mpangaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ikumbukwe: MBOWE ndio mpangaji wa vurugu zilizomuondoa Msigwa CHADEMA. Mbowe alitaka pia awafute akina Lissu, Heche!

    Mzee wangu Peter Msigwa, Wewe una Kura yangu , nihesabu 100% kua Mimi Carlos The Jackal ni Shabiki yako. Mimi na akili yangu, Huwa simshabikii Mtu ndezi ndezi . Msigwa una uwezo, sitaki kukupimisha na watu ambao ni wanachadema na ofcoz hata nikikupimisha NAO , WEWE NI MSHINDI. Karibu...
  2. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Dalali Anaingia Ndani Kupiga PIcha wakati Mpangaji Nipo-Kamkuta Mke Wangu uchi chumbani na Binti yangu Anaoga!

    Kisanga:- Madalali, siyo wa Sinza tu, wala kijitonyama na Magomeni bali Mwananyamala, Mwenge, Mabibo, Goba , mbezi beach, Mburahati, Mwanantoti, Jet Lumo, Vikunai, Kijichi, Kisewe, Vingunguti, Chekechea, Vikunai, Mabibo , Tabata, Segerea, Kinyerezi, Salasala, Wazo, Madale, Mivumoni, isipokuwa...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji mzungu amlalamikia mpangaji kumdhulumu eneo lake karatu

    Mgogoro mkubwa umeibuka katika jengo la biashara la Manyara Safari Lodge – Heritage Camp Lodge lililopo wilayani Karatu, mkoani Arusha, baada ya mwekezaji wa kigeni na mmiliki mwenza wa eneo hilo, Timothy Flavell, kudai kuwa anajaribiwa kutapeliwa na mpangaji wake, Erick Mashauri. Flavell, raia...
  4. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Mpangaji wa Mikakati Dhidi ya TEC na Fr. Kitima atambulika

    GT Kwa ufupi sana 1. Ni kweli ludovick ni mkatoliki lakini ni msaliti kama yuda 2.Alisoma mpaka ngazi ya frateri ambayo ni ngazi ya juu kabisa kuelekea upadri. 3. Alifukuzwa na kushindwa kupata daraja takatifu la upadre. 4 Ludovick ana kisasi na kanisa kisa kufukuzwa kwa utovu wa nidhamu...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Wenye Nyumba: “Nataka Mpangaji Asie na Mtoto Tu!” Huu ni Uchawi au Roho Mbaya tu?

    Kuna matangazo kibao ya nyumba ambapo dalali anasema kabisa mwenye nyumba anataka mpangaji asie na mtoto/watoto. Issue ni nini? Wivu au Roho mbaya?
  6. Nyamwage

    JamiiForums Tanzania Huu mkataba unambana mpangaji na kumbeba mwenye nyumba

    Nina miaka miwili kwenye hii nyumba lakini leo nimelipia tena kodi kama kawaida lakini mkata ulipokuja naona umeongezwa kipengele ambacho naona hakiko sawa mwenye nyumba ananiambia nisheria mpya ya upangishaji hapo kwenye picha nimewekea point nyekundu lakini hata ukiusoma mkataba mzima masharti...
  7. Right Marker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uswahilini: Mpangaji atangaza vita ya kuiba waume wa wapangaji wenzake

    Kila kukicha vituko havikwishi! Huku mtaani kwetu kuna mpangaji wa kike (single) ametangaza vita ya kuiba waume wa wapangaji wenzake. Amewaambia wapangaji wenzake kuwa atahakikisha anaiba waume wa wapangaji wote. Hii ni baada ya mpangaji huyo kutofanya usafi wa choo kwa mwezi mzima. Hivyo...
  8. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

    Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi. Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao...
  9. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Mpangaji aliyeishi Chumba cha giza kwa miaka Nane ili kufanikisha malengo yake

    Hii ni true story ya mpangaji wa bibi yangu pale ilala kota,naandika uzi huu kama hamasa kwa wapambanaji wote kwamba ukiweka malengo na kuishi nayo hakika utafika pale unapotaka kufika Mpangaji huyu na mume wake walikuwa ni miongoni mwa wapangaji kadhaa pale kwa bibi yangu,pamoja na kwamba...
  10. DeepPond

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri, Mpangaji wangu 'kaniblock'

    Wakuu, Kama Kuna sehemu nmekosea labda mnambie ninyi. Kuna sehemu nna kibanda Cha wapangaji wanne huwa nakipangisha, Sasa Kutokana na mkataba. Kila mpangaji ananilipa Kodi yake kutokana na tarehe aliyoingia kwangu, na Kodi huwa napokea kuanzia miezi 6. Huyu mpangaji alihamia kwangu mwaka...
  11. Chief Kumbyambya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemtongoza mpangaji mwenzangu kanikataa halafu ananipigia taarabu

    Toka jana anapiga taarabu za vijembe na kujisifu wanavyopendana ka bwana kake na mimi nikaona isiwe kesi, nikadownload ngoma moja ya jamaa wa Kenya anaitwa alvindo nimbo inaitwa Taka Taka. Inasema... Unakataa kuwa demu yangu naenda kwa mrogi nakuroga unakufa... Na nakuja kwa mazishi yako...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Mpangaji afungiwa ndani Saa 27 na Mmiliki wa nyumba kwa madai ya kukiuka Notisi ya kuhama

    Wakuu, huu ni Uungwana kweli? Huko Marogoro mwenye nyumba kamfungia ndani saa 27 mpangaji kisa amekiuka notisi Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mmiliki wa nyumba Plot namba 149 BLOCK ‘A’ Kihonda Kilimanjaro, Dk. Lusako Mwakiruma ilioyopo Mtaa wa Kilimanjaro Manispaa ya Morogoro, amemfungia...
  13. Osei Tz

    JamiiForums Tanzania Kodi ya Fremu alipe directly mmiliki wa Frem na sio mpangaji

    Ukifungua biashara ukienda TRA ili wakokotoe kiasi cha kodi unachopaswa kulipa lazima wakuulize umepanga frem ya bei gan, Ile thaman ya frem kwa mwaka wanakokotoa asilimia ambazo ndio kodi ambayo kimsingi ilibidi ilipwe na mmilik wa frem au Jengo. Pointi ni kwamba wamilik wa majengo au frem...
  14. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkeo akikupa taarifa ya mpangaji mwenzenu wa kiume kumuomba namba utachukua hatua gani?

    Kwa mfano kuna mpangaji mpya amewasili mnapoishi ila baada ya mwezi akamuomba namba ya simu mkeo kwa siri kwamba lengo wewe usijue tena alivyo mshamba akatumia kimemo na ushahidi upo wa kimemo na mkeo akamnyima na akaja kukusimulia wewe ila kwa kuogopa kugombanisha mpangaji na mkewe akakuomba...
  15. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mpangaji wa nyumba kwa taasisi au Dispensary, nyumba ipo Kinyerezi mwisho.

    Anahitajika mpangaji binafsi au taasisi kwa ajili ya kupanga nyumba kubwa yenye fence kubwa ya viwanja viwili double vya low density. Eneo ni Kinyerezi mwisho bomba la Songazi ni mita kama 200 kutoka barabara kuu lami. Matumizi unaweza kufanya ofisi au Dispensary itategemea na plan za...
  16. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Baba mwenye nyumba na mpangaji (Confession)

    Mpangaji akimuongelea Baba mwenye nyumba, Mwenye Nyumba akimjibu Mpangaji Kazi kweli kweli!
  17. Aliko Musa

    JamiiForums Tanzania Suluhisho la Manyanyaso Ya Bi.Mwajuma Dhidi Ya Mpangaji Wake Bwana Hassan

    Siku moja nilipigiwa simu na msomaji wa makala zangu za mtandao wa UWEKEZAJI MAJENGO. Msomaji wangu huyu alijitambulisha kwa jina la Hassan. Maelezo yake yalikuwa kama ifuatavyo: Kulikuwa na mwenye nyumba anayejulikana kwa ukatili wake dhidi ya wapangaji. Jina lake ni Bi. Mwajuma, mwanamke...
  18. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Suala la Umeme: Mother House na Mpangaji kimenuka

  19. rajiih

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii mvua inaniletea tamaa ya kutaka kumla mpangaji mwenzangu ila nafsi inasita

    Habari wana JF poleni na Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kote Nchini Kuna mdada amehamia katika Room inayofuatana na yangu sasa toka amehamia tunaishi poa sana kiasi hata nikiomba mzigo sahii ananipa. Sasa juzi kamerudi kamelewa kakaniomba nikasaidie kufungua mlango wake sikustuka kumuona...
  20. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Mpangaji kama huyu unadili nae vipi?

Back
Top Bottom