awamu ya 6

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    JamiiForums Tanzania Reuben Kwagilwa Naibu Waziri(Muungano na Mazingira) ajue hii serikali ya awamu ya 6 si ya calibre yake, hii ni serikali ya wazembe, wavivu, waswahili

    Juzi waziri wa Muungano na Mazingira Hamad Masauni(Mzanzibari) alimkemea na, kumdogosha na kumdunisha naibu wake Reuben Kwagilwa kuwa "ziara za naibu waziri zisiwe za kufunga viwanda". Aliamua kumdhalilisha hadharani hata hakutaka kusubiri vikao vya ndani, kwanza nafikiri aliona anamfunika...
  2. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Awamu ya 6 na Jiji la Dar - barabara kwishney!

    Kwa sasa hivi Jiji la Dar halina mwenyewe. Awamu ya 6 iko Dodoma, Dar itajiju. Katikati ya Jiji kuna mahandaki kama tuko Bulyanhulu machimboni. Mama anatoa Fedha lakini sijui zinaliwa na nani?
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Inayojiita serikali halali ya awamu ya 6 bado mnaendelea na usanifu wa ujenzi wa njia sita kutoka Maili moja hadi Chalinze?

    Hii barabara inakero kubwa na sugu sana ambayo ni foleni isiyoelezeka. Na hii inatokana na udogo wa barabara kwa sababu inapitia magari mengi sana ikiwemo magari makubwa ya mizigo.. Jumamosi nilikuwa safari kuelekea Lugoba, yani nilifika saa 6 usiku, wakati mbezi nimetoka saa 2 kasoro usiku...
  4. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Chawa Philosopy: Serikali Awamu ya 6 inaweza kutoa tamko la kupiga marufuku kuwashangilia au kuwaenzi wastaafu wenye utumishi uliotukuka!

    Siyo siri, serikali ya Awamu ya 6 ina matatizo ya kukubalika na jamii. Sitaingia katika sababu za kufikia hapo. Lakini wakati wa msiba wa baba Yetu Cardinali Pengo, imejidhihirisha wazi kuwa watu wanajua viongozi wanao wapenda. Kwa kushangiliwa kwa upendo na bashasha kubwa Mpango, Makamu wa...
  5. U

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ametangazwa mshindi? NDIYO. Ameapishwa kuwa Rais wa muhula wa II awamu ya 6? NDIYO. Lakini hatatawala!!.. Ndo tu vita kati yake na GenZ imeanza!!

    1. Mpaka sasa ndugu zetu wameuwa, watoto na rafiki zetu, vijana wetu wa kike na kiume zaidi 3,000. NDIYO zaidi ya ELFU TATU PLUS. 2. Si amejitangaza kuwa mshindi kwa kura feki za namba za kubumba? Jibu ni NDIYO kajitangaza 3. Si wamejikusanya huko uchochoroni Dodoma na kujiapisha na kujipa...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Awamu Hii Kuna Mambo Mengi Ya Kijinga. Kila Kitu Kinatajwa Kwa Jina la Mtu

    Mara nyingi kadiri siku zinavyosonga mbele inatarajiwa werevu uongezeke lakini kwa Tanzania ni kinyume chake. Badala ya nchi kuzalisha wataalam inazalisha machawa wajinga. Hawa kila siku wanawaza na kubuni ujinga na uovu. 1. Fikiria, wakati nchi nyingi zinazidi kuimarisha mifumo yao ya haki...
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Tuassume ni Awamu ya 6, amalizie Awamu ya Pili, Je Awamu ya Kwanza alichukua Fomu ya Urais? Alifanyiwa Vetting ya Urais?.Alipitia Mchakato wa Katiba?

    SAMIA ASIRUHUSIWE KABISA KUGOMBEA URAIS NA KAMA ANALAZIMISHA, MCHAKATO WA KIKATIBA UANZE WOTE UPYA. Awamu ,Awamu inapatikanaje ? Kwa wa Katiba Awamu inapatikana kupitia UCHAGUZI MKUU, Kwa Kiongozi kupigiwa Kura !!. Kiongozi gani anayepigiwa kura uchaguzi kuwania Urais?? Ni yule ambaye...
  8. Blender

    JamiiForums Tanzania Mtaje waziri aliyekosekana kwenye Picha ya pamoja na mawaziri mara baada ya Kikao cha mwisho cha baraza la mawaziri cha Serikali ya Awamu ya 6

    Mtaje waziri aliyekosekana kwenye picha ya pamoja na mawaziri mara baada ya Kikao cha mwisho cha baraza la mawaziri cha Serikali ya Awamu ya Sita kilichofanyika Ikulu,Chamwino, mkoani Dodoma tarehe 14 Julai, 2025. ukiweza Taja na sababu ya kutokuwepo kwake ?
  9. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Awamu ya 6 ni awamu ya 5 Kiuchumi na Kasi ya Utekelezaji Miradi

    == Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akiwa katika mahojiano na kituo maarufu zaidi cha utangazaji cha ITV kwenye kipindi cha DK 45 amesema haya, Pamoja na mambo mengine mengi Kafulila anasema kama Kuna kitu Rais Samia anaweza kujivunia ni...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Nimefanya tathmini ya gharama halisi ya miradi yote tangu awamu ya 6 iingie madarakani ni 8.7 tilioni tu

    Nimefanya tathimini ya miradi yote iliyofanywa na serikali ya awamu ya 6 nikapata gharama halisi ni 8.7 Tilioni. Hii inajumuisha miradi yote iliyosajiliwa chini ya tume ya mipango kwa wastani wa miradi 1300 inayojengwa kote nchini ikiwemo ile ya ufadhili na ubia. Jumla ya deni la taifa ambalo...
  11. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania TRA yavunja rekodi ya makusanyo miaka 4 ya serikali ya awamu ya 6

    TRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO MIAKA 4 YA SERIKALI YA AWAMU YA 6 Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 12.03.2025 amewasilisha mafanikio ya TRA kwa kipindi cha miaka 4 ya Serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe...
  12. 5

    JamiiForums Tanzania Nini sababu ya msongamano wa watu hapa Busisi/Kamanga serikali ya awamu ya 6?

    Kuna kitu mie kinanitatiza sana jamani hivi kwenye utawala wa magufuli iwe ni Busisi au Kamanga, kwa kupitia vivuko hivi hivi tunavyoambiwa havitoshi sasa hivi mbona tulikuwa hatukalishwi kiasi hiki hapa kivukoni jamani, au ni mie tu naona hii shida? Maana sidhani kama tatizo ni wingi wa vivuko...
  13. chiembe

    JamiiForums Tanzania Kwa madhila ya awamu ya 5 yanayosemwa na Erick Kabendera, anayebeza maridhiano ya awamu ya 6 alaaniwe na kila mtu mwenye nia njema

    Kwa niliyosikia akisema Erick Kabendera, halafu unasikia mtu anabeza maridhiano na kuyaita upuuzi. Taifa lote tusimame na kumpuuza kwa nguvu zote. Kama nchi, tumepiga hatua kubwa kutoka katika hali ile. Tuwapongeze Mama Samia na Mbowe.
  14. F

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha kukamatwa viongozi WACHADEMA kwa kutaka kuandamana kwa amani kimeleta taswira ambayo si nzuri serikali ya Awamu ya Sita

    Kiongozi wa CHADEMA Freeman Mbowe ameonekana kwenye video akikamatwa wakati anaongea na waandishi wa habari. Hapo ni kabla ya kufanya maandamano ambayo hata kama angeyafanya katiba ya Jamhuri ya Muungano haimkatazi. Mheshimiwa Mbowe amekamatwa pamoja na viongozi wengine wa CHADEMA akiwepo mkamu...
  15. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Mnaomponda Magufuli na kumsifia Rais Samia hamjielewi! Magufuli na Rais Samia ni Magufuli yuleyule?

    Aliyemuweka SSH madarakani nani kama sio Magufuli? Magu aliona mbali akamuweka mtu ambaye ataendeleza legacy yake. Ni mradi hupi aliouanzisha Magu umesimama? Miradi mingi imekamilishwa na mingine bado inaendelea kukamilishwa! Akili kubwa ya Magufuli itaendelea kuendeleza taifa hili vizazi...
  16. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Profesa Mkenda aapa kutotoa vibali vya kuagiza sukari

    Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda amesema yuko tayari kuachia ngazi nafasi ya uwaziri kuliko kutoa kibali kwa wafanyabiashara cha kuagiza sukari kutoka nje ya nchi. Profesa Mkenda amesema hayo leo Agosti 30 jijini Dodoma wakati akizindua ripoti ya sensa ya kilimo, mifugo na uvuvi ya mwaka...
  17. Vichekesho

    JamiiForums Tanzania Waliotekwa, kuteswa na kupotea awamu ya 6 ni wengi kuliko awamu zote

    Jana iliwekwa orodha ya watu zaidi ya 40 ambao hawajulikani walipo (wametoweka) na wala mabaki ya miili yao hayapo. Je, ni nani yuko nyuma ya matukio haya? Je, ni jeshi la polisi au tunawasingizia tu? Je ni wahalifu? Ikiwa ni wahalifu je wanauwezo wa namna gani? Nadhani vyombo vya ulinzi vina...
  18. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Awamu ya 6 Tuna Bunge la Ajabu linalodharau elimu na hadhi za Msoto na zenye thamani kwa Taifa hasa hadhi ya Maprofesa wa chuo cha SUA

    Shalom, Ifahamike kuwa ndani ya Bunge la Tanzania kuna wabunge wa Hovyo Sana ambao elimu za za darasa saba, na form 4 za hovyo tu. Hawa wabunge kinara wao ni yule Mbunge mpumbavu ambae amenunua hadhi ya kitaaluma ambayo hana akijiita Dr.Musukuma huyu kiumbe ni mpumbavu sana na katika mazingira...
  19. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Kadogosa: Asilimia 70 ya Ujenzi wa SGR umefanywa na awamu ya 6

    Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan. Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣 My take: Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge...
  20. 5 Nyingi

    JamiiForums Tanzania Ashatu Kijaji: Waziri Mwongo anaye endelea kubebwa na Serikali ya awamu ya 6

    Huyu mheshimiwa Ashatu Kijaji sijui anatuonaje. Huyu ndiye aliye ahidi kutoa taarifa ndani ya siku 7 kuhusu sakata la jezi feki zilizo kamatwa. Mpaka leo hajatoa taarifa na amekaa kimya kama vile hakuna kilicho tokea. Huyu aliwahi kuahidi kushughulikia mfumuko wa bei ya bidhaa za ujenzi ndani...
Back
Top Bottom