Vita vya Gaza ni mwendelezo wa vita dhidi ya Uislamu kwa mtindo mpya

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Katika historia ya dunia hakujawahi kuwepo utulivu .Ni vita tu kwa mitindo tofauti kulingana na muda.
Vita hivyo viko vya aina mbili.Vile vya kiuchumi na maslahi ya kidunia ambavyo hupiganwa na mashetani wawili wote wenye malengo ya kidunia.

Vita vya aina ya pili ni vya kidini ambavyo hupiganwa na wafuasi wa shetani kuwaweka mbali watu na Mungu na upande wa pili hupiganwa na wafuasi wa Mungu ambao huwa wana matarajio ya masiha mazuri baada ya kufa kwao.

Vita vya kidini daima vimekuwa baina wafuasi wa shetani dhidi ya waislamu ambao wanafuata Uislamu.
Historia inaanza mbali sana tangu dunia kuumbwa kwake.Historia ya karibu ni pale alipotumwa mtume Muhammad rehma na amani zimshukie.

Mtume Muhammad s.a.w alikuta dola za jirani za kifursi na roma pamoja na dola nyengine za kishirikina mbali na Makka na Madina.Dola zote hizo zilikwishaacha kufuata Uislamu na ikawa zinaendeshwa na shetani.Dola hizo hazikuacha kufanya uadui na dola ya kiislamu chini ya mtume huyo wa mwisho.

Vita vilivyoanzishwa na dola hizo havikuweza kuzuia ushindi wa waislamu.Uislamu ukafika Ulaya,nchi zote za Asia ikiwemo China,India na Urusi. Ilipoonekana kwa njia ya vita Uislamu haukushindikana,mfumo wa kufanya vita vya kiakili ukashika kasi na umeendelea kwa muda mrefu katikati yake pakaingia mchanganyiko wa vita vya kimaslahi ya dunia vikichanganywa na malengo ya dini kwa uongozi na fikra za kishetani.

Ukoloni kwa malengo ya kidunia ukaondoshwa hatua kwa hatua lakini vita vya kiakili kwa kutumia maendeleo ya kielimu ya kisasa bado havikusita.Katika vita hivyo waislamu wameshindwa pakubwa na kurudishwa nyuma wakibakiwa na maeneo madogo sana.

Upande wa vita vya kiakili dini za kikristo na nyenginezo zimefanikiwa kuwashinda waislamu kwa mbinu ya kuwatayarishia watawala watakaokuwa wakifanya kazi zilizo dhidi ya waislamu na kuwakandamiza waislamu wenye malengo ya kidini kwa maslahi ya akhera.

Mafanikio hayo yamekuwa makubwa kwa kuzishika nchi zote ambazo ni kitovu cha nguvu za waislsmu waliotawala kwa maongozi wa Mtume Muhammad s.a.w.Mbinu hiyo imechanganywa na kuzigombanisha nchi hizo na kuzifanya zisiwe na umoja wa aina yoyote ile. Kuna maeneo machache ambayo yamebaki katika maongozi hayo ambayo kwa kutumia vita vya kiakili wakristo na mayahudi wamekuwa wakishirikiana kuyamaliza kama wataweza.

Maeneo hayo ni kama vile Gaza ambako Israel akishirikiana na Marekani na Uiengereza wamekuwa wakipiga kwa nguvu na kwa silaha nzito sambamba na kuwalaza viongozi wa mataifa jirani kwa ulaghai tofaujti.
Ulaghai na diplomasia za ujanja na undumilakuwili umekuwa na mafanikio makubwa kwani viongozi wa nchi ziizo jirani ni wale waliotayarishwa kwa ajili ya muda kama huu.

Mfano wa mafanikio hayo ni kupigwa kwa eneo la Gaza na kuzuia chakula lakini nchi zote za kiislamu zimeshindwa kuzuia balaa hilo na hata kulaani kwa sauti ya juu.
Wakati huo huo Marekani inajitia huruma za mamba ikijifanya kujenga bandari ambayo irapeleleka chakula japo wana ratiba ya miezi miwili mbeleni .
Hatimae bandari hiyo itaondolewa kwenye kuwa ya muda na itapewa jukumu tofauti na hatimae kukamilisha malengo ya Israel ambaye ni mshirikia mkubwa wa Marekani na Uiengereza katika vita hivyo
Malengo mapana ya Israel kuimeza Gaza yote kama ilivyofanya kwa maeneo ya ukingo wa Magharibi yatakuwa yametimia.
Mataifa yaliyotarajiwa kuokoa janga hilo kwa vile hawajaweza kufanya muda huu mahitaji yake ni muda muafaka hawataweza kamwe kufanya jambo hilo baada ya kukamilika kwa malengo ya wapiganaji maadui wa Uislamu.
Kitakachobaki ni rehma za Allah subhanahu wa taala ambaye ana uwezo wa kubadili mwenyewe bila msaada wa yoyote muda huu kabla kufikia huko.
 
Dunia ifanyeje sasa hamas wakaichokoze israel wenyewe halafu israel ikijilinda dunia iwatetee wapalestina
Na Hamas nao wanajilinda kwa uchokozi wa Israel
Na hata dunia ikiwaacha mkono watapata utetezi wa uhakika zaidi.
 
Katika historia ya dunia hakujawahi kuwepo utulivu .Ni vita tu kwa mitindo tofauti kulingana na muda.
Vita hivyo viko vya aina mbili.Vile vya kiuchumi na maslahi ya kidunia ambavyo hupiganwa na mashetani wawili wote wenye malengo ya kidunia
Vita vya aina ya pili ni vya kidini ambavyo hupiganwa na wafuasi wa shetani kuwaweka mbali watu na Mungu na upande wa pili hupiganwa na wafuasi wa Mungu ambao huwa wana matarajio ya masiha mazuri baada ya kufa kwao.
Vita vya kidini daima vimekuwa baina wafuasi wa shetani dhidi ya waislamu ambao wanafuata Uislamu.
Historia inaanza mbali sana tangu dunia kuumbwa kwake.Historia ya karibu ni pale alipotumwa mtume Muhammad rehma na amani zimshukie.
Mtume Muhammad s.a.w alikuta dola za jirani za kifursi na roma pamoja na dola nyengine za kishirikina mbali na Makka na Madina.Dola zote hizo zilikwishaacha kufuata Uislamu na ikawa zinaendeshwa na shetani.Dola hizo hazikuacha kufanya uadui na dola ya kiislamu chini ya mtume huyo wa mwisho.
Vita vilivyoanzishwa na dola hizo havikuweza kuzuia ushindi wa waislamu.Uislamu ukafika Ulaya,nchi zote za Asia ikiwemo China,India na Urusi.
Ilipoonekana kwa njia ya vita Uislamu haukushindikana,mfumo wa kufanya vita vya kiakili ukashika kasi na umeendelea kwa muda mrefu katikati yake pakaingia mchanganyiko wa vita vya kimaslahi ya dunia vikichanganywa na malengo ya dini kwa uongozi na fikra za kishetani.
Ukoloni kwa malengo ya kidunia ukaondoshwa hatua kwa hatua lakini vita vya kiakili kwa kutumia maendeleo ya kielimu ya kisasa bado havikusika.Katika vita hivyo waislamu wameshindwa pakubwa na kurudishwa nyuma wakibakiwa na maeneo madogo sana.
Upande wa vita vya kiakili dini za kikristo na nyenginezo zimefanikiwa kuwashinda waislamu kwa mbinu ya kuwatayarishia watawala watakaokuwa wakifanya kazi zilizo dhidi ya waislamu na kuwakandamiza waislamu wenye malengo ya kidini kwa maslahi ya akhera.
Mafanikio hayo yamekuwa makubwa kwa kuzishika nchi zote ambazo ni kitovu cha nguvu za waislsmu waliotawala kwa muongozi wa Mtume Muhammad s.a.w.Mbinu hiyo imechanganywa na kuzigombanisha nchi hizo na kuzifanya zisiwe na umoja wa aina yoyote ile
Kuna maeneo machache ambayo yamebaki katika maongozi hayo ambayo kwa kutumia vita vya kiakili wakristo na mayahudi wamekuwa wakishirikiana kuyamaliza kama wataweza.
Maeneo hayo ni kama vile Gaza ambako Israel akishirikiana na Marekani na Uiengereza wamekuwa wakipiga kwa nguvu na kwa silaha nzito sambamba na kuwalaza viongozi wa mataifa jirani kwa ulaghai tofaujti.
Ulaghai na diplomasia za ujanja na undumilakuwili umekuwa na mafanikio makubwa kwani viongozi wa nchi hizo ni wale waliotayarishwa kwa ajili ya muda kama huu.
Mfano wa mafanikio hayo ni kupigwa kwa eneo la Gaza na kuzuia chakula wakati huo huo Marekani ikijifanya ina huruma kwa kujenga bandari ambayo hatimae haitokuwa ya muda bali itakuwa imesaidia malengo mapana ya Israel kuimeza Gaza yote kama ilivyofanya kwa maeneo ya ukingo wa Magharibi.
Hii dini ni hasara tupu
 
Ni kweli mkuu na Yeye akaanzisha Vita zilizoitwa Jihad, akivamia miji ambayo haikuwa na namna yote ya kujilinda, nakuua wote wa jinsia ya kiume. Na kuchukua Mateka ili kueneza Amanj

Lakini akafa baada ya kula mnofu wenye sumu kutoka kwa Myahudi Zainab alikuwa katoka kuua familia yake yote.

Dini ya amani
 
Katika historia ya dunia hakujawahi kuwepo utulivu .Ni vita tu kwa mitindo tofauti kulingana na muda.
Vita hivyo viko vya aina mbili.Vile vya kiuchumi na maslahi ya kidunia ambavyo hupiganwa na mashetani wawili wote wenye malengo ya kidunia.

Vita vya aina ya pili ni vya kidini ambavyo hupiganwa na wafuasi wa shetani kuwaweka mbali watu na Mungu na upande wa pili hupiganwa na wafuasi wa Mungu ambao huwa wana matarajio ya masiha mazuri baada ya kufa kwao.

Vita vya kidini daima vimekuwa baina wafuasi wa shetani dhidi ya waislamu ambao wanafuata Uislamu.
Historia inaanza mbali sana tangu dunia kuumbwa kwake.Historia ya karibu ni pale alipotumwa mtume Muhammad rehma na amani zimshukie.

Mtume Muhammad s.a.w alikuta dola za jirani za kifursi na roma pamoja na dola nyengine za kishirikina mbali na Makka na Madina.Dola zote hizo zilikwishaacha kufuata Uislamu na ikawa zinaendeshwa na shetani.Dola hizo hazikuacha kufanya uadui na dola ya kiislamu chini ya mtume huyo wa mwisho.

Vita vilivyoanzishwa na dola hizo havikuweza kuzuia ushindi wa waislamu.Uislamu ukafika Ulaya,nchi zote za Asia ikiwemo China,India na Urusi. Ilipoonekana kwa njia ya vita Uislamu haukushindikana,mfumo wa kufanya vita vya kiakili ukashika kasi na umeendelea kwa muda mrefu katikati yake pakaingia mchanganyiko wa vita vya kimaslahi ya dunia vikichanganywa na malengo ya dini kwa uongozi na fikra za kishetani.

Ukoloni kwa malengo ya kidunia ukaondoshwa hatua kwa hatua lakini vita vya kiakili kwa kutumia maendeleo ya kielimu ya kisasa bado havikusika.Katika vita hivyo waislamu wameshindwa pakubwa na kurudishwa nyuma wakibakiwa na maeneo madogo sana.

Upande wa vita vya kiakili dini za kikristo na nyenginezo zimefanikiwa kuwashinda waislamu kwa mbinu ya kuwatayarishia watawala watakaokuwa wakifanya kazi zilizo dhidi ya waislamu na kuwakandamiza waislamu wenye malengo ya kidini kwa maslahi ya akhera.

Mafanikio hayo yamekuwa makubwa kwa kuzishika nchi zote ambazo ni kitovu cha nguvu za waislsmu waliotawala kwa muongozi wa Mtume Muhammad s.a.w.Mbinu hiyo imechanganywa na kuzigombanisha nchi hizo na kuzifanya zisiwe na umoja wa aina yoyote ile. Kuna maeneo machache ambayo yamebaki katika maongozi hayo ambayo kwa kutumia vita vya kiakili wakristo na mayahudi wamekuwa wakishirikiana kuyamaliza kama wataweza.

Maeneo hayo ni kama vile Gaza ambako Israel akishirikiana na Marekani na Uiengereza wamekuwa wakipiga kwa nguvu na kwa silaha nzito sambamba na kuwalaza viongozi wa mataifa jirani kwa ulaghai tofaujti.
Ulaghai na diplomasia za ujanja na undumilakuwili umekuwa na mafanikio makubwa kwani viongozi wa nchi hizo ni wale waliotayarishwa kwa ajili ya muda kama huu.

Mfano wa mafanikio hayo ni kupigwa kwa eneo la Gaza na kuzuia chakula wakati huo huo Marekani ikijifanya ina huruma kwa kujenga bandari ambayo hatimae haitokuwa ya muda bali itakuwa imesaidia malengo mapana ya Israel kuimeza Gaza yote kama ilivyofanya kwa maeneo ya ukingo wa Magharibi.
Akili kisoda, umesahau kama nchi za kiislam zinamsaidia muisraeli kuvusha mizigo yake iliyokwama sababu ya wahauth
 
Na Hamas nao wanajilinda kwa uchokozi wa Israel
Na hata dunia ikiwaacha mkono watapata utetezi wa uhakika zaidi.
Kwanza unatakiwa utenganishe kati ya Wapalestina (wote) na Hamas (wachache). Ukweli ni kwamba kwa miaka kadhaa iliyopita ya hivi karibuni, Palestina ilikuwa na utulivu huku ikipata huduma muhimu za afya, elimu, umeme, maji na internet kutokea Israel. Wapalestina walienjoy na maisha yaliendelea.

Shida kubwa ni Hamas. Hawa jamaa hawakuwahi kuridhika. Hawakutaka kupima kati ya kichache wanachopata wao na ndugu zao Wapalestina, na kukosa kabisa. Kwa hiyo waliendelea na harakati zao za kutaka kuilazimisha Israel iingie nao kwenye mapigano. Labda walidhani watajitokeza washirika kuwasaidia. Lakini kwa sasa hakuna nchi yenye serikali katika jamii ya Kiarabu inayotaka kujiingfiza moja kwa moja katika kuisaidia Hamas. Kama ni Misri ndio kwanza wanajenga na ukuta kuzuia Wapalestina kuingia nchini kwao
 
Katika historia ya dunia hakujawahi kuwepo utulivu .Ni vita tu kwa mitindo tofauti kulingana na muda.
Vita hivyo viko vya aina mbili.Vile vya kiuchumi na maslahi ya kidunia ambavyo hupiganwa na mashetani wawili wote wenye malengo ya kidunia.

Vita vya aina ya pili ni vya kidini ambavyo hupiganwa na wafuasi wa shetani kuwaweka mbali watu na Mungu na upande wa pili hupiganwa na wafuasi wa Mungu ambao huwa wana matarajio ya masiha mazuri baada ya kufa kwao.

Vita vya kidini daima vimekuwa baina wafuasi wa shetani dhidi ya waislamu ambao wanafuata Uislamu.
Historia inaanza mbali sana tangu dunia kuumbwa kwake.Historia ya karibu ni pale alipotumwa mtume Muhammad rehma na amani zimshukie.

Mtume Muhammad s.a.w alikuta dola za jirani za kifursi na roma pamoja na dola nyengine za kishirikina mbali na Makka na Madina.Dola zote hizo zilikwishaacha kufuata Uislamu na ikawa zinaendeshwa na shetani.Dola hizo hazikuacha kufanya uadui na dola ya kiislamu chini ya mtume huyo wa mwisho.

Vita vilivyoanzishwa na dola hizo havikuweza kuzuia ushindi wa waislamu.Uislamu ukafika Ulaya,nchi zote za Asia ikiwemo China,India na Urusi. Ilipoonekana kwa njia ya vita Uislamu haukushindikana,mfumo wa kufanya vita vya kiakili ukashika kasi na umeendelea kwa muda mrefu katikati yake pakaingia mchanganyiko wa vita vya kimaslahi ya dunia vikichanganywa na malengo ya dini kwa uongozi na fikra za kishetani.

Ukoloni kwa malengo ya kidunia ukaondoshwa hatua kwa hatua lakini vita vya kiakili kwa kutumia maendeleo ya kielimu ya kisasa bado havikusika.Katika vita hivyo waislamu wameshindwa pakubwa na kurudishwa nyuma wakibakiwa na maeneo madogo sana.

Upande wa vita vya kiakili dini za kikristo na nyenginezo zimefanikiwa kuwashinda waislamu kwa mbinu ya kuwatayarishia watawala watakaokuwa wakifanya kazi zilizo dhidi ya waislamu na kuwakandamiza waislamu wenye malengo ya kidini kwa maslahi ya akhera.

Mafanikio hayo yamekuwa makubwa kwa kuzishika nchi zote ambazo ni kitovu cha nguvu za waislsmu waliotawala kwa muongozi wa Mtume Muhammad s.a.w.Mbinu hiyo imechanganywa na kuzigombanisha nchi hizo na kuzifanya zisiwe na umoja wa aina yoyote ile. Kuna maeneo machache ambayo yamebaki katika maongozi hayo ambayo kwa kutumia vita vya kiakili wakristo na mayahudi wamekuwa wakishirikiana kuyamaliza kama wataweza.

Maeneo hayo ni kama vile Gaza ambako Israel akishirikiana na Marekani na Uiengereza wamekuwa wakipiga kwa nguvu na kwa silaha nzito sambamba na kuwalaza viongozi wa mataifa jirani kwa ulaghai tofaujti.
Ulaghai na diplomasia za ujanja na undumilakuwili umekuwa na mafanikio makubwa kwani viongozi wa nchi hizo ni wale waliotayarishwa kwa ajili ya muda kama huu.

Mfano wa mafanikio hayo ni kupigwa kwa eneo la Gaza na kuzuia chakula wakati huo huo Marekani ikijifanya ina huruma kwa kujenga bandari ambayo hatimae haitokuwa ya muda bali itakuwa imesaidia malengo mapana ya Israel kuimeza Gaza yote kama ilivyofanya kwa maeneo ya ukingo wa Magharibi.
Kwaiyo uislam ni dola au dini?
 
Mhafidhina kakata tamaa kabisa anatia huruma mno.. utadhani mtu wa haki kumbe ni munafik... Anawapenda Hamas ila wamemdisapont mno.. same na wapalestina wanawalaani Hamas for bad results.. they thought Allah yupo hai.. how sanamu kubwa (Akbar)tokea lini na uhai... lita kuhelp vipi jamani...

Uislam ni uvamizi hapo Madina ni mji wa Wayahudi Mudy aliwaua na wengine aliwafukuza na walimkarisha kumhifadhi kipindi yupo kwenye harakati zake za kueneza ushetani..

uislam umeleta majanga tu kila ulipo... Vita aanzishe Hamas lawama wapate wasio waislam.. kaa na njaa ule usiku mzima ramadan yote.. Mtume wenu alikuwa anamla Aisha mchana wa Ramadan na akiwa kwenye hedhi, kwenye vitabu vyenu vya Hadithi vinasema Mohammad alikuwa ana bahashia Aisha siku za mfungo.. yaani Njemba ina Saum lakini lina genye
 
Ukisoma hili bandiko utagundua mambo yafuatayo;

1. Mwandishi ana upeo mdogo sana katika utafiti
2. Chuki za waziwazi dhidi ya ukristo na israel
3. Mwandishi hatetei hata huo uislamu wenyewe kwani huko sudan, yemen wanakufa waislamu ila hajikiti huko, yeye na israel tu.

Hii inapigia msumari kuwa dini hii yaweza kuwa sio mbaya ila njia zilizotumika kuieneza ikawa imefundisha watu roho mbaya na chuki.
 
Mhafidhina kakata tamaa kabisa anatia huruma mno.. utadhani mtu wa haki kumbe ni munafik... Anawapenda Hamas ila wamemdisapont mno.. same na wapalestina wanawalaani Hamas for bad results.. they thought Allah yupo hai.. how sanamu kubwa (Akbar)tokea lini na uhai... lita kuhelp vipi jamani...

Uislam ni uvamizi hapo Madina ni mji wa Wayahudi Mudy aliwaua na wengine aliwafukuza na walimkarisha kumhifadhi kipindi yupo kwenye harakati zake za kueneza ushetani..

uislam umeleta majanga tu kila ulipo... Vita aanzishe Hamas lawama wapate wasio waislam.. kaa na njaa ule usiku mzima ramadan yote.. Mtume wenu alikuwa anamla Aisha mchana wa Ramadan na akiwa kwenye hedhi, kwenye vitabu vyenu vya Hadithi vinasema Mohammad alikuwa ana bahashia Aisha siku za mfungo.. yaani Njemba ina Saum lakini lina genye
Hii mistari na siri hizi huwa hawapendi kuzisema, ukiuliza sana ya aisha utaambiwa mbona unamfuatilia sana, unahoji kuumizwa kwake kingono kwani dada yako yule?
 
Back
Top Bottom