% kubwa ndivyo wanavyoongea watu wa kule.....!!Nilivyofika kwa mara ya Kwanza nilidhani wote ni watu wa kufoka na kukaripia
 
Anakula spana za hatari, na alivyo mweupe kwenye hoja
 

Attachments

  • FB_IMG_1600852742662.jpg
    27.7 KB · Views: 1
Tatizo magufuli inaonesha sio mtanzania akiongea Kama anagombana na wasikilizaji, anafoka ndio maanaa hata wanaomsikiliza wanamshangaaa kuwa kwani anatugombeza? Halafu ana maneno machafu Ya kutukana watu, kumbe hajui kuwa wale waliombele yake wengne ni chadema ila wameletwa Kwa nguvu kutokana na amri ya kazini kwao
 
Ni wazi kuwa TL hana kashfa wala tuhuma yoyote, maana hadi sasa hatujasikia zikisemwa semwa na wapiga debe wa CCM wala wagombea wao.

Baada ya kuzikosa wamebaki na maneno ya porojo yasiyo na ushahidi wa aina yoyote
Kumbe kubadilisha taifa liwe la kishoga siyo kashfa...


Chadema mmefilisika sana.

Yale ya MIGA ni appraisal?
 
Mwambieni hata aongeze na wajukuu zake wamuunge mkono kabisa, maana kura yake haina madhara kwa wapiga kura 29mil
 
Ni wazi kuwa TL hana kashfa wala tuhuma yoyote, maana hadi sasa hatujasikia zikisemwa semwa na wapiga debe wa CCM wala wagombea wao.

Baada ya kuzikosa wamebaki na maneno ya porojo yasiyo na ushahidi wa aina yoyote
Eti Maccm yapo bize yanatengeneza voice note za lissu anaongea a accacia,

Ukiwauliza Nani aliyewaleta accacia na baba yake Barrick hayana majibu
 
Kitendo cha mtetezi wa maslahi ya mabeberu nchini Tundu Lissu kukubali kupachikwa kifaa kinachonasa taarifa za Tanzania ni kukosa uzalendo.

Kifaa hicho alipachikwa mwilini mwake akiwa ughaibuni ambapo alikua akizunguka mataifa mengi eti kuishitaki Tanzania kwa mabeberu.

Kwa ufupi hana sifa za kuwa kiongozi. Tumeona mgombea wa nchi fulani akikosa kura kutokana na kutumia baruapepe binafsi kwa shughuli za kiserikali. Sembuse yeye anaevujisha taarifa nzito za nchi.

Lissu anafuata nyayo za kiongozi wa taifa fulani ambae alisaidiwa kuingia madarakani na taifa jingine.

Eti huyu tumpe nchi yetu aiongoze? Loooh. Atatuuza sote. Hafai kuwa msimamizi wa umma na rasilimali za umma.

Kwakweli, hatuko tayari kumchagua Gorbachev (Lissu) kwasababu ataisambaratisha nchi yetu.

Huyo ndio Rais wetu wa Awamu ijayo aliye tayari kulivua nguo taifa kwa kwa maslahi tu ya mabeberu na chuki yake dhidi ya Serikali ya awamu tano. Watanzania, Je huyu ana dhamira ya dhati ya kuilinda nchi yake kweli!? Tafakari.
 
Mimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
 
Kitendo cha mtetezi wa maslahi ya mabeberu nchini Tundu Lissu kukubali kupachikwa kifaa kinachonasa taarifa za Tanzania ni kukosa uzalendo.

Kifaa hicho alipachikwa mwilini mwake akiwa ughaibuni ambapo alikua akizunguka mataifa mengi eti kuishitaki Tanzania kwa mabeberu.

Kwa ufupi hana sifa za kuwa kiongozi. Tumeona mgombea wa nchi fulani akikosa kura kutokana na kutumia baruapepe binafsi kwa shughuli za kiserikali. Sembuse yeye anaevujisha taarifa nzito za nchi.

Lissu anafuata nyayo za kiongozi wa taifa fulani ambae alisaidiwa kuingia madarakani na taifa jingine.

Eti huyu tumpe nchi yetu aiongoze? Loooh. Atatuuza sote. Hafai kuwa msimamizi wa umma na rasilimali za umma.

Kwakweli, hatuko tayari kumchagua Gorbachev (Lissu) kwasababu ataisambaratisha nchi yetu.

Huyo ndio Rais wetu wa Awamu ijayo aliye tayari kulivua nguo taifa kwa kwa maslahi tu ya mabeberu na chuki yake dhidi ya Serikali ya awamu tano. Watanzania, Je huyu ana dhamira ya dhati ya kuilinda nchi yake kweli!? Tafakari.
 
Kuna ushahidi juu ya hili au ni siasa maji taka tu??

Kama hakuna ushahidi kamwe nisingethubutu kuandika kashfa hizi maana kila tuandikacho hubakia.
 
Hayo umeyajuwaje wakati tiss wameridhia apewe fomu kitambo
 
Kifaa kinaitwaje, na kinafanyaje kazi, au umeskia story tuu na wewe ukabeba mpaka hapa, andika kwa kuzingatia taarifa za msingi kutoka kwenye kichwa cha mada yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…