Nchi zinazoongoza kwa kuamini ushirikina (uchawi) barani Afrika.
1. Cameroon
2. Tanzania.
DINI NI SABABU YA WATANZANIA KUAMINI SANA UCHAWI NA USHIRIKINA
Ukiamini dini za ukristo na uislamu ni lazima pia uamini na ushirikina maana imani hizo zinategemana.
Quran imeongelea ushirikina na ina sura kabisa ya majini.. ukiwa muislamu maana yake lazima uamini majini yapo na ni lazima uamini ushirikina na uchawi upo. ukigoma kuamini maana yake unabishana na Quran yenye Topic kabisa ya majini.
Mkristo na yeye biblia ina mistari mingi inayosema uchawi upo. hivyo ukigoma kuamini kwamba uchawi upo maana yake unabishana na biblia takatifu hivyo wewe sio Mkristo.
Ukweli mchungu Hakuna kirusi kitakachokuja kutengenezwa Duniani kiwe na madhara makubwa kwa nchi zetu za Africa kama dini za ukristo na uislamu
1. Cameroon
2. Tanzania.
DINI NI SABABU YA WATANZANIA KUAMINI SANA UCHAWI NA USHIRIKINA
Ukiamini dini za ukristo na uislamu ni lazima pia uamini na ushirikina maana imani hizo zinategemana.
Quran imeongelea ushirikina na ina sura kabisa ya majini.. ukiwa muislamu maana yake lazima uamini majini yapo na ni lazima uamini ushirikina na uchawi upo. ukigoma kuamini maana yake unabishana na Quran yenye Topic kabisa ya majini.
Mkristo na yeye biblia ina mistari mingi inayosema uchawi upo. hivyo ukigoma kuamini kwamba uchawi upo maana yake unabishana na biblia takatifu hivyo wewe sio Mkristo.
Ukweli mchungu Hakuna kirusi kitakachokuja kutengenezwa Duniani kiwe na madhara makubwa kwa nchi zetu za Africa kama dini za ukristo na uislamu