nyumba za kupanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Wapangaji wenzangu, mnakabiliana vipi na jirani asiyetaka kulipia bili ya maji na umeme?

    Maisha haya! Hii dunia ina mambo sana, hivi wapangaji wenzangu mnakabiliana vipi na mpangaji mwenzako asiyetaka kulipia maji na umeme jamani na mnatumia wote? Huyu jirani yangu kanishinda tabia walahi, angekuwa bidhaa ningemgawa bure kabisa maana hafai msikitini wala kanisani, hafai kwa mchuzi...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kwa mnaofahamu, hivi changamoto za kupanga nyumba kama hizi ni zipi?

    Wakuu, Naombeni kujuzwa changamoto za nyumba kama hizi. Chache nnazozijua: Ukiibiwa hamna shahidi ila ukivusha manzi ndo utajua kama unaishi na milard ayo Kila mtu ni DJ na usimwambie apunguze sauti sababu hujamnunulia sabufaa na humlipii umeme wala chochote Mnaishi kama bwenini hamna cha...
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania Ni kero gani ambayo ushawahi kukutana nayo wakati unatafuta nyumba ya kupanga?

    Wakuu, Hata kama umeshashusha mjengo watu wengi huwa wanapanga sana chumba au nyumba Sasa kabla ya kupata nyumba ya kuishi kunakuwa na ile process ya kuipata hiyo nyumba Siku hizi kila kona kuna madalali na mimi hawa ndo wananikera sana. Kuna wakati nilikuwa natafuta nyumba nilizungushwa...
  4. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Hivi dume Zima unakaaje kwenye nyumba ya kupanga hata chumba kimoja kimekushinda

    Huwa nashangaa jitu limejaa midevu linaishi kwenye nyumba walizojenga wanaume wenzao asubuhi linaamka na boxer kabisa na kupiga mswaki yaani unapataje nguvu ya kuishi sehemu kama hiyo aisee nyie jamaa hivi huwa munafikiri Kwa akili hizi ambazo watu kama Mimi mwenye IQ kubwa nafikiria kuhusu...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kupanga nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi hapo hapo ni shida sana

    Nimepanga nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi hapo hapo! Nimejikuta nikijilaumu na kujuta sana kwa nini nilifanya maamuzi hayo. Maana mama mwenye nyumba anatabia mbaya sana, anapenda sana kuongea kwa mafumbo anapomuona mke wangu mara akisalimiwa aitikii yani ni vituko juu ya vituko. Wakiwa...
  6. Mwangajamii Tanzania

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka na umeme kwenye nyumba za kupanga

    Submita kata umeme inakuwezesha Kutumia umeme wako mwenyewe, Acha kuokota fundi mtaani. Ukihitaji Submita nitakuuzia na kukufungia. Pia nitakupa Elimu namna yakuitumia Submita hiyo. Wengi wamekuwa wakipata changamoto namna ya kuitumia na wakati mwingine kutaka hata kuzifungua...
  7. Mustapha maDish

    JamiiForums Tanzania Ili kuepuka uharibifu wa nyumba/jengo na kupunguza gharama kwa wapangaji

    Hii inawahusu wenye nyumba za kupangisha ama majengo ya biashara ( kupangisha kama Office n.k ) Kwenye swala la Visimbuzi, achana na kufunga dish nyingi kwenye nyumba/jengo moja, ambapo kunakuwa na uharibifu mkubwa wa jengo kutokana na kila fundi ana ufundi wake! badala yake ifungwe dish moja...
  8. dalaliami

    JamiiForums Tanzania Nyumba za kupanga mbezibeach

    Nyumba Vyumba 3 ( Masta Ipo), Sebule, Dinning, Jiko, Choo cha kuchangia ndani. Ina fensi, egesho la gari, Maji Mita yake, Luku yake, umbali wa dakika 3 kutembea kutoka kituo cha daladala! Maelezo zaidi— 0687614981
  9. Hharyson

    JamiiForums Tanzania UMECHOKA KUKAA NYUMBA ZA KUPANGA NA UNA PLOT NDOGO ANZA NA HII NYUMBA UTANISHUKURU 3BEDROOMS NDOGO SEBULE JIKO 2BATHROON HAINA DINING 0624004650

    WE DO DESIGN AND CONSTRUCTIONS SERVICES KAZI YETU NI MOJA TU KILA MTANZANIA ANAANZA KUISHI KWAKE CALL US +255624004650 TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
  10. R

    JamiiForums Tanzania Maisha ya nyumba za kupanga uswahilini ni kama sinema ya bure, Ukiishi humo mwaka mmoja, unaweza andika kitabu kizima

    Tumetoka kwenye familia, zilizopanga kwenye nyumba iliyopewa jina la Muhimbili. Korido ndefu kama Sgr, kila mtu kapanga ndoo mlangoni.. Kulia vyumba tisa, kushoto nane, mwenye nyumba yupo uani.. Mlango mkubwa wa mbele, haufungwi hata siku moja.. Kwa sababu kuna watu kazi zao wanatoka usiku...
  11. Half american

    JamiiForums Tanzania Kwanini kwenye nyumba za kupanga ujenzi wa vyoo vizuri hauzingatiwi?

    Ujenzi wa choo kizuri na salama kwa matumizi sio jambo linalozingatiwa sana hasa kwenye nyumba za kupanga hasa hizi za bei za kawaida (10K-150K). Unakuta nyumba nzuri na mazingira n mazuri ila chooni utadhani kulisahaulika wakafosi kujenga ili choo kiwepo. Vyoo vingi ni vidogo sana, na namna...
  12. cold water

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kupanga!

    Jamani nipo kwenye nyumba ya kupanga ,tunaishi familia mbili tu Sasa basi mimi ni mfanyabiashara,iyo familia nyingine mwanamke ni mama wa nyumbani mume wake mchakalikaji Yani ameajiliwa anachonikera huyu dada ambaye ni mke wa jamaa. Siku nikishinda nyumbani ni kuimba imba manyimbo mda wote...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Changamoto kutoka kwa baba Mwenye Nyumba imetatulika

    Nianze na Salamu kwanza ndugu wa zangu wa JF, wakubwa shikamoo na wadogo kwangu habari zenu na rika langu je mambo vipi!? Baada ya Salamu naomba niseme kwa yoyote mwenye changamoto yoyote MWENYEZI MUNGU ATASAIDIA WAdau baada ya kuandika Uzi wa baba mwenye Nyumba ananidai Kodi yake basi...
  14. Magical power

    JamiiForums Tanzania Uchawi katika nyumba za kupanga

    UCHAWI KATIKA NYUMBA ZA KUPANGA. Umewahi ishi kwenye nyumba yenye mauza uza ya kutisha kiasi usilale usiku. Au umewahi kaa nyumba yenye skendo za uchawi yaaani wenye nyumba au wapangaji wenzio ni washirikina Share nasi ulikutana na mambo gani ya kichawi kwenye nyumba hadi ukaamua kuhama...
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wenye nyumba za kupanga tunaoishi pamoja nanyi kwa nini mnataka watoto zenu ndio tuwe na mahusiano hususani maeneo ya vipato vya chini

    Zile nyumba ambazo unakuta unaishi na mwenye nyumba pamoja na watoto wake ambao wamekuwa mpaka kunaitajika kubandika bango la kuuza ice cream. Na kama mwanaume ukiwa vizuri yani utaona mwenye nyumba mada zake sana mkiwa naye mfano. “Mtaa mzima ujaona tu hapa”. “We usipate tabu yupo wa...
  16. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

    Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi. Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna tabia nyumba za kupanga wapangaji wa kike kukaa karibu na njia ya kwenda chooni

    Nyumba nyingi za uswahilini ujenzi wake mkubwa vyoo huwa uwani(nyuma ya nyumba).Lakini wapangaji wengi ugeuza sehemu kubwa ya kupumzikia. Kama wapangaji wengine ushindwa kujiachia chooni kupiga matalumbeta na kufanya wengi tuwe na bawasiri tusizo zitegemea sababu ya kujibana tusitoe milio ya...
  18. Masoud06

    JamiiForums Tanzania Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?

    Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Madalali ndio chanzo cha mifumuko ya bei kila sekta hususani nyumba za kupanga

    Katika watu nawachukia ni madalali hata ukiwa na mali yako wanataka kupandisha kiasi kikubwa kupelekea hata kukosa wateja kwa wakati. Tuje kwenye suala la nyumba za kupangisha: Madalali wengi ni watu wa ajabu yani sehemu inaweza kuwa biashara hakuna ilo eneo, we ukaamua kufanya biashara na watu...
  20. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Nyumba nzuri, kodi nafuu lakini nyumba ilikuwa ina jinamizi

    Habari wana JamiiForums! Nimekuwa msomaji wa muda mrefu humu, lakini leo nimeona ni bora nishiriki moja ya matukio ya kutisha zaidi kuwahi kunikuta maishani mwangu. Najua kuna watu wengi hawataamini, wengine watafikiria ni hadithi za kutunga, lakini nawaambia kwa uhakika—nilipitia jinamizi la...
Back
Top Bottom