mbovu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Maswala ya katiba Mbovu ni Makosa ya Watawala waliotangulia wote, sio Mama!

    Mwasisi wa katiba hii,Ni Nyerere, aliitumia kuendesha utawala wa kiimla,Mfano kuzuia wapinzani wake kusafiri nje ya maeneo fulani,kuaminisha watu kuwa Fikra zake ndio bora na zidumu ( alikuwa na Machawa waliosifia kila kitu alichosema/ kufanya) Nyerere alifadhaisha sana wapinzani wa sera...
  2. jT0078

    JamiiForums Tanzania Leta Laptop mbovu nanunua

    Lete Laptop mbovu NANUNUA. ILALA - DSM 0666761542
  3. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nanunua Laptop mbovu, bei maelewano

    LETE LAPTOP MBOVU NIKUPE PESA NIPO ILALA - DSM 0767953873
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Stendi ya Misuna – Singida ina utaratibu mbovu, mabasi hayajali muda kuondoka kwa mabasi

    Wakuu kusafiri Stendi ya Misuna iliyopo Singida Mjini ni kipengele kikubwa, tiketi unakata saa kumi jioni ili uondoke saa 3 usiku matokeo yake mpaka saa saa saba za usiku hujui hatima ya safari yako. Tiketi tunazokata ni za elektroniki lakini hakuna kufuata muda licha ya uwepo wa traffic na...
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wazungu wanakubari makosa na kujifunza ndio maana wanazidi kutumia uwezo wetu kwa serikali mbovu za afrika kutokubari makosa

    Ni jinsi gani Africa imekuwa sehemu ya majaribio ya kila aina bila wao kujifahamu. Mzungu anaweza kukosea ila anaweza kukuacha na kujifunza alichokosea. USA kutimiza miaka 250 mpaka taifa kufika pale ila walijifunza makosa na mpaka sasa ni taifa kubwa. Afrika ijawahi kujifunza makosa ndio...
  6. jT0078

    JamiiForums Tanzania Leta Laptop mbovu nanunua

    NANUNUA LAPTOP MBOVU kama spare BEI MAELEWANO ILALA - DSM 0767953873 Whatspp: 0666761542
  7. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU. BEI MAELEWANO

    LETE LAPTOP MBOVU AU AMBAYO UMEICHOKA BEI MAELEWANO NIPO ILALA - DSM 0767953873 (whatspp 0666761542)
  8. technically

    JamiiForums Tanzania World cup 2026 timu kubwa zote mbovu?

    Nilianza kuangalia world cup toka game ya kwanza Timu Kama Brazil, German Spain zote mbovu Brazil hii na Ile ya 2014 hakuna tofauti German pamoja na kushinda 7 Jana lakini mpira mbovu. Muda huu nipo nawaangalia spain utadhani ni Tunisia iliyochangamka. France nayo baada ya kufunga na...
  9. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU BEI MAELEWANO. ILALA -DSM. 0767953873

    NANUNUA LAPTOP MBOVU BEI MAELEWANO. ILALA -DSM 0767953873
  10. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Wabunge watoro ni kielelezo cha katiba mbovu...

    Nimesikitika kusikia Spika akilalamika kuna wabunge watoro wakiwamo hawa waliotoroka na kuishangilia timu ya taifa morocco hapo ni kwamba baada ya kusikia kuna ndege ya bure ndio wakatoroka . Maana yake wanahujumu pesa za walipa kodi au nchi . Hivi nchi kama china mtu anaweza kuchezea...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Uongozi mbovu Hospitali ya Wilaya ya Kwimba

    Huduma mbovu sana upande wa opd(wagonjwa wa nje) wameunganisha jengo wagonjwa wa dharua na OPD ya wagojwa wa kawaida na kuacha vyumba vikiwa waziwa sisi wagonjwa wa magonjwa ya kawaida tungeendelea kutibiwa kule pa zamani na kuepusha kupata magonjwa ya mlipuko yakitokea, lakini pia hakuna...
  12. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU BEI MAELEWANO. 0767953873

    LETE LAPTOP MBOVU NIKUPE PESA NIPO ILALA - DSM 0767953873
  13. Superbug

    JamiiForums Tanzania Watumishi mnaopanda madaraja poleni Kwa kuonewa na mfumo ESS

    Wale ambao hamjapanda madaraja poleni mfumo wa ESS umetumika kuwaumiza hela za kuwapandisha hakuna kwahiyo k8gezo Cha ess kimetumika kama fimbo Kwa wale ambao hamjafikisha asilimia. Source mnyetishaji
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mzani wa magari wa Njiro, Arusha ni mbovu na fedha zinakusanywa kimazoea

    Wakuu, Hapa Arusha kuna mzani moja wa Jiji iliyopo maeneo ya Njiro, baada tu ya roundabout ya Impala. Mzani huu naufahamu huu mwaka wa tatu. Kila gari kubwa linalopita hapa linatozwa kati ya 5,000 hadi 10,000, lakini la kushangaza ni kwamba mzani haugfanyi kazi, yaani ni mbovu, ila fedha...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Pasi ya maji hulinda nguo zako na kuzitoa smart kuliko pasi kavu, pasi za maji sio mbovu, zitumie kwa namna hii na hutafikiria tena kutumia pasi kavu

    Watu wengi wamekariri kutumia pasi kavu bila kujua zinachangia pakubwa kuharibu nguo zao Pasi kavu huchosha kitambaa, huchosha nyuzi na fabrics, huondoa mwonekano mzuri wa nguo na kufanya zifubae mapema. Ndio maana mara nyingi utaona nguo za mtumba zimetumika miaka mingi huko zilipotoka lakini...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mashine ya Reach Stacker Chuo cha Bandari Dar ni mbovu, inatukwamisha, tunashindwa kujifunza kwa vitendo

    Kero yangu ni kuhusu Chuo cha Bandari kilichopo Tandika Jijini Dar es Salaam, sisi tunaosoma kozi fupi ya Reach Stacker tunapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo pale NASACO Bandarini hukuta mashine moja, pia mashine yenyewe ni mbovu na chakavu. Tunaishia kufundishwa kwa maneno na kubadilishiwa...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero za MCT: Ada Kubwa, Huduma Mbovu, majibu ya mitihani na leseni hawatoi kwa wakati

    Kuna kero sana kwenye hii Medical council of Tanganyika(MCT), chama kinachosimamia madaktari wa nchi hii kila mwaka tunalipia leseni laki moja na elfu hamsini, lakini hakuna cha maana tunachopata Sasa hivi mtu unalipia lakini wanashindwa kuhuisha leseni ukiwapigia simu hawapokei muda mwingine...
  18. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaohitimu VETA, Kozi ya Forklift Operator tunahitimu hatujui kitu sababu Forklift yenyewe ni mbovu

    Mimi ni muhitimu wa kozi fupi ya Forklift Operator katika Chuo cha Veta Chango’mbe Dar es Salam Mwaka 2025, pale kuna changamoto nyingi zinazosababisha watu wanahitimu wakiwa hawapo fiti, ni kama wanaendaenda tu katika hiyo kozi. Kwanza kabisa Forklift iliyopo ni mbovu kupitiliza, inazima kila...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya Kisemvule (Kitunda) ni mbovu kupita kiasi

    Kuna hii barabara ya kutoka Kisemvule stendi kuja Mpera mashariki ni mbovu mpaka inapelekea nauli kuongezeka. Pindi mvua zikinyesha barabara inapitika kwa tabu.
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Usimamizi mbovu wa Uwanja wa Ndege wa ABEID AMAN

    Uwanja huu ni uwanja bora sana hauna hata miaka 6 lakini tayari haufanyiwi marekebisho ,napenda wajuzwe huu ni 5 star level airport hatutarajii rangi ya jengo izidi 3 years isibadilishwe ,vyoo vyake vinatumiwa na watu si chini ya 2000 kwa siku tunatarajia kila mwaka chooni sink zibadilishwe mpya...
Back
Top Bottom