Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 3,021
- 2,000
Tanzania umepata uhuru wa bendera 1961, lakini cha kushangaza hadi kufikia 2020 bado ccm wanatoa ahadi ya kuchimba visima
Halafu ni WA dini moja, Mimi ni mkristo lakini hakuna awamu Bora kama zilizoongozwa na Ma Rais waislamu ,wenzetu Wana hofu ya MUNGU...Kuna watu wanne muhimu sana ambao Tundu Lissu aliwataja kuhusu tukio lake.
1. Khadija Juma Akukweti.
2.Amina Abrahman Kanyama.
3.Adam Mohamed Bakari.
5. Salim Turky [sasa ni marehemu].
..Hao watatu wa kwanza ndio waliomtoa TL toka eneo / area D aliposhambuliwa mpaka Dodoma Hospitali.
..Salim Turky ndiye aliyetoa udhamini ili ipatikane ndege ya kumsafirisha TL toka Dodoma kwenda Nairobi.
..Pia wapo madaktari na wauguzi wa Dodoma Hospitali ambao walim-stabilize ili aweze kutolewa Dodoma kwenda Nairobi.
Ndiyo hali halisi , anategemea ma-ded na tume tu , maana Polisi wamesha mkataaMpaka mzee amepata pancha View attachment 1581783
Hata jeshi limeshaaza kukubaliana hao maded wasijidanganye safari hiiNdiyo hali halisi , anategemea ma-ded na tume tu , maana Polisi wamesha mkataa![]()
Wanakula faida ya zuio la mikutano ya siasaCcm matairi yote yamepata Pancha
Jeshi lilimkataa tangu kitambo linamchora tu akanyage fyuziHata jeshi limeshaaza kukubaliana hao maded wasijidanganye safari hii
Mwaka huu jiwe kazi mbona anayo?
Tatizo magufuli inaonesha sio mtanzania akiongea Kama anagombana na wasikilizaji, anafoka ndio maanaa hata wanaomsikiliza wanamshangaaa kuwa kwani anatugombeza? Halafu ana maneno machafu Ya kutukana watu, kumbe hajui kuwa wale waliombele yake wengne ni chadema ila wameletwa Kwa nguvu kutokana na amri ya kazini kwaoWakuu
Huyu Bibi nimekutana nae kwenye Dalala mkoa x anasema atamchagua Lissu kwa sababu akiwa anahitubia wala hafoki kama viongozi wengine
Nadhani sasa ni muhimu kwa viongozi kujifunza lugha za kuongea na wananchi unapowahutubia maana mwananchi ndio mwenye nchi yake sio kumfokea wala kumtisha hapana
Huyu Bibi kanieleza hivo nikabaki nimeinamisha kichwa.
Kumbe kubadilisha taifa liwe la kishoga siyo kashfa...Ni wazi kuwa TL hana kashfa wala tuhuma yoyote, maana hadi sasa hatujasikia zikisemwa semwa na wapiga debe wa CCM wala wagombea wao.
Baada ya kuzikosa wamebaki na maneno ya porojo yasiyo na ushahidi wa aina yoyote
Mwaka huu mpaka mtajinyea na bado, ...
Eti Maccm yapo bize yanatengeneza voice note za lissu anaongea a accacia,Ni wazi kuwa TL hana kashfa wala tuhuma yoyote, maana hadi sasa hatujasikia zikisemwa semwa na wapiga debe wa CCM wala wagombea wao.
Baada ya kuzikosa wamebaki na maneno ya porojo yasiyo na ushahidi wa aina yoyote
Mungu asaidieJeshi lilimkataa tangu kitambo linamchora tu akanyage fyuzi
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us