Msiogope hizi Tahasusi za form 5 na 6, katika Uislamu, hakuna mgawanyo wa 'Elimu Dunia' na 'Elimu Akhera'

BAKIIF Islamic

JF-Expert Member
Jul 11, 2021
594
1,827
Mgawanyo wa Elimu usiokubalika katika uislamu (Usio sahihi)
-Katika uislamu, HAKUNA mgawanyo wa Elimu Dunia na Elimu Akhera
-Mgawanyo huu ni potofu wenye dhana ovu kua kuna maisha ya dini yanayoongozwa na Mwenyezi MUNGU na maisha ya Dunia yanayoongozwa na binadamu

Katika uislamu elimu maana yake ni
-Ujuzi unaoambatana na utendaji au
-Mabadiliko ya tabia yanayoambatana (yanayotokana) na ujuzi au
-Ujuzi unaomuwezesha mtu kufanya (kutenda) jambo kwa ufanisi au inavyotakikana.

Sifa za mtu aliyeelimika
-Aliyelemika ni yule mwenye ujuzi unaomwezesha kutenda (kufanya) jambo kwa ufanisi na inavyotakikana.
-Mjuzi wa Qur'an na Sunnah ni yule anayeendesha kila kipengele cha maisha yake ya binafsi na kijamii kwa mujibu wa Qur'an na Sunnah
-Watapofanana kimwenendo na kitabia wale wenye elimu na wasiokuwa na elimu, basi wenye elimu watakua hawajaelimika ila wamesoma tu.

Nafasi ya Elimu na mwenye elimu katika uislamu inaonekana maeneo yafuatayo
-Elimu ndio takrima ya kwanza aliyopewa mwanadamu na Mola wake kama nyenzo pekee itakayomwezesha kumjua Mola wake na kumuabudu vilivyo.
-Elimu ni amri ya kwanza kwa Mwanaadamu kuitafuta popote pale ilipo. Hata Mtume (s.a.w) alipewa amri ya kwanza ni kusoma.

Kwanini Elimu imepewa nafasi ya kwanza katika uislamu?
-Ndio nyenzo pekee inayomwezesha mwanaadamu kumtambua Mola wake na kuweza kumwabudu ipasavyo.
-Elimu iliyosomwa kwa Mrengo wa Qur'an na Sunnah ndiyo inayomwezesha muumini kua khalifah (Kiongozi)
-Kutafuta Elimu ni ibada maalumu yenye hadhi kubwa kuliko ibada zote mbele ya MUNGU
-Mwenye Elimu ndiye ana nafasi bora ya kumtambua na kumuabudu Mola wake ipasavyo kwa kila kipengele cha maisha yake.

Nini chanzo cha Elimu?
Chanzo cha Elimu na fani zote ni Mwenyezi MUNGU ambaye humwelimisha mwanadamu kupitia njia mbalimbali.

Mgawanyo sahihi wa Elimu katika uislamu
(a)Elimua ya Mwongozo:
Hii ni Elimu ya lazima ambayo kila mtu anapaswa kuisoma, haina uwakilishi: Mfano ibada za swala, funga, hita, zakat n.k
(b)Elimu ya mazingira:
Hii ni Elimu ya uwakilishi ambayo wakisoma wachache katika jamii inatosheleza lakini wasipopatikana wa kuwakilisha, jamii yote itawajibika: Mfano ni Udaktari, Uinjinia, Ualimu, Urubani n.k.

MAOMBI YETU KWA WATUNGA TAHASUSI
-Mgeongeza na masomo ya sheria za kiislamu ikiwemo FIQIHI, HADITHI (HISTORIA) NA ISLAMIC PHYLOSOPHY yawepo kama vipengele maalumu katika Tahasusi za Advnace, mfano:
'Fiqihi, Geography & English (FGE)
'Physics, Qur'an & Biology (PQB)
'History, Balagha, English (HBE)
'Economic, Sirah & Mathematics (ESM)

1711130411795.png
 
FUNDSHINANE HUKU MISIKITINI.HATUHITAJI UDINI
Inatakiwa yafundishwe shuleni moja kwa moja kwasababu hayo sio masomo ya kiroho pekee. Ni masomo ambayo yeyote anaweza akasoma, kama vile ambavyo kuna masomo ulisoma shule ya msingi lakini huyafanyii kazi ispokua yalikufungua jambo moja au jingine.
 
Mgawanyo wa Elimu usiokubalika katika uislamu (Usio sahihi)
-Katika uislamu, HAKUNA mgawanyo wa Elimu Dunia na Elimu Akhera
-Mgawanyo huu ni potofu wenye dhana ovu kua kuna maisha ya dini yanayoongozwa na Mwenyezi MUNGU na maisha ya Dunia yanayoongozwa na binadamu

Katika uislamu elimu maana yake ni
-Ujuzi unaoambatana na utendaji au
-Mabadiliko ya tabia yanayoambatana (yanayotokana) na ujuzi au
-Ujuzi unaomuwezesha mtu kufanya (kutenda) jambo kwa ufanisi au inavyotakikana.

Sifa za mtu aliyeelimika
-Aliyelemika ni yule mwenye ujuzi unaomwezesha kutenda (kufanya) jambo kwa ufanisi na inavyotakikana.
-Mjuzi wa Qur'an na Sunnah ni yule anayeendesha kila kipengele cha maisha yake ya binafsi na kijamii kwa mujibu wa Qur'an na Sunnah
-Watapofanana kimwenendo na kitabia wale wenye elimu na wasiokuwa na elimu, basi wenye elimu watakua hawajaelimika ila wamesoma tu.

Nafasi ya Elimu na mwenye elimu katika uislamu inaonekana maeneo yafuatayo
-Elimu ndio takrima ya kwanza aliyopewa mwanadamu na Mola wake kama nyenzo pekee itakayomwezesha kumjua Mola wake na kumuabudu vilivyo.
-Elimu ni amri ya kwanza kwa Mwanaadamu kuitafuta popote pale ilipo. Hata Mtume (s.a.w) alipewa amri ya kwanza ni kusoma.

Kwanini Elimu imepewa nafasi ya kwanza katika uislamu?
-Ndio nyenzo pekee inayomwezesha mwanaadamu kumtambua Mola wake na kuweza kumwabudu ipasavyo.
-Elimu iliyosomwa kwa Mrengo wa Qur'an na Sunnah ndiyo inayomwezesha muumini kua khalifah (Kiongozi)
-Kutafuta Elimu ni ibada maalumu yenye hadhi kubwa kuliko ibada zote mbele ya MUNGU
-Mwenye Elimu ndiye ana nafasi bora ya kumtambua na kumuabudu Mola wake ipasavyo kwa kila kipengele cha maisha yake.

Nini chanzo cha Elimu?
Chanzo cha Elimu na fani zote ni Mwenyezi MUNGU ambaye humwelimisha mwanadamu kupitia njia mbalimbali.

Mgawanyo sahihi wa Elimu katika uislamu
(a)Elimua ya Mwongozo:
Hii ni Elimu ya lazima ambayo kila mtu anapaswa kuisoma, haina uwakilishi: Mfano ibada za swala, funga, hita, zakat n.k
(b)Elimu ya mazingira:
Hii ni Elimu ya uwakilishi ambayo wakisoma wachache katika jamii inatosheleza lakini wasipopatikana wa kuwakilisha, jamii yote itawajibika: Mfano ni Udaktari, Uinjinia, Ualimu, Urubani n.k.

MAOMBI YETU KWA WATUNGA TAHASUSI
-Mgeongeza na masomo ya sheria za kiislamu ikiwemo FIQIHI, HADITHI (HISTORIA) NA ISLAMIC PHYLOSOPHY yawepo kama vipengele maalumu katika Tahasusi za Advnace, mfano:
'Fiqihi, Geography & English (FGE)
'Physics, Qur'an & Biology (PQB)
'History, Balagha, English (HBE)
'Economic, Sirah & Mathematics (ESM)

View attachment 2941972
Hivi kuna uhusiano gani kati ya Kanzu + Kibarakashia na Uislam?
 
Mgawanyo wa Elimu usiokubalika katika uislamu (Usio sahihi)
-Katika uislamu, HAKUNA mgawanyo wa Elimu Dunia na Elimu Akhera
-Mgawanyo huu ni potofu wenye dhana ovu kua kuna maisha ya dini yanayoongozwa na Mwenyezi MUNGU na maisha ya Dunia yanayoongozwa na binadamu

Katika uislamu elimu maana yake ni
-Ujuzi unaoambatana na utendaji au
-Mabadiliko ya tabia yanayoambatana (yanayotokana) na ujuzi au
-Ujuzi unaomuwezesha mtu kufanya (kutenda) jambo kwa ufanisi au inavyotakikana.

Sifa za mtu aliyeelimika
-Aliyelemika ni yule mwenye ujuzi unaomwezesha kutenda (kufanya) jambo kwa ufanisi na inavyotakikana.
-Mjuzi wa Qur'an na Sunnah ni yule anayeendesha kila kipengele cha maisha yake ya binafsi na kijamii kwa mujibu wa Qur'an na Sunnah
-Watapofanana kimwenendo na kitabia wale wenye elimu na wasiokuwa na elimu, basi wenye elimu watakua hawajaelimika ila wamesoma tu.

Nafasi ya Elimu na mwenye elimu katika uislamu inaonekana maeneo yafuatayo
-Elimu ndio takrima ya kwanza aliyopewa mwanadamu na Mola wake kama nyenzo pekee itakayomwezesha kumjua Mola wake na kumuabudu vilivyo.
-Elimu ni amri ya kwanza kwa Mwanaadamu kuitafuta popote pale ilipo. Hata Mtume (s.a.w) alipewa amri ya kwanza ni kusoma.

Kwanini Elimu imepewa nafasi ya kwanza katika uislamu?
-Ndio nyenzo pekee inayomwezesha mwanaadamu kumtambua Mola wake na kuweza kumwabudu ipasavyo.
-Elimu iliyosomwa kwa Mrengo wa Qur'an na Sunnah ndiyo inayomwezesha muumini kua khalifah (Kiongozi)
-Kutafuta Elimu ni ibada maalumu yenye hadhi kubwa kuliko ibada zote mbele ya MUNGU
-Mwenye Elimu ndiye ana nafasi bora ya kumtambua na kumuabudu Mola wake ipasavyo kwa kila kipengele cha maisha yake.

Nini chanzo cha Elimu?
Chanzo cha Elimu na fani zote ni Mwenyezi MUNGU ambaye humwelimisha mwanadamu kupitia njia mbalimbali.

Mgawanyo sahihi wa Elimu katika uislamu
(a)Elimua ya Mwongozo:
Hii ni Elimu ya lazima ambayo kila mtu anapaswa kuisoma, haina uwakilishi: Mfano ibada za swala, funga, hita, zakat n.k
(b)Elimu ya mazingira:
Hii ni Elimu ya uwakilishi ambayo wakisoma wachache katika jamii inatosheleza lakini wasipopatikana wa kuwakilisha, jamii yote itawajibika: Mfano ni Udaktari, Uinjinia, Ualimu, Urubani n.k.

MAOMBI YETU KWA WATUNGA TAHASUSI
-Mgeongeza na masomo ya sheria za kiislamu ikiwemo FIQIHI, HADITHI (HISTORIA) NA ISLAMIC PHYLOSOPHY yawepo kama vipengele maalumu katika Tahasusi za Advnace, mfano:
'Fiqihi, Geography & English (FGE)
'Physics, Qur'an & Biology (PQB)
'History, Balagha, English (HBE)
'Economic, Sirah & Mathematics (ESM)

View attachment 2941972
Sasa inakuwaje watoto wa Kiislam hapa Tanzania hawapendi kusoma, wao wanaona sifa kukariri Qur'an tu na kuchukia shule. Wasipopata kazi huko mbeleni wanaanza chukia wenzao waliosoma.
 
Hivi kuna uhusiano gani kati ya Kanzu + Kibarakashia na Uislam?
Hakuna uhusiano wowote, ispokua kanzu ni vazi la asili la uarabuni hivyo kwakua uislamu ulianzia uarabuni basi hatuna budi kufuata mila hizo. Nasio waislamu tu hata Mapadri na makasisi wanavaa kanzu na kofia.
 
Sasa inakuwaje watoto wa Kiislam hapa Tanzania hawapendi kusoma, wao wanaona sifa kukariri Qur'an tu na kuchukia shule. Wasipopata kazi tuko mbeleni wanaanza chukia wenzao walisoma.
Sio kweli bali historia inadonoa kwamba kulikua na ubadhirifu katika sekta ya elimu hususan kuwashusha kitaaluma waislamu.
 
Watu hawaelewi kuwa duniani Islamic Banking, Islamic Finance, Islamic Insurance ndio zinashika kasi.
 
Sioni tatizo lolote kufundishwa kwa masomo hayo, kwani yalikuwepo tangu zamani, julikuwa na Divinity/Bible knowledge na Islamic Knowledge hayo yamekuwapo tangu zamani sana. Wamefanya vizuri kuyaweka kwenye tahsusi.
 
Sioni tatizo lolote kufundishwa kwa masomo hayo, kwani yalikuwepo tangu zamani, julikuwa na Divinity/Bible knowledge na Islamic Knowledge hayo yamekuwapo tangu zamani sana. Wamefanya vizuri kuyaweka kwenye tahsusi.
Sahihi
 
Back
Top Bottom