experience

Experience is the process through which conscious organisms perceive the world around them. Experiences can be accompanied by active awareness on the part of the person having the experience, although they need not be. Experience is the primary subject of various subfields of philosophy, including the philosophy of perception, the philosophy of mind, and phenomenology.
Several different senses of the word "experience" should be distinguished from one another. In the sense of the word under discussion here, "experience" means something along the lines of "perception", "sensation", or "observation". In this sense of the word, knowledge gained from experience is called "empirical knowledge" or "a posteriori knowledge". This can include descriptive knowledge (e.g. finding out that certain things are true based on sensory experience), procedural knowledge (e.g. learning how to perform a particular task based on sensory experience), or knowledge by acquaintance (e.g. familiarity with certain people, places, or objects based on direct exposure to them).
In ordinary language, the word "experience" may instead sometimes refer to one's level of competence or expertise, either in general or confined to a particular subject. In this sense of the word, "experience" generally refers to know-how rather than descriptive knowledge (or in other words, on-the-job training rather than book-learning). This article is not about "experience" in this sense, but is instead about the immediate perception of events.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Experience ya kulea vifaranga vya kuku

    Asalaam wana JF, Well, as most of y'all knows, i am very dedicated kwenye ufugaji kuku and recently nimeingiza vifaranga 1000 vya layers and yeah, i will be sharing experience ya namna ya kuvilea with less mortality. This will be like my Diary so keep yourselves updated 11/04- nilivifata kwa...
  2. Pinacoladee

    PSRS aptitude test experience

    Hello job seekers, Sekretarieti ya ajira (PSRS) umeanzisha utaratibu mpya wa kufanya written interview online(aptitude test) mitihani hii imefanyika kwenye kila mkoa Tanzania nzima kwa vituo vilivyoanishwa. Hivyo basi Leo tar 6 umefanyika mtihani ambao unajulikana kama aptitude test wameanza na...
  3. M

    Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

    Kwa mtu aliyewah kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu aje atoe experience. Nikiona mtu anatangaza kupotelewa na ndugu ua nashikwa na uchungu sana mpaka najiuliza nduguze hali ikoje.
  4. 2 of Amerikaz most wanted

    I think everyone should experience this at least once in their lifetime

    I think everyone should experience this at least once in their lifetime.
  5. De Professor

    Vimbwanga vya nyumba za kupanga, wapangaji na wenye nyumba

    Habari wanajamvi, katika maisha kweli kuna safari ndefu leo nimekumbuka zamani sana kipindi natafuta maisha nilipoanza kupanga kwenye nyumba za watu vile vioja vya hapa na pale. Mara mwenye nyumba yupo hivi mwingine nae yupo vile Mara sehemu uliyohamia unakuta wapangaji wanatabia hii wengine...
  6. Teslarati

    Nimeona story ya Beka ya mahari milioni 22. Nawapa experience yangu nilivyobargain na wakwe zangu, vijana jifunzeni

    Iko hivi, kwanza niweke kitu kimoja sawa. Mwanza nzima nadhani nipo kwenye 100 bora za wanaume wanaomiliki pisi kali mule mjini. Haya tuendelee na story Miaka imepita nilikutana na binti ndo ameanza mwaka wa kwanza pale SAUTI, ninahofia alikua ni classmate wa GENTA. Alikua na uarabu fln kwa...
  7. LIKUD

    Experience yangu na wanawake wanaoitwa jina Flora

    Akina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha. Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha. Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi. Sijawahi kumfahamu mwanamke anae itwa Flora ambae sio mpiganaji kwenye maisha.
  8. G

    6 Months experience na TTCL Fiber

    Habari Wana jamii,,nimeamua kuanzisha hii thread Ili kuelezea experience yangu na TTCL Fiber Ili iwe faida Kwa wengine wanaotaka kufahamu .. Nitaelezea ufanisi wake kulingana na matumizi ya mtu husika..Miezi SITA iliyopita niliunga kifurushi Cha 55k ambacho ni 20MBPS. Hakuna installation fee...
  9. Unique Flower

    Experience yangu JF katika kutafuta huba la moyo wangu 😘😘😘

    Wajanja wa mji hoyee, Nadhani kila mmoja wenu yupo sawa na mambo yake, . Mnamo 2019 nilianza kutafuta mwenzi wa maisha yangu waswahili wanasema huba la moyo . Nilipata mwanaume sio single ila alitaka niwe mke 2 nikaona hapana na ndio mwisho wa mawasiliano pale nilipokataa. Wakaendelea kuja...
  10. Jamii Opportunities

    Solar Water Pump Engineer with Water Filtration Experience at Power Providers Ltd November, 2023

    Position: Solar Water Pump Engineer with Water Filtration Experience Location: Arusha, Tanzania Position Type: Full-Time Reports to: Managing Director Responsibilities: Solar water pumping system design: use third party software to design solar water pump systems using Lorentz COMPASS...
  11. Lexus SUV

    Wenye uzoefu wa kupanda Malori yanayoelekea mikoani, namuomba hapa

    Habari wakuu , naomba ulizia kwa wenye experince ya waliowahi panda lori kwenda dodoma kwa ajili ya interview aje hapa atusaidie trip ilikuwaje, maana hali si hali wakuu dodoma moja... Au kwa anaejua yanakopatikana ma lori yanayoelekea mikoani kutoka dsm wakuu Kwa maana. Kiuchumi...
  12. R

    Mpwayungu yupo sahihi, hii kazi ya ualimu ni ngumu sana

    Habari za asubuhi ndugu zanguni, Nimefanya kazi ya ualimu katika shule x mkoani Dodoma kwa miaka 3 sasa nikifundisha masomo ya A level kwenye shule moja ya private. Lakini naona kama hii kazi inakuwa ngumu sana kwangu kuendelea nayo sababu na experience vitu vifuatavyo vinavyoniumiza na...
  13. Jamii Opportunities

    Specialist; Customer Experience Insight at NMB Bank September, 2023

    Position: Specialist; Customer Experience Insight Job Location: Head Office, Hq Main Responsibilities: Design and collaborate pan-bank to execute customer experience frameworks and design principles using customer experience insights, to improve client acquisition and retention, operational...
  14. MrWings

    Leta experience yako kwenye haya mambo( pain ya kuliwa naul na demu, Raha ya kula nauli ya me na inawezekanaje watu wanaendelea kutuma nauli?)

    Mimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
  15. Wadiz

    Safari yangu na washikaji na raha ya mapenzi Tanga-Moshi-Arusha-Karatu. An amazing city-break travel experience.

    Wasalaam JF, Ulikuwa ni mwezi uliojaa raha na mapenzi motomoto. Kipekee kwangu nilianza na penzi la mdogo akafuate msambaa, Kisha mpare baadae mchaga, baadae mmeru, baadae mbugwe, finally mmaghati. Sitaki kuwasemea wenzangu maana raha, utamu na ladha ni vya mlaji. Ila kwa hakika ukikutana na...
  16. Esokoni

    Umewahi kutumia VFD yaani kutumia simu kutoa risiti za EFD? Tupe experience yako

    VFD ni mfumo uliothibitishwa na TRA wa kutoa risiti za EFD kwa kutumia simu au kompyuta, huu mfumo ni Bora kabisa na rafiki kwa wafanyabiashara utakaokuwezesha kutoa risiti bila kikomo, Kupunguza garama kwa zaidi ya 50%, kutoa risiti za Softcopy na HARDCOPY, na sasa unaweza kutoa risiti ambayo...
  17. Ironbutterfly

    Experience yangu JF miaka 10 iliyopita

    Habari za usiku waungwana. Nimekumbuka experience yangu humu JF 10 years ago, nilikutana na a nice guy, ngoja nishee nanyi. Ilikuwa ndo nimegraduate chuo kikuu, nikaajiriwa kampuni X jijini Arusha, ilikuwa kampuni yenye projects nyingi, halafu za kusafiri almost every week kuna trip. Mimi ndo...
  18. M

    My American Experience: Autobiography by William Malecela

    Tukielekea 40 ya Mzalendo nguli. Tumuenzi Kwa kusoma kitabu chake cha My American Experience. U know! Tutakukumbuka daima bro.
  19. Mzee Saliboko

    Ilikuaje ulipopanga miadi na mwanamke akataka aje na rafiki yake?

    Mara nyingi wanaume tukiweka miahadi na mwanamke tunataka aje peke yake (privacy), sasa ilikuwaje ulipanga appointment na mwanamke, akawa anataka kuja na rafiki yake? Ulimkubalia, nini kilitokea?
Back
Top Bottom