Kitendo cha mtetezi wa maslahi ya mabeberu nchini Tundu Lissu kukubali kupachikwa kifaa kinachonasa taarifa za Tanzania ni kukosa uzalendo.
Kifaa hicho alipachikwa mwilini mwake akiwa ughaibuni ambapo alikua akizunguka mataifa mengi eti kuishitaki Tanzania kwa mabeberu.
Kwa ufupi hana sifa za kuwa kiongozi. Tumeona mgombea wa nchi fulani akikosa kura kutokana na kutumia baruapepe binafsi kwa shughuli za kiserikali. Sembuse yeye anaevujisha taarifa nzito za nchi.
Lissu anafuata nyayo za kiongozi wa taifa fulani ambae alisaidiwa kuingia madarakani na taifa jingine.
Eti huyu tumpe nchi yetu aiongoze? Loooh. Atatuuza sote. Hafai kuwa msimamizi wa umma na rasilimali za umma.
Kwakweli, hatuko tayari kumchagua Gorbachev (Lissu) kwasababu ataisambaratisha nchi yetu.
Huyo ndio Rais wetu wa Awamu ijayo aliye tayari kulivua nguo taifa kwa kwa maslahi tu ya mabeberu na chuki yake dhidi ya Serikali ya awamu tano. Watanzania, Je huyu ana dhamira ya dhati ya kuilinda nchi yake kweli!? Tafakari.