wimbo

Dappled Cities (formerly "Dappled Cities Fly") are an indie rock band from Sydney, Australia.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata wimbo

    Wakuu samahani Kuna wimbo WA Rhumba wa "Franco Luomba unaitwa Eli Kazho" Mwenye audio au video yake au anayeweza kunisaidia jinsi ya kuupata naomba msaada tafadhali maana nimetafuta sehemu nyingi nimeukosa
  2. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni Msanii gani wa Tanzania anapaswa kupewa Mkataba wa wimbo wa FIFA World Cup ijao?

    Wakuu Baada ya kuangalia perfomance ya The Mother na Malkia wa Majukwaa ya Kombe la Dunia 'Shakira', The African Giant 'Burna Boy', Tyla kwenye ufunguzi wa michuano hiyo mikubwa ulimwenguni, unadhani ni Msanii gani wa Tanzania anapaswa kupewa Mkataba wa wimbo wa FIFA World Cup ijao?
  3. sonofobia

    JamiiForums Tanzania JE, UHAKIKA YA IBRAH NDIO NI WIMBO BORA WA 2026 AU UNABEBWA NA UPEPO TU?

    Nimekuwa nikisikia watu wengi wakisema Uhakika ya Ibrah ndiyo wimbo bora wa mwaka 2026. Sawa, nakubali unafanya vizuri sana. Wimbo unachezwa kila mahali: bodaboda, kwenye mabajaji, mitandaoni, kwenye sherehe na hata WhatsApp status. Hilo halina ubishi. Lakini nina swali moja: Je, umaarufu wa...
  4. C-C Daily Stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Charlie Puth afanya remix na Civilian-Coin ya wimbo wake "see you again". Je, Wiz Khalfa ataangushwa na Civilian-Coin?

    https://youtu.be/LSuas9jeGm4?si=4w12ADOqNKnbJLXp
  5. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenye kujua jina la huu Wimbo

    Mwenye kujua jina la huu mwimbo na jina la mwimbaji tafadhali nijulishe? Huu upo kwenye background wa hilo Tangazo. https://www.instagram.com/reel/DY5FyGRMbVY/?igsh=MWJlb214MWtxejZjbg==
  6. R

    JamiiForums Tanzania Wimbo toka X: No Fuel No Public Transport

    Sikiliza wimbo toka Arusha?
  7. nzalendo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waungwana nautafuta huu wimbo wa kuabudu

    Nimejaribu kuutafuta mahali mahali nimekwama. Sijui kauimba nani, na sijui kama ni mpya au wa zamani,,,, MANENO YAKE...''Tabibu nimesikia habaari wewe mponyaaji,mponyaaji,,, Na mimi, nimeona boora niije, nije nikueleze taabu yaangu''.... NATANGULIZA SHUKRAN ZA DHATI
  8. The ghost writer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Behind the Beat: Jinsi G-Funk Ilivyozaliwa Katika Wimbo Wangu.

    " I say it " ni ngoma niliyoitengeneza kwa msaada wa google Gemini kwa upande wa beat. But mashairi na ,lyrics its all about me made it. Mwanzo wa utengenezaji wa beat nilianza na hizi code. "Uh uh uh uh uh uh uumh Uh uh uh uh uh' u' umh Uh uh uh uh uh uh uumh" start with my mouth Kick- "uh"...
  9. KEKO JUU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeachia Wimbo Maalum wa Tundu Lissu — Karibuni Kusikiliza

    Nimeachia wimbo mpya unaomzungumzia Tundu Lissu kwa style ya kipekee. Nimeuweka kwenye website yangu mpya ya http://sosybrown.vercel.app Ukisign up utaweza kuusikiliza pamoja na kuona project nyingine zinazokuja Karibuni mu-support kazi ya kijana wa Kitanzania 🙏 Ningefurahi kupata maoni yenu...
  10. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Chukua nyimbo 10 za Diamond hazitoboi kwa kipande cha dakika 2 cha wimbo wa Juma dede (Times fm) kilichoombwa na Mzee Yusuph

    Ukitaka kuona ukubwa wa Mzee Yusuph kasikilize kipande cha wimbo wa times fm(Juma dede) kilichoimbwa na Mzee Yusuph. Huu wimbo ulikuwa mahsusi kwenye sherehe za times fm hivyo wasanii wa taarabu wale magwiji waliungana kwa pamoja kutoa wimbo wa Juma dede. Yani Mzee alithibitisha ukubwa wake...
  11. Back N days

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimesikiliza wimbo wa rockabye(2016) wa clean bandit sikuwai jua kumbe unaongelea Suala la Single mother

    Call it love and devotion Call it the mom's adoration (foundation) A special bond of creation, hah For all the single moms out there Going through frustration Clean Bandit, Sean-Da-Paul, Anne-Marie, sing, make them hear She works the night by the water She's gone astray, so far away from her...
  12. DexterLab

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usije mjini. Wimbo wa mnanda unaoishi miaka na mikaka

    Salam, Huu mnanda marehemu Lupozi bwana katuachia moja kati ya sanaa/ngoma isiyochuja sababu inazungumzia hali halisi ya miaka yote katika nchi hii kutoka kwa watu wenye vipato duni. "Maharage yapo juu kama NYAMA, 🪘 SUKARI nayo imepanda, KODI za NYUMBA kila kukicha, umeme LUKU wa kuchangisha...
  13. Gospel KTV

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Soul of Praise Kaachia Wimbo Mpya

    Kusikiliza link: https://youtu.be/qLDq00Cz98I?si=dsRPioVXGZez_GcK
  14. Trainee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipeni huu wimbo ukiwa kamili tafadhali!

    Wimbo nimeupenda sana lakini isivyo bahati nimeutafuta mno mtandaoni bila mafanikio
  15. C-C Daily Stories

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa wasio timiza ahadi na wasio fuata Katiba watungiwa wimbo

    Hii rabuda inaweza ikawa njia nzuri Sana kusikika kuliko tunavyojaribu kudai haki kwa maaandammano. Bahati nzuri mwimbaji aliwahi kuwa Mwanasiasa CHADEMA, NCCR MAGEUZI na CCM kabla hajaacha Siasa rasmi. https://youtu.be/DTSA0cQ6Xxk?si=aYZ8VP9NHdHoxlI_
  16. R

    JamiiForums Tanzania Hivi ni wimbo gani ukikuta na stress unaweza ukalia mpaka ukalia tena

    Wimbo unaonifanya kuwaza na kulia tena juu ya matatizo yangu, nikifikiria namna jamii mtazamo wa jamii, ndugu na familia kuwa chanzo cha mimi kusita kufanya maamuzi fulani au chuki yao kwangu kuniumiza The last great american dynasty- Huu wimbo kaimba Tyler Swift na kutolewa 2020, Ni wimbo...
  17. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fahamu mambo mengi kuhusu hema la kuabudia kupitia wimbo huu kutoka kwa Mch Mbarikiwa Mwakipesile

    https://youtu.be/t8GR0scaBDU?si=WSSQno-FJC9qGszB
  18. NGAYANIMO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ubora wa Chid Benz na Ngwear katika wimbo unaitwa “Wakati ndio Huu”

    CHID BENZ FT. NGWEA - WAKATI NDIO HUU VERSE.. 1. "CHID BENZ" Vidole vyangu kwenye mic 🎤 Sauti ndani ya Beat / Niko mbele ya Umati wenye wengi mashabiki/ Me na Amini nimezaliwa kushinda Nimezaliwa jasiri hata Simba nitamwinda / Wengine udhani ya kama naimba Uongo/ Kisa navyo flow Eti...
  19. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashairi ya Wimbo wa HII LEO - Crazy GK, Mwana FA, AY (Lyrics)

    Mashairi ya Wimbo wa HII LEO - Crazy GK, Mwana FA, AY (Lyrics) Kiitikio: ------------ Hii leo Crazy GK Mwanafalsafa AY Weka manyanga chini Hivi sasa tupo hewani Twakupa maneno matamu Na yenye thamani Verse 1: AY ----------- Oya.! Navaa buti Na full CBM Nazama street Ntapiga dili zaidi ya 12...
  20. Doto12

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anayejua wimbo huu jina lake naomba please

    ni kawimbo kazuri naomba jina na mtuunzi A
Back
Top Bottom