uislamu

  1. Mhaya

    Masheikh wote ni kama wanaona Maandamano ni dhidi ya Uislamu na si dhidi ya utawala mbovu

    https://www.instagram.com/reel/DRRCZIBgsNx/?igsh=MXZvNWQwdHFlbGRyZg== https://www.instagram.com/reel/DRRQh0SDDUj/?igsh=MTdvanF1dTN1YWQ1aQ== ALLY KIBAO alikuwa Muislamu, lakini leo hawa waandamanaji ndio wanaotaka huu utekaji uishe, polisi wawajibishwe au watekaji wapatikane. Lakini hata...
  2. Zee la madawa

    Hawa wajinga wanaukosea sana uislamu, wanataka tuonekane wote ni wajinga

    Je! Baada ya kuua maelfu ya Watanzania, Wauaji wanacheza karata ya udini kwa kuwatumia wapumbavu wanaojiita Waislamu? Je! Baada ya kutengeneza utawala wa kuteka, kutesa, kupoteza na kuua wakosoaji wa CCM, sasa wanaongeza na kueneza chuki za kidini? Uislamu ni dini ya HAKI. Uislamu ni dini ya...
  3. Hance Mtanashati

    Uislamu hautaki mtu dhaifu. Nipo tayari kuungana na wananchi wenzangu

    Mimi ni muislamu. Uislamu hautaki mtu dhaifu Pia ni mwanaume , najivunia kwa hilo. Nipo tayari kuungana na wananchi wenzangu. Tusiangushane. Hatuna muda mwingine zaidi ya huu. Tukipoteza hii nafasi hatutoipata tenaaaaaa.
  4. Chizi Maarifa

    Ubayd Allah aliacha Uislamu na kuwa Mkristo. Alipokufa tu Muhamad akaenda mwoa mke wa Marehem

    Ubayd Allāh ibn Jahsh (عبيد الله بن جحش), ambaye alikuwa binamu wa Mtume Muhammad ﷺ. Nitasimulia kwa ufupi historia yake halisi kama inavyopatikana katika vyanzo vya mapema vya Kiislamu Jina kamili: ʿUbayd Allāh ibn Jahsh ibn Riʾāb al-Asadī Alikuwa ndugu yake Zaynab bint Jahsh, ambaye baadaye...
  5. MK254

    Sheikh kule Iran ahuzunika kwa namna wananchi wa Iran wanauacha uislamu na misikiti 50,000 imefungwa

    Raia wa Iran wanajitoa muhanga maana kuuaga uislamu unapaswa uchinjwe kabisa, hili hapa andiko lao 'Whoever changed his Islamic religion, then kill him.'" Sahih al-Bukhari 6922 Taratibu wananchi wa Iran wanakombolewa kutoka kwenye uzombi wa kidini, ifahamike wale ni Waajemi, na kihistoria...
  6. ELI COHEN

    Kituu pekee cha kukikomboa kutoka palestina na pawe huru ni hamas, muslim brotherhood, IRGC na uislamu wa itikadi ya msimamo mkali.

    Wala gaza sio wahanga wa uyahudi. Wala gaza sio wahanga wa u-magharibi. Bali gaza ni wahanga wa kufanyika midoli ya jihadi uchwala. Masikini kwa bahati mbaya hawatakaa hawaelewe kwa maana tangu utotoni wamefundishwa kumchukia mbwa wa jirani wakati wa nyumbani kwake ndio anakula kuku wake.
  7. MK254

    Kama Uislamu ulibuniwa kurekebisha Ukristo, mbona Quran ije na mikanganyiko zaidi

    Hapa Quran 67.5 nimesoma eti shetani hushambuliwa kwa kurushiwa mizinga ya nyota, hii ina maana gani, au zile huwa tunaona kama shooting stars ndio hiyo mizinga dhidi ya shetani. Kwa walio bahatika hata ilmu ya msingi tu, wanajua nini maana ya shooting stars, au pia ilivyo ujuha kusema nyota...
  8. U

    Ukweli unaowaumiza Wakiristo wengi duniani ni kujua kuwa Uislamu ulikuwepo mwanzoni kabisa na Muislamu wa kwanza alikuwa Nabii Adam na mkewe Hawa

    Usije na kejeli bali hoja zenye ushahidi
  9. Busu la Kenge

    Uislamu wa madhehebu ya Shia unaenea Kwa Kasi ya ajabu Sana

    Zamani nchini kwetu Tanzania Uislamu wa Shia ama ushia ulikuwa ukitambulika kama ni wa waumini kutoka Asia pekee. Ila miaka ya Karibuni Kuna ongezeko kubwa Sana Kwa watanzania asilia kujiunga Katika madhehebu tukufu ya Shia. Nigeria inaongoza Kwa mashia Sub Sahara. Tafiti za kweli na...
  10. GENTAMYCINE

    Huu ukweli mtupu ungesemwa nasi Wakristo tungeambiwa hatuwapendi, nashukuru Mungu kausema Mwenzao anayejua vyema Uislamu

    Kudadadeki.....
  11. M

    Kazi ya jaji ni ngumu kwa mujibu wa uislamu

    Mtume (SAW) alisema: (Hadith - Abu Dawud na Ibn Majah)
  12. Kusini pride

    Mchungaji IPm: uislamu umebarikiwa

    Mchungaji IPm amesema;
  13. R

    Madaraka haya madaraka! Sasa hapa ni imani gani? Uislamu - Ukristo? Kisa Ikulu!

    AMEN, BWANA ASIFIWE
  14. Yoda

    Mitume na manabii ni watu wa aina gani katika Uislamu?

    Kwenye ukristo na katika Uyahudi huko agano la kalii nabii alichukuliwa kama ni mtu muonaji/seer wa mambo ya yajayo mbeleni, pia katika agano la kale na Uyahudi hakuna mtume au mitume. Katika agano jipya ndio kumekuwepo na cheo cha mtume(apostle) ambapo kinahusu wale wafuasi 12 waliokuwa...
  15. Abtali Mwerevu

    Utafiti Mpya: Uislamu Unakua kwa Kasi Ukristo Unapungua

    Utafiti umefanywa na kituo cha utafiti cha Pew. https://youtu.be/BW2vSfYCpH8?si=n9QBPY-e4wkvzRtY Idadi ya waislamu imeongezeka kwa wafuasi milioni 347, ikizishinda dini nyingine zote kwa pamoja. Ukuaji wa uislamu umepanda kwa 25.6%. Sasa kuna wakristo bilioni 2.3 na waislamu bilioni 2. Zaidi...
  16. adriz

    Uislamu hauruhusu mambo haya dhidi ya Mtawala: Kumkosoa hadharani, kumdhalilisha, kufanya maandamano na kutoka dhidi yake

    Moja kwa moja.. Sababu ya kuandika huu uzi ni kutokana na baadhi ya fikra za Wabongo wanona kutokana na mapungufu ya serikali bora tukiwashe na kukinikisha wengine wakienda mbali wanasema damu zikimwagika ndio tutaheshimiana. Nawaambia ndugu zangu Amani ni jambo muhimu sana bila kujali mambo...
  17. technically

    Adui yetu sio ni CCM sio Uislamu

    Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda. Na Magufuli mpaka akampa ubunge!! Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza Sasa kwa sababu Samia ni muislamu Hawa naweza waita wajinga Gwajima hajawai kunyamazia uhuni wa CCM...
  18. Tauceti Rigel

    Waarabu Hawajawahi Kujali Haki za Watoto: Kinachoendelea Zanzibar na Kesi la Ulawiti ni Dalili Za Mwanzo za Unyama unaofanyika Nchi za Kiarabu

    Na Tauceti Rigel Ni lini jamii itaamka kutoka usingizi wa kina, na kukubali kuwa baadhi ya tamaduni zinazofichwa nyuma ya pazia la dini ni vazi la unyama wa wazi? Swali hili linapaswa kutusumbua sisi sote, hasa wakati huu ambapo Zanzibar inatikiswa na kesi za ulawiti wa watoto huku wengi...
  19. Yoda

    Uislamu unaruhusu kuombea dua mbaya watu mliotofautiana mawazo , misimamo au mnaoshindania maslahi ?

    Siku za hivi karibuni nimesikia Masheikh mbalimbali na waumini wa kawaida wakiomba dua mbaya dhidi ya watu walio kinyume nao katika upande wa msimamo wa siasa. Ningependa kufahamu kama haya ni katika mambo yenye kuruhusiwa katika dini au ni Bid'ah.
  20. Trainee

    Wale mabingwa wa kutukana waislamu na uislamu naomba mkuje pande hii mnisaidie jambo hili

    Kuna watu humu wanawatusi sana waislamu na uislamu wao. Wanawashutumu mambo mazito mazito. Sasa mimi naomba tufanye hivi... Madrasa tunazijua vizuri mitaani na wengine tunazifikia mpaka kuweza kujua hata mafundisho yatolewayo humo. Misikiti kadhalika ni hivyo hivyo Naomba hao watu, kwa moyo...
Back
Top Bottom