mabingwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Sisi ndio mabingwa wa elimu bora Tanzania ,usisubirie kusimuliwa tupe mtoto wako leo uwe shuhuda wetu

    Mafanikio ya mtoto wako yanaanzia hapa! Tunatoa huduma bora za Home Tuition kwa wanafunzi wa ngazi zote (One hadi Six) pamoja na wanaoanza kabisa (Beginners). Tunafundisha: ✅ Mitaala yote ya shule ✅ Kiswahili ✅ Lugha za kigeni mbalimbali kwa wanafunzi wanaotaka kujifunza lugha mpya, mfano: 🇬🇧...
  2. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumekuwa Mabingwa lakini hatuna Furaha na tumepoa sana. Shida ni nini?

    Yanga ni Bingwa tena. Lakini sioni kama watu wana furaha. Watu hawana furaha. Wana unyonge na wamepoa sana. Sielewi tatizo ni nini ndugu zanguni wana Jangwani. Kuna nini hakipo sawa? Hebu tufurahieni tuwaoneshe hawa Mikia kuwa kombe tunalo na tunatamba nalo. Tuacheni unyonge. Ni kama...
  3. NassoroTechtz

    JamiiForums Tanzania Nassoro Techtz: Mabingwa wa Vifaa vya Kompyuta, Accessories & Vifaa vya Ufundi Madishi – Mapinga Mtambani, Bagamoyo!

    Habari za majukumu wana-JamiiForums!Je, wewe ni mkazi wa Mapinga, Bunju, Boko, Tegeta, au maeneo ya Bagamoyo na unatafuta vifaa bora vya kompyuta na accessories? Au wewe ni fundi wa madishi ya TV (Azam, DStv, Zuku, StarTimes) unayetaka vifaa imara vya kazi bila kusafiri umbali mrefu hadi mjini...
  4. DogoWaNjombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Timu za England zilizofika Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mara nyingi

    Graphics: InfinityFootball
  5. Parabolic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwahani FC mabingwa Masauni Cup

    Unguja. Timu ya Kwahani FC imetwaa ubingwa wa Masauni Cup baada ya kuichapa Mwembeladu FC kwa changamoto ya mikwaju ya penati 1-0 baada ya sare ya bao 1-1 katika muda wa kawaida na kujinyakulia kombe pamoja na kitita cha shilingi milioni tano. Kwahani FC ndio walitangulia kupata bao katika muda...
  6. Foffana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania kuibuka mabingwa wa AFCON 2025

    Hello Kupitia analysis fupi niliyofanya nimekuja na majibu kwamba Tanzania tuna asilimia kubwa 99% kubeba kombe hili Timu nyingi za Taifa ambazo ni magiant round hii zinacheza mpira wa ovyo na hazina ubora ule tuliouzoea siku zote Viwango vya wachezaji havipishani sana baina ya yale mataifa...
  7. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Mabingwa wa Kuharibu: Toka Mabasi 140 hadi 30

    Waziri Mkuu Majaliwa amesema kuwa kampuni ya UDART (mwendokasi) ilianza ikiwa na mabasi 140 lakini hadi kufikia hiyo juzi yalibakia mabasi 30!!! Yaani wameshindwa kutengeneza mabasi zaidi ya 110!! CAG alitakiwa kufanya uchunguzi maalum na TAKUKURU wangekuwa na cha kufanya...yaani wameharibu...
  8. Arsenal Gunner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Brentford FC ndio mabingwa wa EPL msimu huu anayebisha tukutane Mei siongei sana

    Mimi ni mshabiki wa Brentford na Liverpool damu msimu huu tunaenda kuchukua epl Kwa wote msioamini haya maneno tukutane may ndio mtaamini the bees au the reds ni mabingwa 2025/ 26 tutawatoa manundu sana msimu huu.
  9. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho Afrika 2025/2026 kufanyika leo mchana nchini Tanzania

    Majira ya Saa Saba mchana wa leo, itafanyika droo ya ligi ya mabingwa Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho Afrika kwa msimu wa 2025/2026 kwa hatua ya awali. Droo hiyo itafanyika nchini Tanzania katika studio za AzamTv. Wawakilishi wa Tanzania kwa Ligi ya Mabingwa ni Simba na Yanga huku upande...
  10. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Nimewaharau ghafla Tupac na P Diddy ni baada ya kugundua ni mabingwa wa sampling

    Wakati Tupac anauliwa nilikuwa kidato cha pili,kwa umri huo nilikuwa navaa mlegezo na kitambaa kichwani,wenzangu walienda mbali kwa kutoboa masikio na kujichora tatoo Nilimkubali sana japo alisababisha nisifanye vizuri darasani kwa kukariri nyimbo zake badala ya masomo Miaka kadhaa nilibaini P...
  11. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Vijana wenye asili ya Kitanzania waibuka mabingwa wa ligi ya vijana mjini Mogadishu

    Timu ya vijana wa Kitanzania kutoka jamii ya Watanzania wa Diaspora waliozaliwa nchini Somalia kwa wazazi wa asili ya Kitanzania na Kisomali, imeibuka mabingwa wa Ligi ya Vijana mjini Mogadishu. Ushindi huo umeonesha uwezo mkubwa wa vijana hao ambao licha ya wengi wao kutowahi kufika Tanzania...
  12. Trainee

    JamiiForums Tanzania Wale mabingwa wa kutukana waislamu na uislamu naomba mkuje pande hii mnisaidie jambo hili

    Kuna watu humu wanawatusi sana waislamu na uislamu wao. Wanawashutumu mambo mazito mazito. Sasa mimi naomba tufanye hivi... Madrasa tunazijua vizuri mitaani na wengine tunazifikia mpaka kuweza kujua hata mafundisho yatolewayo humo. Misikiti kadhalika ni hivyo hivyo Naomba hao watu, kwa moyo...
  13. Dalton elijah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Crystal Palace Football Club ndio Mabingwa wa kombe la #FA.

    Hatimaye kwa mara ya kwanza hii leo klabu ya Crystal Palace imefanikiwa kushinda taji lake kubwa la kwanza baada ya miaka 119 ya msoto kupita tangu klabu hiyo ianzishwe. Crystal Palace imetwaa taji hilo la FA baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya klabu ya Manchester City. Ushindi huu...
  14. DogoWaNjombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) tangu Mwaka 2000

    Mabingwa wa Kombe la Shirikisho Tangu Mwaka 2000 2025: Simba / Berkane ? 2024: Zamalek SC (Misri) 2023: USM Alger (Algeria) 2022: Berkane (Morocco) 2021: Raja Club Athletic (Morocco) 2020: Berkane (Morocco) 2019: Zamalek SC (Misri) 2018: Raja Club Athletic (Morocco) 2017: TP...
  15. Dalton elijah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Barcelona ndiyo Mabingwa Wa Ligi kuu ya Hispania 2024/2025

    #LaLigaEASports Barcelona ndiyo mabingwa qa ligi kuu ya Hispania 2024/25. Hili ni taji lao 28. FT': Espanyol 0-2 Barcelona
  16. Khanji kapoor

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utabiri wa uhakika: hawa ndio watakuwa mabingwa mbalimbali wa ulaya kuanzia uefa,europa comfarance league ikiwa mechi zimesalia chini ya nne had moja

    Uefa champions league PSG vs intermillan Bingwa PSG Europa uefa league Totenham hotsper vs manchester united Bingwa tottenham hotspers Ecl Real bets vs chelsea Bingwa: real bets Bingwa wa laliga :real madrid Bingwa wa seriA :intermillan Ikumbukwe kwa epl tayari liverpool...
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tufurahini tutakavyo ila kama hatujaicheza hii Mechi ya Leo kwa Kuzubaa Kwetu wakishinda tu basi kwa 99% wanaenda kuwa Mabingwa tena

    Enzi zetu nikiwa na Marehemu Mapama, Idi Kajuna na Kassim Dewji tulikuwa tunajigawa Kimafia Kimataifa na Nyumbani.
  18. Nkaburu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "Mabingwa wa Dunia" ety "World Champs" Kwanini Wamarekani wanawaita mabingwa wa michezo yao mabigwa wa dunia?

    Katika ligi nyingi za michezo za Kimarekani, kama MLB Major League Baseball, NBA National Basketball Association, na NFL National Football League, timu zinazoshindana na wachezaji wake huitwa "Mabingwa wa Dunia"? Ukizingatia kuwa mashindano hayo yanajumuisha timu na wachezaji kutoka Marekani tu...
  19. MwananchiOG

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakati wenzao wanajiandaa na mchezo wao wakajiona tayari mabingwa wakaenda kuzurura bungeni dodoma

    Weka neno moja kisha pita kimyakimya 😀
  20. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga yatinga robo fainali ligi ya mabingwa kwa kuichabanga Copo mabao 5 0

    Mwaka huu msipobeba ubingwa hambebi tena, soka mliloonesha leo kwa Copo sio la kawaida, mbarikiwe sana wanaume nyie. Ndio maana sikushangaa Kamwe kwenda Morocco kwenye droo, tuombe mungu mpangiwe vibonde wenu Simba muingie nusu fainal. Kwa ushindi wa Leo Yanga wameipita Simba kwenye ranks za...
Back
Top Bottom