utabiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Chatanda ikemewe, imeonesha dharau kwa Mwenyekiti wa CCM

    Natumia jukwaa kuelezea kauli tata ya Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Chatanda na kumtaka aliyoitoa kuomba radhi kwa kauli hiyo na akemewe. Sina mashaka na uwezo na uzalendo wa Mhe.Chatanda katika kazi zake za kukiimarisha Chama lakini kauli zenye mashaka daima lina chimbuko la kusudi la kauli...
  2. appoh

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Utabiri unaosubiriwa kutimia na walio wengi

    Kuna watu watafungwa kuna watu watanyongwa kuna watu wataenda jela (polepole September 14 Jumatatu saa 3 usiku na dakika 20) Dalili zunaonesha muda sio mrefu hili litatimia kuanzia kwenye kelele za tume kua wahusika waadhiwe kwa haki na sio kutolewa kafara ukizingatia kesi ya ICC muda sio mrefu...
  3. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Nini utabiri wako kwenye Ripoti ya Chande? Ni kweli italeta matumaini kwa Watanganyika au mpasuko au ambao haujawahi kutokea?

    Wakuu, Mzigo unaangushwa kesho mezani, tujue nini hasa tume ya Chande imekikusanya kutokana na hadidu rejea walipewa. Toka wiki iliyopita tunaona video baada ya video za mahojiano na watu mbalimbali ikiwemo Sheikh Mkuu, Jaji Mkuu Mstaafu, watanzania baadhi, na leo watu wa media wakisema "wana...
  4. Etwege

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Humphrey Polepole waanza kutimia

    Balozi Humphrey Polepole kabla ya kutekwa na kupotezwa alitabiri mambo mengi kwa nchi yetu Tanzania ikiwa itaendelea kuwa chini Rais Samia (2025-2030). Leo nawaletea tabiri mbili tu ambazo nimeona zimeanza kuonekana dhahiri. Rais Samia kutowaheshimu watanzania baada ya uchaguzi mkuu Humphrey...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Kuna siku Lissu ataenda kumsalimia mbaya wake katika mahabusu ya ICC

    Hii naomba muichukue kama ilivyo kwani ni swala la muda tu. Itakuwa ni kama vile Lissu alipoenda kusalimiwa pale Nairobi baada ya kumiminiwa risasi na jeshi la Farao wa wakati ule. Muda utaongea.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Utabiri CCM itandoka kabla ya TEC

    Utabiri CCM itandoka kabla ya TEC kwasababu mmoja ni ya wezi nyingine ni ya jamii na ukweli. Wovu haujawahi kushinda HAKI. Iko siku tutakuwa na TEC lakini Chama Cha Mapinduzi kitakuwa na jina lingine kama TANU ya Kenya Ni watu sio Chadema ona hapa https://youtu.be/w2poGaeVvCw?si=wYS6sskWQ-dKLFDZ
  7. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Utabiri raisi ATAKAE tawala Tanzania kwa Muda mfupi Dr Samia or Magufuli?shekhe Yahaya njooo duniani!

    Magufuli alitawala miaka HAIJAWAI tokea Tanzania Mama Samia Suluhu hassani anaenda Mwaka WA 5 Sasa je Shekhe Yahaya alimtambilia nani kuwa raisi wa Muda mfupi? Je akilazimisha amzidi Magufuli Nini kitajili? Mbinguni kunani?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Movements restrictions na curfew kuanza rasmi tarehe 01/12/2025

    Huu ni utabiri wangu na hii itatangzwa kwa kushitukiza siku ya kesho usiku kupitia vyombo vya habari. Hint: Tarehe 01/12/2025, ni siku ya ukimwi duniani. Je, kuna lolote linaendelea serikalini kupitia Wizata ya Afya juu ya siku hii muhimu duniani? Kama hakuna,; je, ni kwanini. Nimetabiri...
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Shehe Yahaya bado unaishi

    Sheikh Yahya Hussein, aliyekuwa mmoja wa wapiga ramli maarufu sana nchini Tanzania, Ingawa kauli zake hazikuwa sehemu ya tafiti rasmi za kisayansi wala siyo maandiko ya kiroho yaliyo katika vitabu vitakatifu, ziliwahi kuvutia hisia za watu wengi hasa alipokuwa akizungumzia masuala ya kisiasa kwa...
  10. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Utabiri "Feki" wa Sheikh Yahya mwisho jana

    Sikuwahi kumsikia Sheikh Yahya Hussein, mtabiri maarufu wa Afrika Mashariki akitoa utabiri huu. Na wala hakuna mtu amewahi kuketa voice note/ video clip kuhusu maneno hayo. Lakini maneno hayo yalikuwa yana trend kila uchaguzi ulipotokea kati ya 2015, 2020 na 2025. Sasa baada ya Rais Samia...
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Utabiri wangu kuhusu maandamano Oktoba 29

    Maandamano ya kesho hayatafanikiwa. Hii ni sababu watanzania wengi hawajawa desperate enough kufikia ile hali ya kuwa tayari ku risk maisha yao. Wengi hawajafikia hatua ya kutokuwa na cha kupoteza liwalo na liwe. Matokeo yake, maandamano yakifeli yamkini wenye mamlaka watapata kibuli na kuanza...
  12. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Ni kama tumegeuka taifa la wapiga ramli na washirikina kirejareja

    Kila nipitapo humu, nimekuwa nasoma upuuzi uitwao 'utabiri' wa baadhi ya mazwazwa yanayojikomba kwa bi kidude kutaka wageuzwe chawa na kutupiwa makombo. Si hapa tu, hata huko mitaani, mchezo huu mchafu umeenea na kutamalaki. Ni kama tumegeuka taifa la wapiga ramli na washirikina kirejareja...
  13. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Mchungaji Fadhili Juu Ya Humphrey Polepole Watimia

  14. Superbug

    JamiiForums Tanzania Utabiri mwingine wa Lema watimia tena

    Kila alichotabiri Lema kimetoke Kwa 98% accurately nakumbuka aliwaonya CCM, Lissu alipopigwa risasi Lema alisema. Mkitumaliza sisi mtaanza kulana wenyewe Kwa wenyewe Sasa Leo yametimia.
  15. Lattafa

    JamiiForums Tanzania Unajimu na Nyota : 29 October predictions

    Kuelekea 29 October. Kwanza Je, Tanzania kama nchi nyota yake ni ipi? 26 April 1964, Tanzania ilizaliwa. Baadani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hii inaifanya nchi, wananchi, uongozi wa juu kuwa na sifa za nyota Taurus /Ngombe. Sifa zake kuu ni kupenda vitu vya thamani, ufahari...
  16. Secret Star

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Nyota Siku ya 29/10/2025. {Kila kitu kiko wazi}

    Hello habari! mimi sio mwanasiasa na silipwi na kikundi cha mtu au watu kwa njia yoyote nipo hapa kutoa ujumbe wa nyota siku ya Tar 29/10/2025. Mjumbe hauwawi!! Nimetazama nyota zitakavyokuwa tarehe husika 29/10/2025 kuhusiana na suala la Uchaguzi pamoja na harufu ya maandamano na vurugu...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Ndugai

    https://youtu.be/pK4Uq9CvIkY?si=unUxxicIY6p9sr9M
  18. Street brain

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Miaka mitano ya rais Samia: Usipojipanga saaa, sahau kabisa kufanikiwa baadaye

    Mambo vipi wanajf jobless nakuja tena kutabiri,,,ukiangalia mwelekeo wa maendeleo ya taifa chini ya uongozi wa Rais Samia katika miaka mitano ijayo, ebu ngoja nigusie vitu vifuatavyo watu au wenye mfumo wanaenda kutengeneza vitu vifuatavyo kwenye mfumo wao👇👇👇 Watu watatengeneza mifumo yao...
  19. McLaren

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa huyu Mchungaji umeniogopesha. Ni nani huyu?

    Wakuu, Huyu Mchungaji ni nani. Hapa wamesema ametokea Zimbabwe maana huu utabiri wake umenishtua sana.
  20. Lamborgini

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa chatgpt AFCON katukataa Tz

    Kwa kuangalia form ya timu na historia ya hivi karibuni, hizi ndizo nafasi zinavyoonekana kwa robo fainali za CHAN 2025: 🔥 Robo Fainali 1. Kenya 🆚 Madagascar Kenya wako kwenye kiwango kizuri sana baada ya kushinda Group A. Madagascar nao wana kasi, lakini Kenya wanaonekana na nafasi kubwa...
Back
Top Bottom