Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
Wadau kuna baadhi watu wana uwezo mkubwa sana wa kujenga na kuwa na makazi yako lakini bado umalaya unawafanya waendelea kupanga.
Kuna watu wengine walishakolea ile tabia ya kutembea na wapangaji wanaona wakijenga na kuishi kwao hawatapata michepuko.
Kuna watu walishazoea yale maisha ya kuangalia kanga na taulo za wapangaji wamefikia hatua ya kutokuachana na nyumba za kupanga kabisa yani imekuwa kama ulevi kwao.
Kuna watu wengine walishakolea ile tabia ya kutembea na wapangaji wanaona wakijenga na kuishi kwao hawatapata michepuko.
Kuna watu walishazoea yale maisha ya kuangalia kanga na taulo za wapangaji wamefikia hatua ya kutokuachana na nyumba za kupanga kabisa yani imekuwa kama ulevi kwao.