Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Mpaka sasa hatuna cha kukosoa Serikali ya Awamu ya 6. Ndio maana ukija kwenye mikutano yetu tunaizungumzia zaidi serikali ya awamu ya 5 ambayo haipo.
Hata kwenye Kampeni 2025 tutaiponda tutakuwa tunashindana na Serikali ya Awamu ya 5 ambayo haipo kuliko ya Awamu ya 6 ambayo ipo. Sababu ya Awamu ya 6 haina tatizo nasi. Tunaenda nayo vizuri tu. So why tupambane nayo? Si sawa wajameni.
Tukiwa kwenye mijadala ya kisiasa asilimia 80 ya lawama na mijadala ni Magufuli hivi, Magufuli Vile. He is no longer breathing. He is no longer in action. Well, alitukosea na kutukosesha mambo kadhaa wa kadhaa.
Lakini kwa serikali hii mimi sioni makosa yake kwetu. Maana tumekuwa included kwenye mgawanyo. So kelele tena zitoke wapi jamani? Tuwe na shukrani kwa hiki tunachopata. Tukumbuke kwa Magufuli hatukupata kitu kabisa.
Hata kwenye Kampeni 2025 tutaiponda tutakuwa tunashindana na Serikali ya Awamu ya 5 ambayo haipo kuliko ya Awamu ya 6 ambayo ipo. Sababu ya Awamu ya 6 haina tatizo nasi. Tunaenda nayo vizuri tu. So why tupambane nayo? Si sawa wajameni.
Tukiwa kwenye mijadala ya kisiasa asilimia 80 ya lawama na mijadala ni Magufuli hivi, Magufuli Vile. He is no longer breathing. He is no longer in action. Well, alitukosea na kutukosesha mambo kadhaa wa kadhaa.
Lakini kwa serikali hii mimi sioni makosa yake kwetu. Maana tumekuwa included kwenye mgawanyo. So kelele tena zitoke wapi jamani? Tuwe na shukrani kwa hiki tunachopata. Tukumbuke kwa Magufuli hatukupata kitu kabisa.