, hana noma. People see strength when they look at him. What they don’t see is what happens behind closed doors. At home, Kevin faces constant insults, control, and sometimes physical...
  16. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Story time:Holodomor: Njaa Kubwa ya Ukraine (1932-1933)

    1. Sababu ya Asili Holodomor ilikuwa njaa ya bandia iliyoletwa na sera za kisiasa na uchumi za Soviet Union chini ya Joseph Stalin. Sababu kuu ni: •Kutaifishwa kwa Kilimo: Wakulima wa Ukraine walilazimishwa kuuza mazao kwa bei ndogo kwa serikali, huku mashamba makubwa yakichukuliwa. •Bajeti...
  17. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania The long road to Uganda's independence

    THE LONG ROAD TO DAWN. Uganda's Story, Told in Shadows and Fire PART 1 Uganda’s independence did not arrive as a sudden miracle. It was shaped in silence, suffering and stubborn hope. Hope carried by people who dared to imagine a future beyond the rule of he who preached the cross and lived...
  18. JOHNGERVAS

    JamiiForums Tanzania Hii dunia watu makatili sana. Sikiliza hii stori ya John Kaaya akieleza jinsi polisi walivyomtesa

    Kama ni kweli kuna watu waliuawa bila hata hatia, tena kwa makusudi https://youtu.be/kW4x1NROh0k
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana wa kiume acha kabisa story na wanawake kama huna nia ya kuwala

    Nisiwachoshe Kama huna nia ya kumla mwanamke acha kabisa story nae. Mademu wengi wanapenda sana mazoea na wanaume lakini deep down wanakua na agenda zaidi hasa kumtumia na kisha kuhakikisha heshima ya mwanaume huyo inashuka. Naongea from experience furaha ya wanawake wengi ni kuona mwanaume...
  20. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Simu yako isikose game au story za kusoma pindi mtandao unapo zimwa

    Wakizma mtandao simu zita kuwa kam tochi tu umejipangaje andaa magem yako lakini pia story story ninazo sema utaka ipi ya kichawi kijsusi au chombezo nakutumia pm utajua wewe pakwenda kusav ili uwe una soma Leejay49 nina story zako 3
Back
Top Bottom