aziz

Aziz (Arabic: عزيز‎, ʿazīz, [ʕaziːz]) was originally a Northwest Semitic Phoenician-Aramaic-Hebrew-Arabic word, but is now much more commonly (but not exclusively) known as a Central Semitic Arabic male name. The feminine form of both the adjective and the given name is Aziza.
Aziz in Arabic is derived from the root ʕ-z-z with a meaning of "strong, powerful" and the adjective has acquired its meaning of "dear, darling, precious". It is a cognate of Hebrew oz עוז meaning "might, strength, power". The Semitic word refers to the "power and glory" of deities and kings. In the Latinised form "Azizus" it is attested as the name of one of the Arab Priest-Kings who ruled Emesa (the modern Homs, Syria) as clients of the Roman Empire.
In ancient Levantine mythology, Azizos or Aziz is the Palmyrene Arab god of the morning star.
The Arabian goddess Al-Uzza, also related to the planet Venus, is named from the same root ʕ-z-z.
Al-Aziz is one of the names of God in Islam. The "Al" makes the word "Aziz" proper. "Aziz" without "Al" is used as a royal title borne by the high nobles of Egypt, being a title borne by the prophet Joseph in the Quranic Surah-e-Yusuf, and also by the Biblical Potiphar, referred to in the Quran as Aziz.
It is used in existing Semitic languages such as Arabic, Assyrian Neo Aramaic, Mandic, Hebrew, and also in non-Semitic languages like Turkish, Kurdish, Armenian, Azerbaijani, Persian, Urdu, Pashtu, Dari, Kazakh, Kyrgyz, Turkmen, Uzbek, Uyghur, Balochi, Bengali, Somali, Indonesian, and Malaysian.
Aziz is a common masculine given name, especially in the Muslim world but it has also continued to be used by non-Muslim peoples in the Middle East, e.g. Assyrians, and Mandeans.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Jina la Dossa Aziz Halikuwemo Katika Orodha ya Watunuliwa Medali

    https://youtu.be/8bHn7ojbnlo?si=p3RGwTUvj34OmroN
  2. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Waziri Dossa Aziz Jina la Utani Walilompa ni ''Benki"

    https://youtu.be/0o1VQDG16GU?si=8VXKH_o4vPkKoCYS
  3. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Taazia: Buriani Mwajame bint Dossa Aziz

    https://youtu.be/sPQbHkLYFYA?si=Mu-sT7R5cVQAqX6C
  4. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda “I’m Still the Last King of Scotland,” Says Idi Amin’s Grandson Aziz Ringo

    (Photo courtesy of New Vision) Aziz Abdul Ringo, Uganda’s boxer who was disqualified in the quarterfinals of the recently concluded Commonwealth Games, says he remains proud of his identity and his family history despite his controversial exit from the competition. Ringo was eliminated after...
  5. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Ugandan Boxer Aziz Ringo and Iddi Amins Grandson speaks out on events that led to his disqualification

    Ugandan boxer Aziz Ringo, grandson of former dictator Idi Amin, was disqualified in the third round of his 2026 Commonwealth Games super-heavyweight quarterfinal in Glasgow for headbutting England’s Damar Thomas while trailing on scorecards. Ringo claims British media comments about his...
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Urithi wa Familia Pekee Hautoshi: Kisa cha Aziz Abdul (Mjukuu wa Iddi amini wa uganda) na Mafunzo kwa Viongozi wetu na vizazi vyenu

    Bondia wa Uganda, Aziz Abdul, ambaye ni mjukuu wa aliyekuwa rais wa Uganda Idi Amin, aliondolewa kwenye mashindano ya Commonwealth Games baada ya kupewa adhabu ya kutolewa nje kufuatia kitendo cha kugongesha kichwa mpinzani wake wa England, Damar Thomas, katika raundi ya tatu. Baada ya pambano...
  7. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni Meets NMG Proprietor Rostam Aziz Amid Monitor, NTV Shutdown

    President Yoweri Museveni on Friday held talks with businessman Rostam Aziz, the incoming majority shareholder of Nation Media Group (NMG), in the clearest sign yet that Uganda's highest political leadership is directly involved in efforts to resolve the closure of Nation Media - Daily Monitor ...
  8. Rwiziringa Tactics

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Unganisha Dot na kuitwa kwa Rostam Aziz huko Uganda

    Afisa wa zamani wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) Michael Katungi Mpeirwe amekamatwa nchini Uganda na anatarajiwa kupelekwa Marekani kwa madai kwamba alishiriki katika njama ya ulanguzi wa silaha wa kimataifa wa mamilioni ya dola unaohusishwa na Cartel de Jalisco Nueva Generación...
  9. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Picha hii ya Aziz Ki akifunga ndoa ni halisi?

    Wakuu nimekutana na watu wanapost huko X kuwa Mchezaji Aziz Ki amevuta jiko lingine
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Yanga tuwashtaki na Aziz Ki na Shadrack Boka kwa kuichafua team yetu kuhusu matches zetu

  11. Ileje

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz ndiye kidume pekee hapa Tanzania; Gesi yake, media yake, dhahabu yake, Mbuga za wanyama zake!

    Pia soma:Uhuru wa habari umepigwa kitanzi; Rostam Aziz anunua gazeti la Mwananchi
  12. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Wakenya lazima mbadilike, someni alama za nyakati, Kenya sio mkubwa kuliko wenzake wote

    Mfanyabiashara Rostam Azizi ametoa kauli hiyo leo Jumatano, Machi 11, 2026 jijini Nairobi, Kenya wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu uwekezaji wake katika Kampuni ya Nation Media Group (NMG). https://www.youtube.com/watch?v=k6BN7BQ7LQc ============================== Pia soma ~...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz anunua kampuni ya Nation Media Group ya Kenya

    Mfuko wa Maendeleo ya Kiuchumi wa Aga Khan S.A. (Aga Khan Fund for Economic Development – AKFED) umeingia makubaliano ya kuuza asilimia 100 ya hisa zake katika Nation Media Group (NMG) kwa Taarifa Ltd, kampuni inayomilikiwa na mfanyabiashara wa Tanzania Rostam Azizi. Azizi ana uwekezaji mkubwa...
  14. I

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aziz Ki Ngoma ngumu kwa waarabu, atajwa kurejea Yanga

    Aziz K Atajwa Kurejea Yanga Baada ya Haya Kutokea Kwa Waarabu. Makala hii inachambua hali ya wachezaji wa Yanga SC wanapojaribu kutafuta mafanikio katika ligi za Kiarabu, kwa kuangazia mfano wa kiungo mshambuliaji Stephen Aziz Ki. Hoja kuu ni kwamba changamoto wanazokutana nazo mara nyingi...
  15. Kiranja Mkuu

    JamiiForums Tanzania Aziz Ki atemwa Wydad Casablanca

  16. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz yuko wapi? CCM mlisema ni mtanzania halisi

    CCM mlisema Rostam Aziz ni mtanzania, mfanyabiashara mashuhuri, ni mwenzenu. Sisi wana Igunga hatumuoni mbunge wetu wa zamani. Haonekani kufuatia hotuba ya Kapteni Tesha. Taarifa za chini zinasema katimkia Zambia. Tunamuomba mzalendo huyu toka Iran, aje kupiga kura. Tunachezewa sana! Eti...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Uvamizi JF una uhusiano na Press ya Rostam Aziz?

    Jana majira ya mchana ziliibuka habari za kuvamiwa kwa Ofisi za JF Mikocheni. Inasemekana wavamizi walikuwa wanamtafuta Ndg Melo. Usiku wa Jana hiyo hiyo Mfanyabiashara mashuhuri Rostam Aziz alionekana akitolea maelezo baadhi ya mambo anayotajwa kuhusika nayo kwenye biashara zake na pia kundi...
  18. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mimi bado sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe, Ngaka kuna migodi 16

    PS: Huyu mwamba anaposema "Mimi sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe" ni dharau kubwa kwa nchi, anaongelea rasilimali ya nchi as if ni mali yake binafsi, wakati yeye ni muwekezaji tu. Na watu wanachohoji siyo nani amewekeza, bali wanahoji yeye kama muwekezaji kununua rasilimali yenye thamani...
  19. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Mfanyabiashara maarufu nchini Rostam Aziz akihojiwa na kituo cha Azam cha UTV amesema mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi. Amesema uchaguzi wowote hata kama ni wa Diwani, Mbunge au Rais lazima kuwe na mtandao. Huwezi kushinda uchaguzi kama huna mtandao labda uwe Dikteta. Amesema mtandao...
  20. Yoda

    JamiiForums Tanzania Inawezekana siku moja Rostam Aziz akagombea urais wa JMT?

    Rostam anazo sifa zote za kikatiba kugombea urais wa nchi, zaidi sana amekuwa ni mtu aliye mstari wa mbele kabisa kwa wazi katika kujishughulisha na siasa za juu kabisa za nchi hii. Inawezekana siku moja tukamuona akitaka kuingia magogoni ofisi namba moja kabisa kufanisha ndoto zake za Tanzania...
Back
Top Bottom