usm alger

Union Sportive de la Médina d'Alger (Arabic: الإتحاد الرياضي لمدينة الجزائر); known as USM Alger or simply USMA for short, is a football club based in the inner suburbs of Algiers. The club was founded in 1937 and its colours are red and black. Their home stadium, Omar Hamadi Stadium, has a capacity of 17,500 spectators. The club is currently playing in the Algerian Ligue Professionnelle 1.
The club has one of Algeria's most prominent football charts, as it won the Algerian Ligue Professionnelle 1 8 times, the Algerian Cup 8 times and the Algerian Super Cup 2 times, Internationally, USM Alger has won the UAFA Club Championship once in 2013. The IFFHS ranks the USMA in the 18th place of the best African teams of the decade between 2001–2010. USMA reached the final of the 2015 CAF Champions League but they lost to TP Mazembe.
With the past of the Union Sportive Musulmane d'Alger (former name of the USMA), winner of the first 1962–63 Algerian Championnat National, the USMA is the postwar reference Algerian War). In one year, the club Algérois won the titles of Algeria championship and subsequently finalist of the Algerian Cup 1969. The club is going through a difficult period. The club is financially supported, as the USMA was bought in 2010. This privatization is accompanied by positive sporting results: solidly anchored in Ligue 1 since with the arrival of the Algerian investor Ali Haddad follows the title of champion of Algeria Of the Ligue 1 in 2014, the club regularly qualifies for the current African cups CAF Champions League or CAF Confederation Cup And realized 3 titles in 2 years championship-Algerian cup and Super Cup during the season 2013–2014.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Mgogoro wa Kidiplomasia wasababisha Timu ya RS Berkane kugoma kucheza dhidi ya USM Alger

    Mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (CAF Confederation Cup) kati ya USM Alger ya Algeria dhidi ya RS Berkane ya Morocco umeshindikana kufanyika baada ya wageni RS Berkane kuzikataa jezi walizozikuta kwenye vyumba vya uwanjani wakidai sio zao. Awali, RS Berkane walidai jezi zao...
  2. CAPO DELGADO

    USM ALGER almanisura ishuke Daraja kama Malumo Giant. Kweli yanga ilicheza na timu mbovu ndio maana ilifungwa na Simba 2 -0

    Kombe la shirikisho limetawaliwa na Timu mbovu. Almanusura BINGWA wa Looser Ashuke Daraja kwenye League KUU hoko Algeria.
  3. S

    Yaya Toure akosoa uwepo wa Fainali 2 kwenye Michuano ya Afrika

    Ujumbe wa nyota wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya TOURE juu ya uwepo wa fainali mbili kwenye michuano ya Afrika. Wakati umefika kwa mashabiki wa soka wa nchi zetu barani Afrika kudai HAKI YA MICHEZO kwa kuitaka CAF kuwa na mechi moja pekee ya fainali kwenye uwanja wa usiofungamana na...
  4. Teko Modise

    USM Alger Vs Yanga | CAF Confederation Cup Final | 2nd Leg | 5 July Stadium | 03.06.2023

    Ni mechi ya fainali ya kombe la shirikisho barani mkondo wa pili, ambapo wenyeji USM Algier itaikaribisha Yanga katika uwanja wa July 5. Mchezo wa kwanza uliisha kwa Yanga kufungwa 2-1 pale Benjamin Mkapa Stadium wiki moja iliyopita. Ni mchezo wa kufa au kupona, Yanga inahitaji ushindi ili...
  5. Street brain

    Natamani kikosi cha Yanga kiwe hivi dhidi ya USM Alger kwenye CAFCC

    Natamani kikosi kiwe hivi dhidi ya USM Alger kwenye kombe la CAF 🤗 1. Diarra 2. Djuma shaaban 3. Lomalisa Mutambala 4. Mwamnyeto 5. Bacca 6. Bangala 7. Morrison 8. Sureboy 9. Mayele 10. Mdathir 11. Msonda Baadae atoke Musonda, Mdathir, Sure Boy , Morrison weka, Moloko, Mzize, Kisinda, Aziz Ki...
  6. Suley2019

    FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

    Leo ndiyo nngwe ya pili ya Fainali ya kombe la Shirikisho Afrika ikiikutanisha timu ya USM Alger ya nchini Algeria na Yanga SC ya Tanzania ambapo Yanga itakuwa ugenini. Katika mchezo wa kwanza Yanga ilipoteza 2-1 katika uwanja wa Benjamini Mkapa. Timu hizi katika historia zimeingia fainali kwa...
  7. Tango73

    Kama Brazil alifungwa kwao na German kwa nini USM Alger asifungwe kwao na Yanga?

    Uwezo aliokuwa nao Yanga ni mkubwa tena ni wa kutisha katika medani za soka barani africa. kiukweli kweli kabisa Marumo Gallant walikuwa hatari sana na wakalala mabao mawili kwao africa kusini. Recodi hii inanipa ubavu wa kuamini 100% ya kuwa Yanga kesho ataifunga algeria timu ya USM Alger...
  8. Christopher Wallace

    Bashiri matokeo ya mechi ya USM Alger Vs Yanga na ulambe elfu tano

    Weka ubashiri wako na ulambe elfu tano hiyo kesho, mwisho wa ubashiri ni saa 3:59 usiku wa kesho, yaani dakika 1 kabla ya mechi kuanza. Updates: 🚨🚨🚨🚨🚨 Hakuna aliyepatia, elfu tano itakuwepo tena mechi ya fainali ya Azam Sports Federation
  9. Expensive life

    Utabiri: USM Alger 3-0 Yanga, Fainali ya CAFCC Juni 3, 2023

    Kila nikitizama darubini yangu inanionyesha jezi yenye rangi nyeusi yenye ufito mwekundu itashamiri sana hapo kesho. Kuna goli tatu kwa mwenyeji.
  10. GENTAMYCINE

    Hadi Jumamosi Saa 8 Mchana sijasikia TANZIA yoyote au Tukio la Kimajonzi USM Alger FC watakuwa Mabingwa CAFCC 2022 / 2023

    Nilizozipata hadi muda huu ni kwamba Mambo ni Magumu na sikuwahi kujua kuwa kumbe hata Waarabu ( hasa wa Algeria ) na Wao mambo ya Unyangindo ( Ulozi ) wanayajua. Kuna Mtu Mmoja wa Insider 259 Hopeless and Useless Passenger Team kanitonya kuwa Usiku wa Kuamkia Mechi yao ya Temeke Mvua Stadium...
  11. OKW BOBAN SUNZU

    Tunaitakia Yanga kipigo kizito toka kwa USM Alger

    Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano. Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye...
  12. SAYVILLE

    USM Alger waishitaki Yanga kwa kupuliziwa hewa isiyo salama vyumbani

    Taarifa inayosambaa ni kuwa Klabu Bingwa mtarajiwa wa Kombe la Shirikisho la CAF, USM Alger wameishitaki Yanga kwa shutuma za kuwapulizia hewa isiyo salama katika vyumba vyao vya mapumziko uwanja wa Benjamin Mkapa. Pia taarifa zingine zinasema USM Algers walitishia kutoendelea na mechi hiyo ya...
  13. S

    Yanga akishinda ugenini, hoja ya kusema USM Alger ni timu dhaifu haitokuwepo tena kwani wanaisifu kuwa ni bora kuliko Yanga

    Yanga angeshinda hapa nyumbani, Makolo wangekuja na hoja nyepesi kuwa USM Alger ni timu dhaifu kama zingine zinazoshiriki Kombe la Shirikisho na ndio maana wamefungwa na Yanga. Kwakuwa Yanga kafungwa na sasa wanaisifia USM Alger, basi matokeo yakiwa tofauti huko Algeria, hawatathubutu kusema...
  14. GENTAMYCINE

    Just In: Wachezaji mahiri Watatu wa USM Alger FC jana hawakucheza Dar es Salaam kwa Mkapa

    Mmoja ni Mshambuliaji, Mmoja ni Kiungo na mwingine ni Winga wa Kushoto. Baada ya GENTAMYCINE kuipata hii Taarifa naanza kuona Timu Moja ikifungwa hata Goli 7 Ni Mwendo wa Kuwakera tu JF.
  15. GENTAMYCINE

    Zijue Kauli mpya za Kujitetea za wana Yanga SC baada ya Kipigo cha jana kutoka kwa USM Alger FC

    1. Hatuna cha Kuwadai Wachezaji wetu wa Yanga SC na Jana Wachezaji wetu wa Yanga SC walikuwa na Siku mbaya Kazini / Ofisini 2. Lengo letu lilitimia pale tu Yanga SC ilipofuzu hatua ya Robo Fainali 3. Simba SC Wameroga ili Mvua inyeshe na tufungwe 4. Mchezaji wetu Tegemeo Khalid Aucho hakuwepo...
  16. GENTAMYCINE

    Watangazaji wa Michezo Redioni mbona leo hamchangamki kama mlivyokuwa mkichangamka kabla ya Mechi ya Yanga SC na USM Alger FC ya leo?

    Halafu mlivyo wa hovyo badala ya Kuitangaza vyema kwa kusema kuwa Yanga SC imefungwa Kiuwezo mnachokifanya sasa ni kutafuta Wasikilizaji wenye Uyanga na kuwalazimisha waseme kuwa Yanga SC itaenda kupindua Matokeo / Meza Jijini Algiers nchini Algeria kwa Kuwafunga USM Alger FC na kuwa Mabingwa wa...
  17. GENTAMYCINE

    Jidanganyeni kuwafunga kwao Club Africaine na Marumo Gallants itakuwa hivyo pia kwa USM Alger

    Nawasikia tu mnavyodanganyana na kupeana Moyo katika Vijiwe vya Mitaani na humu Mitandaoni. Wenye Akili na tunaojua Mpira tunajua kuwa tayari USM Alger FC kwa 85% wameshakuwa Mabingwa wa CAFCC kwa Msimu wa 2022 / 2023. Imeisha hiyo...!!!
  18. Mwande na Mndewa

    USM Alger 2-1 YANGA; Morrison alitakiwa aingie mapema baada ya Aziz Ki kushindwa mchezo

    MORRISON ALITAKIWA KUINGIA MAPEMA BAADA YA AZIZ KI KUSHINDWA MCHEZO. Leo Jioni 18:30hrs 28/05/2023 Mzee wa kuzama katikati ya msitu wa mabeki,Mzee wa kugima kwenye utelezi,akianguka anainuka hadi aone mpira upo kambani,katoa pasi nzuri iliyomkuta Mudathir aliyemtengea Mayele aliyeweka...
Back
Top Bottom