King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 914
- 1,704
Binafsi kero za mwenye nyumba zilisababisha kujenga nyumba yangu na kuhamia faster ilikuwa 2015.
Unalipa kodi mara umeme umekatwa wakati kwake upo, mara kuchota maji mwisho saa 4 asubuhi, hutakiwi kutumia pasi ya umeme wala water heater yani ilimradi uishi kwa mateso.
Ukiongea unaambiwa kajenge nyumba yako kama unadhani ni rahisi, lakini kwa upande mwingine bila hizo changamoto labda nisingeweza kujenga, leo nipo kwangu na pia namalizia room za wapangaji ila sitawanyanyasa kamwe.
Mwenyezi Mungu anisaidie.
Unalipa kodi mara umeme umekatwa wakati kwake upo, mara kuchota maji mwisho saa 4 asubuhi, hutakiwi kutumia pasi ya umeme wala water heater yani ilimradi uishi kwa mateso.
Ukiongea unaambiwa kajenge nyumba yako kama unadhani ni rahisi, lakini kwa upande mwingine bila hizo changamoto labda nisingeweza kujenga, leo nipo kwangu na pia namalizia room za wapangaji ila sitawanyanyasa kamwe.
Mwenyezi Mungu anisaidie.