kanda ya ziwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Serengeti ni moyo wa utalii wa Tanzania, halafu bado tunabishana kuhusu airport? https://youtu.be/9eOKGUVCjA4?si=UOzbKsu_RKP-Xeck Wakenya waliona tumelala, wana mipango ya kujenga airport karibu na Maasai Mara ili watalii watue moja kwa moja karibu na destination yao. Tumechelewa sana kuweka...
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wanaohusika na haki za wanyama ina maana punda wa huku kanda ya ziwa hamuwaoni hususani shinyanga na viunga vyake?

    Waku Kuna Hawa punda wanaosomba mchanga,mawe ama tofari huku kanda ya ziwe kwenye gutama ama tela jina maarufu asee Hawa punda wanateseka sana. Wanapigwa mwanzo mwisho wa safari bila huruma halafu mbaya zaidi hao punda wanakuwa na vidonda shingoni Bado anafanyishwa kazi na anapiga hapohapo...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta machimbo ya Nafaka kanda ya Ziwa

    Salam Wana jukwaa. Mimi ni mfanyabiashara. Natafuta machimbo ya nafaka Kanda ya ziwa na viunga vyake. Nataka nipate nafaka kutoka kwa wakulima moja kwa moja au wafanyabiashara ambao Bei zao ziko chini sana Nafaka ninazohitaji ni; 1 Karanga 2 Maharage njano 3 Dengu 4 Kunde, na 5 Njugu...
  4. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ajabu yanayotokea Kanda ya Ziwa tu

    Kanda ya ziwa ni moja ya kanda ya ajabu kuwahi kuwepo kwenye nchi hii leo humu jukwaani kuna mdau amelalamikiwa jinsi ambapo TFS kanda ya ziwa inavyowanyanyasa na kutowajali kwa mambo haya kanda ya ziwa ni kawaida sana aisee Kanda ya ziwa ni kanda ambapo mauaji ya Albino na vikongwe...
  5. Zee la madawa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alivyonikosa kuniuawa mke wangu kutokea kanda ya ziwa

    JamiiForums Mahusiano, mapenzi, urafiki Nilivyonusurika kuuawa na aliyekuwa mke wangu kutoka kanda ya ziwa Thread startermkunga wa jadi Start date42 minutes ago Tagsaliyekuwa kanda kanda ya ziwa kutoka kuuawa mke mke wangu wangu ziwa Jump to new Unsubscribe ••• mkunga wa jadi Senior Member...
  6. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Kanda ya ziwa kuna idadi kubwa ya wagonjwa wa sickle cell,Asthma na ugonjwa wa virusi vya ukimwi

    Ukifuatilia vyanzo vingi sana vya utafiti not about vyanzo mimi pia ni shahidi kwasababu mimi nimefanya kazi kanda ya ziwa nimekuja kugundua kanda ya ziwa hasa hasa mikoa ya shinyanga,Mwanza,Geita na Tabora japo Tabora si kanda ya ziwa ila kuna idadi kubwa ya wasukuma magonjwa kama asthma na...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wa kanda ya ziwa hawajui kusoma hasa wasukuma

    Ndiyo ukweli huo watu wengi wa kutoka kanda ya ziwa hawajui kusoma hata kuandika kwao ni shida sana. Aisee sijui wana shida gani hawa yaani wasukuma kwao elimu sio kipaumbele kabisa yaani kuna idadi kubwa ya watu kutotaka kusoma kabisa jambo linapelekea familia nyingi kubakia kwenye umasikini.
  8. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Watu wa Kusini kuweni makini na hao wafugaji kutoka kanda ya ziwa msije kupiga kelele baadae

    Kuna wimbi kubwa sana la wafugaji kutoka kanda yq ziwa hasa kwenye wakihamia mikoa ya kusini Lindi,Mtwara na Ruvuma kuna makundi kwa makundi ya wafugaji wa jamii ya kisukuma wakihamia mikoa ya kusini na kuanza kupora ardhi na pia wengi wao kuwadhuru wenyeji wao kitu ambacho kinaleta taharuki na...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Bila shaka tumejifunza kuwapa madaraka makubwa watu kutoka kanda ya ziwa tushaona wapoje

    Bila shaka kila mtu ameona nini kitatokea Iwapo tukiwapa madaraka makubwa watu kutoka Kanda ya ziwa maana tumeona mtu kama mwendazake alipewa madaraka makubwa tumeona alichokuwa anafanya yaani hawa watu wa kutoka kanda ya ziwa hawa wasukuma ni wabinafsi Wanajificha kwenye kichaka cha upole ila...
  10. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kufilisika kibiashara fanya au ajiri mtu kutoka kanda ya ziwa

    Hii kanda ina watu wa ajabu sana sijui hawana utu au kukosa elimu na maarifa au nini aisee nachoka mimi yaani kama unataka kufilisika au biashara yako kwenda na maji basi ajiri mtu kutoka shinyanga, Mwanza, Geita au simiyu aisee najuta kwanza wao kukuibia ni suala la kawaida tu kwao au kukuroga...
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika kuuawa na aliyekuwa mke wangu kutoka kanda ya ziwa

    Hawa watu kutoka kanda ya ziwa ni wakatili sana hasa hasa wanawake yaani ukitaka kuona dunia chungu au ndoa ni chungu oa mwanamke kutokea kanda ya ziwa aisee mimi niliona cha mtema kuni nusura aniue kisa mali tu ambazo yeye amenikutana nazo aisee kwanza hawa wanawake toka kanda ya ziwa...
  12. Zee la madawa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama unataka kuiona ndoa ni ngumu, oa mwanamke kutoka kanda ya ziwa hasa hasa hawa warefu na weupe

    Kama unataka kuona chungu ya ndoa we nenda kaoe kanda yq ziwa utajuta hawa watu wana tamaa ya mali aisee sijawahi kuona aisee wajeuri, wajivuni na viburi na ushirikina kwao ni kama jadii yao tu wanaweza kukupiga limbwata mpaka ujute kusema ukweli Mimi nimenusurika kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tu...
  13. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Kuna takwimu lazima watu wa kanda ya ziwa lazima wawepo

    Yaani kuna takwimu watu wa kanda ya ziwa lazima wawepo tu yaani watu wa kanda wao choo ni kama paka na panya sijui kwanini wanapenda kujisaidia porini hawa watu sijui kiufupi usitaarabu kanda ya ziwa ni No
  14. Zee la madawa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni ngumu kumpata bikra Kanda ya Ziwa, sijui wana shida gani

    Aisee sijui kanda ya ziwa wanawake wao wana shida gani yaani ni rahisi kumpata msichana bikra kanda ya pwani ila ngumu sana ni kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano ndivyo ilivyo ni ngumu kumpata bikra kanda ya ziwa hasa hasa akina mwanike wanyamwezi atleast ni rahisi na wanyaturu ni rahisi...
  15. msuyaeric

    JamiiForums Tanzania Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, kwa Kanda ya Ziwa Rais Samia umeweka historia

    Na Mwl Udadis, Nyakato-Mwanza Rais Samia anaendelea kuonyesha upendo wa dhati na dhamira thabiti kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kupitia miradi mikubwa inayobadilisha maisha, biashara na uchumi wa Mwanza na Kanda ya Ziwa kwa ujumla. Amezidua meli kubwa na ya kisasa zaidi Ziwa Victoria, MV New...
  16. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Watu wa kanda ya ziwa, hiki kinywaji kwanini mnakipenda sana?

    Kina siri gani sana, Kahama ukikutana na vijana wa kiume watano basi wanne wana hiki kinywaji Nini siri yake?
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Ntobi: Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanganyika Bazara la Mawaziri halina waziri kutoka kanda ya Ziwa

    Kupitia Ukurusa wake wa X zamani Twitter anaandika Mwanasiasa Emmanuel Ntobi, Kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya Tanganyika, Baraza la Mawaziri halina hata Waziri mmoja kutoka Kanda ya Ziwa—mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Geita, Tabora na Simiyu. Cha kushangaza zaidi, mkoa mmoja wa Dodoma...
  18. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Tatizo lilianza pale alipojidanganya kuwa Dotto Biteko na Jesca Magufuli watamsaidia kukubalika kanda ya Ziwa Victoria

    Naweza kusema yalikuwa mahesabu ya hovyo japokuwa walidhania yataisadia CCM. Eneo pekee hapa nchini ambalo huwa linatoa mustakabari wa taifa letu ni kanda ya Ziwa Victoria hususani kwenye uchaguzi. Mwaka 2005 Jakaya alikuwa anapigwa vita na watu wa maeneo ya kanda ambayo naiweka kapuni...
  19. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video : Joto la maandamano lazidi kupanda kanda ya ziwa

    Wakuu kiukweli nasikitika kuona viongozi wakiendelea kuonesha kutojali yaliyotokea. Kanda ya Ziwa bado inaonekana vijana hawapo tayari kuweka silaha chini. Baadhi ya mitandao ya kijamii vijana wa kanda ya ziwa wanasema aliyemuuwa Magufuli ndie aliyekua vijana October 29 kwa tamaa ya madaraka.
  20. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kanda ya ziwa: Lini kutakuwa na kiwanda cha Dagaa, Sangara na Sato

    Habari Tanzania ! Eti lini wapendwa mtaleta Viwanda vya kuchakata Dagaa na Samaki ? Au ndio kusema mmeamua kuwaacha na mambo yao yote Kanda ziwa ? Onyesheni basi maupendo jamani. NB Masoko yapo ila viwanda hakuna.
Back
Top Bottom