mbovu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nanunua laptop mbovu na mzima

    maelewano. Inategemea na Model Ubovu Specs Tupi ilala - Dsm 0666761542
  2. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Chuo cha SUA kina utaratibu mbovu wa kuingia kwenye mfumo unaosimamia taarifa za Wanafunzi

    Chuo cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kina utaratibu mbovu wa kuingia kwenye mfumo unaosimamia taarifa za wanafunzi uitwao SUASIS ambao taarifa za mwanafunzi zinapatikana ikiwemo matokeo, usajili wa kozi, ulipaji ada nk. Utaratibu uliopo ni kwamba Mwanafunzi hawezi ingia kwenye mfumo huo akiwa nje...
  3. jT0078

    JamiiForums Tanzania TUNANUNUA LAPTOP/DESKTOP MBOVU

    Tunanunua Laptop/Desktop mbovu kama spare bei maelewano. Ilala - Dsm 0666761542
  4. L

    JamiiForums Tanzania Chemsha bongo,Katiba ya mbovu ya Sasa inasema,RAIS akifa ,makamu wa RAIS anatawala.

    Chemsha bongo. Naona tatizo kwenye katiba mbovu ya Sasa tuliyonayo. Inasema kwamba,RAIS aliepo madarakani aliechaguliwa na wananchi kama akifa Leo,basi makamu wa RAIS ataongoza nchi Hadi uchaguzi Mkuu unaofuata. Huyu Makamu wa RAIS anakua amechaguliwa na wananchi Gani? Mfano mwaka mmoja...
  5. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Barcelona usajili wa Gabriel Jesus mbovu

    Gabriel Jesus kacheza Arsenal misimu minne. Mechi-84 Magoli-21 Japo majeruhi yanamkosesha muda wa kucheza hususani misimu uliopita akiwa na arsenal lakini haibadili kuwa ni mchezaji wa kawaida. Baada ya dili la Alvarez kuwa gumu kutoka atletico Madrid,kumekuwa na washambuliaji kama victor...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini mfumo wa risiti za kuhudumia Wateja unakuwa na muda tofauti wa kusubiri na uhalisia?

    Mfumo wa kupata namba ya foleni (kikaratasi) unapokwenda CRDB kupata huduma una changamoto. Unakuta mfumo unaonyesha muda wa kusubiri ni dakika 11, lakini unapata huduma baada ya zaidi ya saa moja. Hii ni kero kubwa kwa wateja. Karibu matawi yote ya CRDB yanaonekana kuwa na changamoto ya kasi...
  7. Jumanne Mwita

    JamiiForums Tanzania KERO Responded TANESCO kwanini mnakuwa na huduma mbovu hivi? Mmetanguliza pesa kuliko huduma!

    TANESCO Niliomba huduma toka mwezi 1-2026 mpaka sasa huduma hamna, hivi ni kwanini mnakuwa na maneno matam ila kwenye vitendo ni 0? Kuhusu ombi langu la kuunganishiwa umeme. Mchakato wa ombi langu ulianza tarehe 27/01/2026, ambapo niliwasilisha maombi ya kuunganishiwa umeme mara baada ya kuona...
  8. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Hata saa mbovu ipo wakati husema ukweli

    Tuwe na siku njema
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Shule ya Sekondari Nsongwi Juu - Mbeya Vijijini imekuwa na changamoto ya utawala mbovu

    Shule ya Sekondari Nsongwi Juu (Mbeya Vijijini) imekuwa shule yenye utawala mbovu imefikia hatua mpaka Walimu wanashindwa kufanya kazi kwa sababu ya utawala huo. Kesi zimekuwa nyingi zimefika mpaka kwa Afisa Elimu Kata na Afisa Elimu Wilaya lakini hazitatuliwi, sasa hatujui shida ni nini...
  10. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU KAMA SPARE

    Lete laptop MBOVU nikupe PESA. Bei MAELEWANO inategemea na... Ubovu Model Specs Nipo ILALA -Dsm 0666761542
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Wale Wanaoshabikia MARIDHIANO Someni maono ya kisomi, Siyo Siasa mbovu

    Huenda kuna juhudi za kubabaisha watu bila fikra zenye uelewa. Anayetaka kuelewa Dunia iko vipi soma maoni haya ya kisomi na yenye uhalisia.
  12. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Maswala ya katiba Mbovu ni Makosa ya Watawala waliotangulia wote, sio Mama!

    Mwasisi wa katiba hii,Ni Nyerere, aliitumia kuendesha utawala wa kiimla,Mfano kuzuia wapinzani wake kusafiri nje ya maeneo fulani,kuaminisha watu kuwa Fikra zake ndio bora na zidumu ( alikuwa na Machawa waliosifia kila kitu alichosema/ kufanya) Nyerere alifadhaisha sana wapinzani wa sera...
  13. jT0078

    JamiiForums Tanzania Leta Laptop mbovu nanunua

    Lete Laptop mbovu NANUNUA. ILALA - DSM 0666761542
  14. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nanunua Laptop mbovu, bei maelewano

    LETE LAPTOP MBOVU NIKUPE PESA NIPO ILALA - DSM 0767953873
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Stendi ya Misuna – Singida ina utaratibu mbovu, mabasi hayajali muda kuondoka kwa mabasi

    Wakuu kusafiri Stendi ya Misuna iliyopo Singida Mjini ni kipengele kikubwa, tiketi unakata saa kumi jioni ili uondoke saa 3 usiku matokeo yake mpaka saa saa saba za usiku hujui hatima ya safari yako. Tiketi tunazokata ni za elektroniki lakini hakuna kufuata muda licha ya uwepo wa traffic na...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wazungu wanakubari makosa na kujifunza ndio maana wanazidi kutumia uwezo wetu kwa serikali mbovu za afrika kutokubari makosa

    Ni jinsi gani Africa imekuwa sehemu ya majaribio ya kila aina bila wao kujifahamu. Mzungu anaweza kukosea ila anaweza kukuacha na kujifunza alichokosea. USA kutimiza miaka 250 mpaka taifa kufika pale ila walijifunza makosa na mpaka sasa ni taifa kubwa. Afrika ijawahi kujifunza makosa ndio...
  17. jT0078

    JamiiForums Tanzania Leta Laptop mbovu nanunua

    NANUNUA LAPTOP MBOVU kama spare BEI MAELEWANO ILALA - DSM 0767953873 Whatspp: 0666761542
  18. jT0078

    JamiiForums Tanzania NANUNUA LAPTOP MBOVU. BEI MAELEWANO

    LETE LAPTOP MBOVU AU AMBAYO UMEICHOKA BEI MAELEWANO NIPO ILALA - DSM 0767953873 (whatspp 0666761542)
  19. technically

    JamiiForums Tanzania World cup 2026 timu kubwa zote mbovu?

    Nilianza kuangalia world cup toka game ya kwanza Timu Kama Brazil, German Spain zote mbovu Brazil hii na Ile ya 2014 hakuna tofauti German pamoja na kushinda 7 Jana lakini mpira mbovu. Muda huu nipo nawaangalia spain utadhani ni Tunisia iliyochangamka. France nayo baada ya kufunga na...
Back
Top Bottom