IPO hivi Kuna Binti nkutana nae kwenye gari muda natoka job sasa the way alivo alinivutia sana mwamba sikusita nikaomba namba nikampanga freshi.
Kilicho nishangaza hakuonesha dalili za kutaka kukataa labda kama nilivozoea Yani tayari tumeshazoeana mpaka sasa anakuja mpaka getto kupika.
Mimi...
Hii tabia ya watoto wakike kunyonya mitura ya kiume, ikome mara moja.
Hata kama ni ustadi au utundu ila sio sawa aisee, yaani unakuta limamsup linakufosi muende ile style ya 69 kumbe nia yake akupekenyue.
Habari za muda huu waheshimiwa, Salam.
Kabla ya yote, nipende kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa maoni mtakayokwenda kuandika hapa, nami nitayachakata kwa uhalisia. Asante sana.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nina kiasi cha Tsh Milioni 30,000,000 ambacho kiko tayari kwa ajili ya...
USHAURI KWA WANAWAKE
• “Kama mwanaume hakutendei vizuri, mwingine atakutendea vizuri.”
• “Akikusaliti, si kosa lako hata kidogo.”
• Hivyo ndivyo mwanaume huonyesha upendo wake; amini zaidi matendo yake kuliko maneno yake.
• Wanaume wengi si waongeaji sana kuhusu hisia; huonyesha...
Pamoja na kuwa bado utakuwa na kibarua kigumu kuhusu yaliyotokea October 29th 2025, bado unaweza kuonesha remorse and a road to a fresh start kwa yaliyotokea 29th October 2025 kwa kumwachia Lisu as a good gesture to a road to truth, accountability and finally reconciliation.
Hao wanaokushauri...
Ushauri kwa dada mahusiano ni vita mwanaume msafi yupo kwenye vitabu vya kuandikwa ukiolewa na ndoa inayumba jiongeze mwanaume mchafu ukitaka aliyetukuka mtengeneze.
Ushauri kaka mahusiano sio hija wanawake wasafi wapo kwenye filamu za ukiigiza kwahiyo ndoa yako inapopindi jiongeze mwanamke...
Nashauri katika Yale majimbo yenye ushawishi mkubwa wa Upinzani, basi wabunge wa majimbo hayo waachie ngazi kwa kujiuzulu nafasi zao za ubunge uchaguzi ufanyike na upinzani ushinde.
Mfano: Jimbo la Arusha Mjini, Mbunge wa Sasa ajiuzulu halafu Uchaguzi ufanyike upya, LEMA achukue Jimbo. Basi...
Mimi ni mrefu almost 6.4 ft.
Miaka 27 Nina kilo 89.
Kuanzia kichwani mpaka kiunoni ni mwembamba wa kawaida
Ila kuanzia kiunoni mpaka kwenye mapaja ni mnene kabisa tusema Nina asili ya shape na hips nahisi ni genetics nime inherit,
Je ni aina Gani ya mazoezi au life style naweza kuishi au...
Kuna siku kazini tulikuwa na get together, basi tukatoka out Kama office to have dinner then later watu wakaextend wakaenda kwenye mziki, so what happened is my boss was there so nilishangaa tu kwenye my table vimeletwa vinywaji naambiwa ni offer kutoka kwa fulani ( my boss) nikasema okay though...
TANGAZO LA HUDUMA ZA USHAURI WA BIASHARA
Amicable Group Holdings Limited inatoa huduma za kitaalamu za Ushauri wa Biashara (Business Consultancy) kwa watu binafsi, vikundi, kampuni, taasisi na wafanyabiashara wanaohitaji kuanzisha, kukuza au kuboresha biashara zao.
Tunatoa huduma za:
✔️...
Habari za asubuhi JF members.
Nisiwachoche, niende moja kwa moja kwenye hoja.
November mwaka jana (2025), niliomba kazi Ajira Portal kwa mara yangu ya kwanza. Kazi niliyoomba ni REGISTRATION OFFICER II - NIDA.
Nilikuwa naisubiria anzia January mwaka huu hola hadi kufikia ijumaa iliyopita ndio...
Ukweli ni kwamba muda wa regime hii ovu kuanguka haupo mbali.viongozi au watu walioshiriki kufanya maovu hakika wataadhibiwa baada ya hii regime ovu kuanguka na muda huo umeshafika.
Regime mpya inayokuja nauhakika itawachukulia hatua watu wote walioshiriki kufanya maovu kama utekaji...
Haya ni maoni na ushauri wangu wa Bure kwa TRA, naomba niwaahauri waweze kuanzisha program Maalum ya Certified Tax Educator (CTE), hii inatokana na Kwamba kwa sasa Watanzania wengi hawana Elimu ya kutosha kuhusiana na masuala ya kodi.
Tukio halisi ni la hivi karibuni lililotokea Dar es Salaam...
Shukurani ziwafikie wote mnaosoma uzi huu.
Naomba niende kwenye mada, mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2025 katika Tahasusi ya PCM, kwa mwaka huu ninatamani ku-apply kusoma courses za Diploma.
Kuna machaguo mawili; kozi za Diploma za afya na kozi za Diploma za Uhandisi. Nipo katikati sijajua...
Nina uwezo wa kupenda wanawake wengi sana hata 500 kwa pamoja, na nikishampenda mwanamke yeyote, hakuna kitachofanya niache kumpenda.
Hii inaonekana nzuri lakini inaniletea tatizo moja, hata wanawake niliowahi kuwapenda nikiwa na miaka 9, licha ya kuootezana kwa muda mrefu bado nawapenda
Hata...
Wanabodi,
Kufuatia ziara ya jirani yetu mmoja, kwa jina la utani Kasongo, hivi karibuni nchini mwetu na kulihutubia Bunge letu, akatufungua macho kuhusu fursa za mtambo wa kusafisha mafuta ghafi, kwa ubia, na kueleza sisi ni dugu moja, tunapendana sana!. Je ni kweli sisi Africa Mashariki, je...
Wakuu ipo hivi 3 plain wanauza 250k used from Dubai hapo protector na cover free.
Lakini kuna pixel 3axl hii ni used Tanzania na jamaa ambae anauza alinunua kwa mtu ambae alikuwa anafanya top up
Kwa wale wa taalamu wa pixel be nichukue maamuzi Gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.