mabeberu

  1. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Video ya moto kuhusu makao makuu ya IRGC nchini Iran

  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kama mabeberu wanatuonea wivu, kutupiga vita na kutochochea kwa nini tusiwe vibaraka wa magharibi tu?

    Shida iko wapi kujisalimisha na kukubali kuwa kibaraka wa Marekani kama nchi za Gulf za Saudi Arabia, Kuwait, Oman, UAE, Bahrain na Qatar pamoja na nyingine kama za Japan, Korea Kusini na Israel ili tusichochewe kupigana wenyewe kwa wenyewe na kuharibu nchi zetu? Kwa nini CCM haioni umuhimu wa...
  3. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Mabeberu Waliwalipa Mashabiki Kumzomea Mwana FA

    Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa jana mabeberu wamewalipa watu wote walioingia kwenye hafla ya miaka 30 ya bongo fleva ili wamzomee, kumbagaza na kumbananga mwana FA. Inauma sana. Mimi kama abduli aka Ponjoro wa Kinondoni nimesikitika sana. Na bado.
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini Mabeberu hayapigi vita maendeleo ya Makanisa na shule katika nchi maskini?

    Habari za Jumapili. Kwa uelewa wangu huu ninaamini kabisa Wazungu, mabeberu kamwe hawataruhusu nchi walizozitawala ikiwemo Tanzania ifanye Jambo ambalo litaiinua nchi, kuiendeleza, ikiwezekana kuwapita wap. Mtibeli naamini, Ukiona Mzungu hakuzuii kufanya Jambo Fulani linalokufanya uendelee...
  5. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kama kuna watu wanalipwa na mabeberu na kuna ushahidi wa incite mutiny. Kwanini serikali isiwakamate?

    Hili ni kosa kubwa sana wala sio la kulipwa pesa na kuchochea vijana waingie mitaani kufanya uhaini. Sasa inakuwaje tunaambiwa kuwa watu wamewekewa pesa ili kulipa vijana waandamane? Ushahidi wa waliolipwa upo na namna pesa zilivyowafikia upo. Kwa nini hawakamatwi?
  6. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame arejea kauli ya Rais Samia kuwaambia Mabeberu 'Who are you', awataka wakome kujifanya waangalizi wa Haki za binadamu wa Africa

    My Take Naunga mkono Kauli ya Marais wetu kuhusu hao Mabeberu ambao wameweka mapandikizi Yao huku Africa Kwa jina la Wapinzani na Wanaharakati. Hao Beberu wanaua raia wasio na hatia kwenye Nchi zingine wanazoanzisha vita bila kujali Haki za binadamu.Kwani hao hawastahili Haki? Haki za binadamu...
  7. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Kama wazee wetu walikutwa wanacheza bao na dhahabu, kwanini tuwalaumu mabeberu?

    Historia ya Afrika imejaa simulizi za utajiri wa rasilimali, lakini pia simulizi za kuporwa kwa rasilimali hizo. Mara nyingi lawama zote hupelekwa kwa mabeberu wakoloni na makampuni ya kimataifa kwa sababu ya kuhodhi thamani ya dhahabu, almasi, mafuta na madini mengine. Lakini tukirudi nyuma...
  8. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Waasisi wa Taifa letu waliwafukuza mabeberu ili ku-mantain Tanzania's sovereignty leo chadema wanawatumia mabeberu ili kuhujumu Tanzania's sovereignty

    Chadema haikuanzishwa ili kupingapa na dhamira ya waasisi wa Taifa letu ya ku-mantain national sovereignty. Nashangaa kuona Leo hii chadema wanafanya siasa kwa mgongo wa mabeberu hii ni aibu na ni ujinga mkubwa. Chadema haikuanzishwa ili kuirudisha nchi kwenye utawala wa mabeberu, chadema...
  9. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Nyerere hakupeleka familia yake ikalelewe na Kodi za mabeberu hii jeuri viongozi wa CHADEMA wanaitoa wapi huu ni umario wa Africa wanatuaibisha

    Kama viongozi wa chadema kutwa wanakesha wanapitisha kapu la donation kuwatapeli watu nchini, Je! Wanauwezo wa kulipia land huko kwa mabeberu? Je wanauwezo wa kusomesha watoto huko kwa mabeberu? Je! familia zao zinaishije huko kwa mabeberu? Wanatudhalilisha waafrica tunaonekana hatuwezi kutunza...
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi sijui Hesabu au Mabeberu Wana Hela? Apple Pekee ina Thamani Sawa na Bajeti ya Tanzania ya Miaka 200?

    Ni either mimi hesabu za Kihasibu sijui au Hawa jamaa waheshimiwe! Makala inaniambia kampuni la Marekani Apple, wenye iPhone, Mac, na iPads zao, wana net-worthy ya zaidi ya US$4.5 trillion tunavyoongea. Hapo hapo budget yetu kwa mwaka ni US$24 billion. Kwahiyo ukigawa hapo si kwamba Apple...
  11. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mabeberu wakisikia tu tunataka kujikomboa lazima hawa jamaa wachungulie kinachofanyika.

  12. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya mabeberu kutengeneza magonjwa Mungu anawaona. Panya kwenye meli ya kitalii wapi na wapi.

    Watu watatu wamefariki baada kushukiwa kuambukizwa virusi vya hantavirus katika meli moja ya kubeba abiria iliyokuwa ikisafiri katika bahari ya Atlantiki, hii ni kulingana na taarifa iliyotolewa na shirika la afya duniani WHO. Kisa kimoja cha hantavirus kimethibitishwa, huku visa vingine vitano...
  13. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kama tatizo ni mabeberu mbona viongozi wetu ni matajiri?

    Kila mara tunaambiwa kuwa umaskini wetu unasabanishwa na kutawaliwa na wakoloni na kuendelea kugandamizwa na mabeberu. Sasa kama ni hivyo mbona viongozi wetu wao siyo maskini, au wao hawajathiriwa na ukoloni na ubeberu?
  14. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Hawa nao wamelipwa na mabeberu gani?

    Hali ya mambo siyo shwari ila CCM wakiambiwa ukweli wanachachamaa na kusema wanaowakosoa wamelipwa na mabeberu. Picha hiyo hapo chini inaonesha wananchi wa eneo la Ngongowele Wilayani Liwale Mkoani Lindi wakiwa na mabango yanaoonesha wanataka mabadiliko kwenye eneo lao. CCM wanadhani tatizo ni...
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Acheni kusingizia mabeberu Tanzania

    Inachosha kusikia kila siku "Mabeberu ndio wanatuvuruga," "Mabeberu ndio chanzo cha vita Afrika na Asia." Hivi hamchoki na huu upuuzi? Hamuoni aibu? Hebu tumia akili yako kidogo (kama unayo): 1️⃣ KWANINI MABEBERU WANALINDA NCHI ZAO? 🛡️ Kama mabeberu ni wabaya sana, mbona kwao hakuna vita...
  16. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Mabeberu wanamezea mate Uranium yetu, wanatuonea wivu

    Tukisema tuna viongozi wa hovyo mnasema tunatumika na mabeberu haya kunyweni hilo tope Uranium zipo chini!!!
  17. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Samia ,Traore chungeni ndimi zenu na waheshimu Mabeberu

    Samia akilindwa na kina Mafwele,Wambula na Mkunda alidhani hakuna mtu yeyote KWENYE Dunia hii anaweza mkoromea. The same to Traore akiwa na kabunduki kiunoni basi anajiona yupo na nuclear weapons. Jifunze kilichomkuta Madulo, alikuwa na mdomo, mikwara, na kuwatesa wapinzani, baada ya kuungwa...
  18. funaku

    JamiiForums Tanzania Bunge liwajadili mabeberu na vibaraka wao wanaojaribu kuivuruga Tanzania!

    Nichukue fursa hii kumpongeza Mhe.Waziri Mkuu Kijana Mwigulu Nchemba kwa kuanza kuanika japo kwa uchache kilichopo nyuma ya pazia. Ni muda mrefu humu tumesema juu ya mwenendo usio na afya kwa Taifa unaooneshwa na mabeberu au waite mabwana waliowatumikisha wabara na hata kuwauza utumwani ...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Mwananchi: Gen Z subirini tufe kwanza ndo muiwashe Tanzania moto, tusikubali kudanganywa na mabeberu, vijana fanyeni kazi

    Wakuu, Huyu Mzee anawasha moto kwa Gen Z, hii kauli ya kusema tunashawishiwa na mabeberu wanaikamia sana Hivi ni kweli vijana hatujui tunataka nini? Nani alisema tunataka kuiwasha moto Tanzania na si kuijenga kutoka kwa mafedhuli tena wazawa wa nchi hii Kama ni kazi tunafanya na ndo hii ya...
  20. Sales man

    JamiiForums Tanzania Kama mmekula hela za mabeberu mzirudishe tu

    Hawa wanaharakati uchwara waliokimbilia nje Kama hizo hela wamekula waziruishe tu mission imeshafeli kwa 99.9%
Back
Top Bottom