jamiiforum

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Taasisi za Vibali: Kuzuia au Kuwezesha Wajasiriamali?

    Taasisi Za Umma Nyingi Zinazohusika na Vibali (Regulatory Authorities) Kama BRELA TBS TMDA TCRA NEMC EWURA LATRA TRA OSHA GCLA n.k Hebu Ifike Hatua Tufanye Kazi Kwa kuwezesha zaidi na si kuzuia Kwa Mfano mzuri Mjasiriamali Anapata Wazo La Kuanzisha Biashara Kama Crips tu Za Kawaida Anatafuta...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania JamiiForums naomba ile mada: Wanafurahia utekaji kuna siku watashindwa kuzibiti

    Kuna mada niliweka hapa kuhusu tabia hii ya mtindo wa ukamataji au kiufupi ni utekaji ambao ukijiambatanisha wasio julikana. Kwa haya wanayofurahia na mtindo wanaotumia nilisema kuna siku kutatumika kama person ndani ya jeshi asilimia kubwa na ndogo itakuwa kwa wananchi. Tusipo likemea na...
  3. Light Saber Imetosha Sasa

    JamiiForums Tanzania Ni Wakati Sasa JF Kuanzisha Mfumo wa Kuwalipa "Content Creators" Wetu. Huu Ndio Ukweli wa Kisheria na Kiuchumi.

    Wakuu salama, Mimi ni mwanachama wa muda mrefu hapa JamiiForums (JF). Leo nimekaa na kutafakari kwa kina sana kuhusu mchango wetu sisi watumiaji katika kuuendesha, kuukuza, na kuuongezea thamani mtandao huu unaopendwa zaidi nchini. Nimekuja na hoja moja ya msingi: Ni wakati sasa kwa uongozi wa...
  4. min -me

    JamiiForums Tanzania Bla-bla za Watanzania ndani ya JamiiForums

    Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga . Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
  5. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Jamiiforum ni mtandao mgumu sana kukua au kukukuza

    Mwaka jana nilitangaza nia ya kutangaza urais Tanzania na nilifocus sana jamiiforum ila baadae niligundua nilifanya makosa makubwa na kuamua kukaa kimya hii ni baada ya baadhi ya watu kuniambia kwanini uko kimya na majibu yangu ni kama ya ifuatayo:- Majority ya member hawako serious ni utani...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ninaiomba Serikali ifungue mtandao wa JamiiForums

    Kheri ya Mwaka Mpya! 1. Kwa heshima na taadhima. Ninapenda kuchukua nafasi hii. 2. Kuiomba serikali iufungulie mtandao wa Jamiiforum ili mambo mengine yaendelee. 3. Jamiiforum ni moja ya mambo ambayo serikali ya Tanzania inaweza kujivunia kwa wananchi wake. 4. Malumbano, mivutano na migogoro...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wana jamiiforum wenzagu kuna mic ambayo wakiitisha kutetea serikali mbovu inawekwa mjafahamu.

    Chunguzeni kuna mic ambazo ufahamu ni kituo gani wala chanzo chake. Na mic hizo utaziona zikiwa kwa wanao iongelea serikali hii ya kishenzi.
  8. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Tamko kuhusu JamiiForums kuendelea kuzuiliwa kupatikana nchini Tanzania

    TAARIFA KWA UMMA Mnamo Septemba 6, 2025, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilisitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums na kuzuia upatikanaji wa jukwaa kwa siku 90, kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta. Pamoja na kutambua athari kwa haki ya...
  9. Fbn

    JamiiForums Tanzania JamiiForums naomba kueleza ni kweli chuki ya utawala inaenezwa na mtawala mwenyewe

    Sio utani wala kupindisha Moderator kuna mda unataka kupindisha ila mtakumbuka haya maneno. Mtawala ndio analeta chuki ambayo sasa kaingiza kwenye udini kabisa akijua kitamuokoa. Mimi sipendi kuweka wazi ila wanayofanya kwenye ku promote huko kuna kitu sio kizuri. Sisi wa tanganyika wanataka...
  10. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania JamiiForums yarudi hewani

    Sasa bila ya VPN unaweza kuipata ndani ya Tanzania. Angalu sasa ile washa na kuzima VPN ilikuwa inakera, mara uwashe kuingia JF mara uzime kuacess mobile app na app za kibenki. Updates Naona mtandao umezuiliwa tena, mamlaka bado hazisomami.
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Sio Wikipedia tu, hata tovuti nyingi kubwa Samia hatambuliki kuwa ni Rais

    Nilitoa uzi kuhusu wikipedia kwa watu kama ni raisi utajua wasifu wake. Ila wikipedia inamtambua kipindi kafa magufuri kushika nafasi tu na chini wakaandika machafuko yote ila wadau wengine wakajitokeza kusema wikipedia unaweza kuandika hata wewe. Katika tovuti kubwa ukitafuta habari za...
  12. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Je, Desemba 6 JamiiForums yetu itafunguliwa?

    Nauliza tu kama huu mtandao wetu utafunguliwa. Maana Homa ya D9 ni kama inapanda as the time goes by.
  13. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kuingia Jamiiforum kwa VPN kuja kusapoti watu walio ipiga pini? Hizi sio akili zakawaida

    Naona humu kuna watu wanapambana kudownload VPN ili waingie Jf kusapoti na kupigia debe wale walio ipiga pini, yaani wandeleze uchawa wao hata kwa VPN. Hizi haziwezi kuwa akili zakawaida, yaani kwa normal akili ni jambo lisilo wezekana aisee.Kwamba mtu ananinyima uhuru wa kujieleza ila...
  14. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Usihangaike na VPN ingia JamiiForums na Twitter X kwa kutumia operamin ni bure kabisa bando lako tu

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Wambieni na wengine ambao hawajui Asanten sana LONDON BOY Tumsifu YESU KRISTO
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Jamiiforum inakuwaje hawa watu mnawapa sana position ya habari za propaganda zao toka CCM

    Naomba kuuliza zinazo wahusu hawa Tlaatlaah chiembe Lucas mwashamba ChoiceVariable OktobaTUNATIKI . MamaSamia2025 Kuna siku chiembe aliweka nyuuzi kuwa mdude kaachana na siasa. Baada ya watu kuwa lalamikia mkafuta. leo hii tlaatlaah analeta habari ambazo na mnaziweka kabisa kama ukweli...
  16. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Jamiiforum mjitafakari

    Yaani mpaka sasa hamuwezi kutoa updates za kura za maoni za wajumbe wa CCM? Nini shida Roving Journalist yupo kubwabwaja tu. Mjitafakari kwa kweli.
  17. K

    JamiiForums Tanzania Dennis Roberts Shughuru anairudisha jamiiforum ya zamani ambayo kulikuwa na mijadala yenye tija kwa nchi

    Miaka ya karibuni ni ukweli usiopingika JamiiForums ilianza kupoteza mvuto kwa watu kama sisi ambao tunapenda intellectual discussion tulikuwa tuna-miss sana hii mijadala Kuna wakati mijadala hii ya muhimu tulikuwa tunaifuata twitter huku ilikosekana mbaya zaidi unakutana na yakina machawa...
  18. aise

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimelala na mke wa mtu, roho inaniuma sana

    Habari zenu wakuu, niko kitandani hapa nikiwa na masikitiko makubwa sana kwa kulala na mke wa mwana JamiiForum mwenzangu. Huyu mwanamke nilikutana naye facebook, chanzo hasa mpaka cha kukutana facebook ilikuwa hivi, Baada ya kuona kuwa na mpenzi hapa mjini ni gharama sana, niliingia facebook...
  19. Marry Diana

    JamiiForums Tanzania Nimekumiss Wana wa jamiiforum

    Kwanza niwasalimie ,shikamooni Wadogo zangu,marhaba. Jamani ,nimewamiss Sana,Maria miye,nishaanza kuzoea huu mtandao, nilichogundua,huku ni wachache na ni rahisi watu kuchat kama familia, Namiss kuitwa mwanaume 😂 Khaaa yaani mtu hakujui,anakwambia huu mwandiko ni wa kiume ,duh huwa mnaniacha...
  20. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kwanini mimi Dennis Robert Shughuru post/threads/nyuzi zangu hazipati engagement kubwa hapa JamiiForums, yafuatayo ni majibu

    Kuna watu huku ni member wanaogopa kusema na kushare ambitious zao wanajua wakifanya hivyo watakutana na ukosoaji mkubwa sana matokeo yake tuna kizazi cha watu waoga kupita maelezo 👉👉nashukuru mimi nimeshavuka natamani na wengine wavuke Yafuatayo ñi majibu kifupi ila maelezo zaidi yapo kwenye...
Back
Top Bottom