utabiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Siasa za ROT zimenishinda nguvu. Leo hii mtu anabizwa, kesho anatoa pongez, kesho kutwa anatoa pole, siku zijazo wanaungana, siku zifuatazo wanaachana

    Hakuna tumaini la mnyonge katika hili bara la afrika. Its a circous.
  2. Kinyungu

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Utekaji utapungua kwa hadi 80% kwa kipindi cha miezi minne ijayo Mid September to Mid December

    Huu ni utabiri wa kweli kama nilivyo oneshwa na mizimu ya kwetu. Iko hivi kwa kipindi cha kuanzia week ya pili ya Sept 2026 hadi week ya pili ya Dec 2026 hali utekaji wa wananchi itapungua kwa kiwango kikubwa sana. Inatarajiaa hali ya utulivu itaripotiwa maeneo mengi ya nchi. Hata hivyo...
  3. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Nilitoa utabiri mwezi wa nane wa tukio zito, limekuja now

    Nilitoa utabiri mwez wa nane wa tukio zito,limekuja now
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania UTABIRI: Ndejembi kuwa Rais wa awamu ya 7 kabla ya 2030

    Makamu wa Rais mteule ambaye anatarajiwa kuapishwa Leo aliyechukua nafasi ya Emmanuel Nchimbi aliyejiuzulu Mungu ameonionyesha kuwa kabla ya 2030 atakuwa Rais kamili Watu wa mtandao hawalali wako mbele ya muda, Rais awamu ya 7 anaandaliwa Sababu unaweza kuwa jambo letu la The Hague au...
  5. AI tata

    JamiiForums Tanzania Watanganyika mnasahau sana. Miki bado nipo kwenye utabiri wa Sheikh Yahaya. Ile hatua ya baada ya Rais Mwanamke.......

    Hapa tupo shingoni, bado kichwa tu. Kama ni ng'ombe imebaki mkia tu kiwiliwili kwisha. Kwa kuwa serikali haziamini utabiri. Basi waamini hata political winds it blows. Tayari sio mpasuko tena ni pamde mbili tofauti, asilimia mia hakuna anayesapoti pande. Hata raia wamechoka. Ikifanyika...
  6. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Utabili wangu ni huu, Jiandaeni Kisaikolojia

    Wakuu, kutoka kwa mdau. Na Emily Mwakilembe Baraza la Mawaziri linaenda kufumuliwa lote, kuondoa mabaki na kufuta nyayo zake. Si unajua huyu Bwana ni jasusi? Lazima akiacha mayai kwenye mfumo! 😄 Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanaenda kufanyiwa “magazijuto”; yaani kutoa mabano, kugawanya...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa Drama hizi zisizoisha ndani ya CCM na Lissu kuendelea kuwa topic ya kila siku, kuna dalili za utabiri wa Sheikh Yahya kutimia ?

  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu ya Uhaini itaishiaje kwa utabiri na mwenendo wa kesi ulivyo?

    Utabiri wako ni upi kuhusu hii kesi ya Serikali dhini ya Tundu Lissu kwa kosa la uhaini ?
  9. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania UTABIRI WANGU LIGI KUU 2026/2027.

    Bingwa - YANGA / SIMBA SC. Timu zitakazo shuka Daraja 1. MBEYA CITY FC 2. FOUNTAIN GATE FC MSIMAMO KAMILI 1. Simba sc point 80 2. Yanga sc point 80 3. Azam FC point 68 4. Singida black stars point 63 5. TRA united point 48 6. JKT Tanzania point 47 7. coastal union point 43 8. Mashujaa point...
  10. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Nabii Tito ambaye aliumbwa kwa sura na mfano Mungu

    Nabii Tito ambaye aliumbwa kwa sura na mfano Mungu amekuwa akipaka 💋 lipstik ili kulainisha mdomo. Alitabiri Mengi kama ifuatavyo 1.Mafuta kupanda bei 2.Kesho kuwa Jumamosi 3.Kuvaa life jacket kujikinga na baridi 4.Wema kujifungua 5.Walevi kunywa pombe
  11. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Utabiri wako ni upi hii raundi ya 16

  12. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Japan wanaenda kuishangaza dunia Kwa kubeba world cup 2026...Huu ni utabiri wangu

    Japan ndiyo timu ambayo itaenda kuishangaza dunia Kwa mara ya Kwanza usiku wa July 19 Kwa kubeba world cup. Nimeangalia mechi Yao moja Tu waliocheza na uholanzi nikapata jibu kuwa hawa jamaa wanaenda kubeba ndoo World cup ya mwaka huu haina mwenyewe zaidi ya Japan Tu....najua mada hii itapata...
  13. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Huu ndio utabiri wa Likud kuhusu kombe la Dunia 2026

    Bingwa atakuwa Croatia. Mimi sio mchawi. Sio mtabiri. Sio Ostaz. Sio Mtume na Nabii. Ni Mwanahisabati/ Mwanasayansi ( my mindset is scientific and mathematically oriented)/ Mwanamichezo. Nimefanya uchambuzi wa kisayansi, nimepiga hesabu zangu zote na nimejiridhisha pasi na Shaka yoyote...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Mapema kabisa natoa utabiri wangu

    Nchi za Japan na Ivory Coast zitaishangaza dunia kwenye hii michuano ya kombe la dunia.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Chatanda ikemewe, imeonesha dharau kwa Mwenyekiti wa CCM

    Natumia jukwaa kuelezea kauli tata ya Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Chatanda na kumtaka aliyoitoa kuomba radhi kwa kauli hiyo na akemewe. Sina mashaka na uwezo na uzalendo wa Mhe.Chatanda katika kazi zake za kukiimarisha Chama lakini kauli zenye mashaka daima lina chimbuko la kusudi la kauli...
  16. appoh

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Utabiri unaosubiriwa kutimia na walio wengi

    Kuna watu watafungwa kuna watu watanyongwa kuna watu wataenda jela (polepole September 14 Jumatatu saa 3 usiku na dakika 20) Dalili zunaonesha muda sio mrefu hili litatimia kuanzia kwenye kelele za tume kua wahusika waadhiwe kwa haki na sio kutolewa kafara ukizingatia kesi ya ICC muda sio mrefu...
  17. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Nini utabiri wako kwenye Ripoti ya Chande? Ni kweli italeta matumaini kwa Watanganyika au mpasuko au ambao haujawahi kutokea?

    Wakuu, Mzigo unaangushwa kesho mezani, tujue nini hasa tume ya Chande imekikusanya kutokana na hadidu rejea walipewa. Toka wiki iliyopita tunaona video baada ya video za mahojiano na watu mbalimbali ikiwemo Sheikh Mkuu, Jaji Mkuu Mstaafu, watanzania baadhi, na leo watu wa media wakisema "wana...
  18. Etwege

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Humphrey Polepole waanza kutimia

    Balozi Humphrey Polepole kabla ya kutekwa na kupotezwa alitabiri mambo mengi kwa nchi yetu Tanzania ikiwa itaendelea kuwa chini Rais Samia (2025-2030). Leo nawaletea tabiri mbili tu ambazo nimeona zimeanza kuonekana dhahiri. Rais Samia kutowaheshimu watanzania baada ya uchaguzi mkuu Humphrey...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Kuna siku Lissu ataenda kumsalimia mbaya wake katika mahabusu ya ICC

    Hii naomba muichukue kama ilivyo kwani ni swala la muda tu. Itakuwa ni kama vile Lissu alipoenda kusalimiwa pale Nairobi baada ya kumiminiwa risasi na jeshi la Farao wa wakati ule. Muda utaongea.
  20. K

    JamiiForums Tanzania Utabiri CCM itandoka kabla ya TEC

    Utabiri CCM itandoka kabla ya TEC kwasababu mmoja ni ya wezi nyingine ni ya jamii na ukweli. Wovu haujawahi kushinda HAKI. Iko siku tutakuwa na TEC lakini Chama Cha Mapinduzi kitakuwa na jina lingine kama TANU ya Kenya Ni watu sio Chadema ona hapa https://youtu.be/w2poGaeVvCw?si=wYS6sskWQ-dKLFDZ
Back
Top Bottom