Kama vipi mnaonaje siku ya tarehe 28.10.2020 Tumwage pombe ili ulevi wake uishie hapo hapo.
Sababu ya kumwaga pombe mbona tunazo;
1.Kikotoo cha wastaafu kinaenda kuumiza wastafu akipita
2.Watumishi wa umma wapo hoi NO nyongeza ya mshahara
3.Wafanya biashara wamefilisika kwa kodi na tozo lukuki kutoka asasi na taasisi za kiserikali zilizopewa malengo ya makusanyo.
4.Sector binafsi hata mafundi nyumba tu wanazagaa mitaani kazi hamna(wamepaki vifaa na skills zao) kwa sababu maboss hawana hela
5.Kauli za kibaguzi anazozungumza majukwaani kwa kuwadhihaki walipa kodi wake/wananchi.
6.Kama awamu ya kwanza tumelimia meno basi akipewa awamu ya pili tunaenda kulimia fizi maana mpaka sasa raia wa Tz wengi hatuna meno.
7.Mratibu mkuu wa kesi ya Uhujumu uchumii(Ni rungu analolitumia kupigia adui zake ki siasa haswa wakosoaji)
8.Anaendesha nchi ki sifa zaidi bila kutumia wataalamu na wizara I mean anachoamini yeye anataka kiwe ndo cha mawazo ya Tz nzima.
9.Kaharibu mahusiano ya nchi za nje mpaka leo ukikaa meza na wazungu(wafadhili,wawekezaji) wanakuambia Tanzania ni sehemu hatari kuwekeza.Wadhamini huku Tz wanaitwa Mabeberu
10.Kaharibu namna ya kufanya kazi na viongozi wetu wa siasa leo hii ni mwendo wa kutishana badala ya kuelekezana

HATA KAMA KAFANYA MENGI YA KIMIUNDO MBINU WALIPA KODI NASI TUNATAKA RETURNS (UHAUWENI WA MAISHA NDO HITAJI LETU KUU.
Jiwe kaisha ajiandae kukabidhi madaraka kwa amani hatutaki fujo
 
Surprise Kapangala.....
Mnanikumbusha BCBG

Magu ni yule yule
Na CCM ni ile ile...

Viva Magu 2020 to 2030
Kama vipi mnaonaje siku ya tarehe 28.10.2020 Tumwage pombe ili ulevi wake uishie hapo hapo.
Sababu ya kumwaga pombe mbona tunazo;
1.Kikotoo cha wastaafu kinaenda kuumiza wastafu akipita
2.Watumishi wa umma wapo hoi NO nyongeza ya mshahara
3.Wafanya biashara wamefilisika kwa kodi na tozo lukuki kutoka asasi na taasisi za kiserikali zilizopewa malengo ya makusanyo.
4.Sector binafsi hata mafundi nyumba tu wanazagaa mitaani kazi hamna(wamepaki vifaa na skills zao) kwa sababu maboss hawana hela
5.Kauli za kibaguzi anazozungumza majukwaani kwa kuwadhihaki walipa kodi wake/wananchi.
6.Kama awamu ya kwanza tumelimia meno basi akipewa awamu ya pili tunaenda kulimia fizi maana mpaka sasa raia wa Tz wengi hatuna meno.
7.Mratibu mkuu wa kesi ya Uhujumu uchumii(Ni rungu analolitumia kupigia adui zake ki siasa haswa wakosoaji)
8.Anaendesha nchi ki sifa zaidi bila kutumia wataalamu na wizara I mean anachoamini yeye anataka kiwe ndo cha mawazo ya Tz nzima.
9.Kaharibu mahusiano ya nchi za nje mpaka leo ukikaa meza na wazungu(wafadhili,wawekezaji) wanakuambia Tanzania ni sehemu hatari kuwekeza.Wadhamini huku Tz wanaitwa Mabeberu
10.Kaharibu namna ya kufanya kazi na viongozi wetu wa siasa leo hii ni mwendo wa kutishana badala ya kuelekezana

HATA KAMA KAFANYA MENGI YA KIMIUNDO MBINU WALIPA KODI NASI TUNATAKA RETURNS (UHAUWENI WA MAISHA NDO HITAJI LETU KUU.
 
Mimi sina ndugu wenye vyeti feki lakini Mimi, familia, na ndugu zangu tutampigia Lissu
Mimi siwezi mpigia Kura mtu anaetaka kuja kuhalalisha Ushoga Tz maana na Mimi nitakua naunga mkono vitendo vya kishoga, Kura yangu ni kwa Jembe kutoka Chato!!
 
Acha wadanganyane hawana story nyingine za kujadili october watakuja na uzi wa CDM kuibiwa kura ... Halafu kwa taarifa yao miaka 5, anayoenda kumalizia jiwe inaenda kuwa migumu sana .... Maaana jamaa atabana akamilishe miradi yake .. hakuna cha ajira ni muda wa vijana kuangalia option za kazi nyingine wafanye sio kukaa kwa shemeji tu, vijana tufanyekazi ... Mawazo ya kusprise jiwe yaondoeni kichwani
Watafurahi😂😂😂 waache wajipe moyo
 
Mungu ni mwema kila wakati! Angalia Mungu alivyo mwema! Mh. Lisu kupigwa Risasi 16/38, Mungu akasema hapana, Muhimbili msimpeleke! Wakangangana, lakini MUNGU NI MWEMA, akamtokea Mbowe kuwa kataa kata kata kuwa Muhimbili haendi mtu! MUNGU NI MWEMA, akajitokeza mtu(RIP), akasema najitolea gharama za ndege kwenda Nairobi , akapelekwa Nairobi! LEO NI MZIMA

MUNGU NI MWEMA KILA WAKATI
 
..Kuna watu wanne muhimu sana ambao Tundu Lissu aliwataja kuhusu tukio lake.

1. Khadija Juma Akukweti.

2.Amina Abrahman Kanyama.

3.Adam Mohamed Bakari.

5. Salim Turky [sasa ni marehemu].

..Hao watatu wa kwanza ndio waliomtoa TL toka eneo / area D aliposhambuliwa mpaka Dodoma Hospitali.

..Salim Turky ndiye aliyetoa udhamini ili ipatikane ndege ya kumsafirisha TL toka Dodoma kwenda Nairobi.

..Pia wapo madaktari na wauguzi wa Dodoma Hospitali ambao walim-stabilize ili aweze kutolewa Dodoma kwenda Nairobi.
 
..Kuna watu wanne muhimu sana ambao Tundu Lissu aliwataja kuhusu tukio lake.

1. Khadija Juma Akukweti.

2.Amina Abrahman Kanyama.

3.Adam Mohamed Bakari.

5. Salim Turky [sasa ni marehemu].

..Hao watatu wa kwanza ndio waliomtoa TL toka eneo / area D aliposhambuliwa mpaka Dodoma Hospitali.

..Salim Turky ndiye aliyetoa udhamini ili ipatikane ndege ya kumsafirisha TL toka Dodoma kwenda Nairobi.

..Pia wapo madaktari na wauguzi wa Dodoma Hospitali ambao walim-stabilize ili aweze kutolewa Dodoma kwenda Nairobi.
Mungu ni mwema kila wakati. Unaona aliwatuma watu wenye moyo wa huruma, wakampatia huduma ya kwanza, short of which angelikufa, leo yuko hai! MUNGU NI MWEMA KILA WAKATI
 
Ni wazi kuwa TL hana kashfa wala tuhuma yoyote, maana hadi sasa hatujasikia zikisemwa semwa na wapiga debe wa CCM wala wagombea wao.

Baada ya kuzikosa wamebaki na maneno ya porojo yasiyo na ushahidi wa aina yoyote
 
Back
Top Bottom