mahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Nini kifanyike ili elimu ya Tanzania iende na mahitaji ya soko la Ajira?

    Habari wakuu, nina marafiki wengi walio hitimu chuo mwaka jana lakini mpaka sasa wanahangaika sana na suala la ajira. Nimekuja kugundua kwamba elimu ya Tanznaia haizingatii mahitaji ya soko la ajira kwa sasa na bado tunatumia elimu ya wakolonia aisee. mimi ningeshauri hatua zifuatazo zifanyike...
  2. C

    TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

    Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi. TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika Viwanja...
  3. P

    Waziri Mkuu Majaliwa: TANESCO imezalisha umeme zaidi ya mahitaji

    Waziri Mkuu majaliwa ameipongeza TANESCO kwa kuzalisja umeme zaidi ya mahitaji yaliyopo sasa, "Leo tarehe 19 April 2024 uzalishaji wa umeme ni mkubwa, shirika letu la TANESCO limemudu kuzalisha umeme zaidi ya mahitaji tuliyonayo na bwawa la Nyerere limeanza kazi, tayari Megawati 235 ziko kwenye...
  4. Razorblade

    Mgao wa pesa kulingana na mahitaji

    Habari! Kumekuwa na kundi kubwa la watu hasa vijana ambao wanashindwa kujua namna ipi nzuri na rahisi ya kugawa pesa zao kulingana na mahitaji yao. Naomba nitoe ushauri na kupendekeza njia rahisi inayoweza kuwa msaada kwa wengi katika kufikia malengo. Njia hii ambayo imeelezwa kwenye kitabu...
  5. D

    Kila Changamoto ni Fursa, Dalali mkuu nakurahisishia mahitaji yako

    SHALLOM WANABODI Ajira imekuwa changamoto sana kupatikana bila kuwa na Connection au Bahati kama ilivyo kwa wengi. Niliamua kufanya kazi ya udalali ambayo naona kwa kiasi kikubwa inalipa Japo unaweza kukaa mwezi mzima hujapiga dili la maana zaidi ya kupata dili ndogo ndogo za Elfu kumi...
  6. U

    Offgrid forever: Kwa Tanzania unahitaji pesa kiasi gani kuwatolea nje Tanesco ujitegemee umeme wako kwa matumizi ya nyumbani?

    Ni kuhusu kung'oa kabisa nyaya zao za Tanesco, Mita yao iwe toy ya mtoto kuchezea. Ni nyumba yenye watu 7 TV ipo on kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa nne usiku, Fridge haizimwi, Pasi asubuhi na usiku Kucharge simu kwa sana kwa siku ni kama unit 4
  7. M

    Wanaume tutafute hela, wanawake wameongeza mahitaji yao

    Wanawake sasaivi wanataka P Bundle, yani Mwanamke akiingia Period apewe mazaga kama sehemu ya kumpooza siku zake.
  8. Lexus SUV

    House4Rent Kwa mahitaji ya vyumba na nyumba za kupanga, fremu za biashara Moshi mjini

    Habari wandugu ..., Nawaleteeni huduma bora kabisa na ya haraka zaidi kwa mahitaji tajwa hapo juu karibu nawe.... Zote zinapatikana Moshi mjini kona zote au mitaa yote na utazipata ka haraka zaidi ..... Na kwa ushauri wa sehemu nzuri ya kuishi , sehemu nzuri ya biashara ya fremu utapata...
  9. jingalao

    Mantiki ya maandamano haigusi mahitaji ya wananchi yamefeli kabla ya kuanza

    Huu ndio ukweli mtupu. Huwezi kuibuka na hoja zako za maslahi yako halafu ukataka uungwe mkono. Watu wanataka Elimu bora na shule zinajengwa. Watu wanataka Zahanati nazo zinajengwa. Ajira zimeanza kutolewa kwa kasi halafu wewe unaibuka na Maandamano ya kupigania ulaji wa uongozi na ruzuku...
  10. Restless Hustler

    Ameniorodhoshea mahitaji mengi utafikiri mimi ni babaake

    Nilimtongoza kwa Nia ya kumuoa, jobless aneorodhesha mahitaji mengi Hadi nikamchukia ghafla. Mtu alikuwa kwao hana mishe yeyote lakini anataka anataka maisha ya kifahari wakati kwao ni maskini. 1. Simu ya laki saba 2. Kusuka mtindo wa elfu 70 3. Begi la laki moja 4. Kiatu cha elf 50 5. Bundle...
  11. P

    Kwa mazingira yetu ya Afrika biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani inaweza kukutoa katika umaskini

    Kwa ambao hatukusoma sana,si wajuzi wa teknolojia ya Hali ya juu,mitaji mikubwa changamoto kwetu,basi suruhisho la kututoa ktk UMASKINI ni biashara ya duka. Faida ya duka la mahitaji ya nyumbani,. I)uhakika wa kuuza bidhaa Kila siku kwani watu wengi...
  12. Fundi mahiri wa ujenzi

    Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

    Je, fungu la kumi linaweza tolewa kwa wajane, yatima na wenye shida au ni lazima nikatoe kanisani? Naomba hekima zenu juu ya hili.
  13. Lexus SUV

    Kwa mahitaji ya vyumba vya kupanga karibu na hospitali ya KCMC-MOSHI

    Habari , nawaleteeni huduma ya upatikanaji vyumba vya kupanga katika hospitali ya KCMC MOSHI, Maalumu kwa ajili ya INTERNS personels wanaokuja hapa hospital kuja kufanya mafunzo yao kwa vitendo (INTERNSHIP) Vyumba /apartments zilizopo ni za 120,000 ambazo ni self rooms, vikubwa sana na...
  14. D

    Ukilinganisha matumizi ya viongozi na mahitaji ya wananchi yanaweza kuwa sawa na zaidi

    Tumpate mtakwimu atuwekee orodha ya matumizi ya viongozi! (bajeti) Huenda wanatumia 80% ukilinganisha na mahitaji ya wanamchi nchi nzima! Maana haiwezekani hadi Leo miaka 60 ya Uhuru tuna umeme wa mgao, barabara mbovu, Hosp zetu hazina uhakika wa huduma! Mfano; Ebu filkilia hapo ulipo sasa...
  15. Brown B

    Kwa mahitaji ya Rim nzuri kwa ajili ya gari yako,Pita hapa

    Karibu kwa mahitaji ya rim nzuri za kupendezesha gari yako, size tofauti tofauti kwa bei poa kabisa. Tunapatikana Lumumba St, Dar es Salaam Whatsapp/ normal call +255626682228
  16. Upekuzi101

    Mahitaji ya watanzania ni yaleyale Makonda ukiyatimiza haya kijiji unachukua, Hayati Magufuli alipendwa kwa Haya

    Sina mengi ya kusema ila Makonda ukiweza kutatua kero za wananchi on spot, kurudisha uwajibikaji kwenye ofisi za umma maana waajiriwa wote na watumishi wote wapo kwa udhamini wa CCM so unaweza kuvimba nao, huduma muhimu ziboreshwe, ikiwemo shule, hospitali, miundombinu ya maji, barabara na umeme...
  17. Elon J

    INAUZWA Kwa mahitaji ya miche ya matunda, miti, maua mbalimbali na majani ya kupanda tuone Dani Garden

    Mvua ndio hizo wadau, usiache shamba lako au nyumba yako ikae kinyonge tuone ''DANI GARDEN" Tunauza Miche mbalimbali ya matunda kama miembe, mipera, michungwa, milimao, ndimu n.k yote imefanyiwa budding( ya muda mfupi). Pia tunauza MAUA mbalimbali yakupendezesha nyumba yko bila kisahau miti...
  18. Nyuki1994

    Mahitaji ya Njegere Kavu tani 9000

    Habari wadau bila kuwachosha. Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza kwa ufasaha zaidi mwenye bidhaa hiyo au pengine anafahamu inakopatikana kwa wingi tupeana connection.
  19. M

    Makongoro na ngozi za ng'ombe zimekuwa chakula kinachokidhi mahitaji ya Watanzania. Hali ya maisha ni ngumu

    Tanzania nzima kila wilaya, kijiji, kata au tarafa lazima kuna kijiwe cha wauza Makonngoro na ngozi za ng'ombe ambazo watu wanakula na kulinda uhai wao. Hawana uwezo wa kumudu samaki nyama au dagaa. Hali ni ngumu sana. Walevi wa pombe kali wanajifariji
  20. Roving Journalist

    Mwauwasa (Mwanza): Tunazalisha maji Lita Milioni 90 kwa siku, mahitaji ni Lita Milioni 160

    Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA), Mohamed Saif anafafanua: "Kwanza sio kweli kwamba hatutoi taarifa kwa wateja wetu kuhusu mgao, mamlaka imekuwa ikitoa taarifa kupitia njia mbalimbali kupitia mitandao yetu...
Back
Top Bottom