igp

IGP is an online retailer of personalised, floral, gourmet and handmade gifting products. The company is headquartered in Mumbai, India and has offices in India, Singapore and the United States.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Tutarajie nini endapo CDF, IGP na DCI watafika Mahakamani?

    Kwanza, nianze kwa kusema kwamba nimekuwa nikifuatilia kwa karibu kesi hiyo tangu siku ya kwanza Tundu Lissu alipofikishwa katika Mahakama ya Kisutu hadi sasa, ambapo kesi hiyo inaendelea kusikilizwa katika Mahakama Kuu, huku mshtakiwa akiwa amekaa rumande kwa zaidi ya siku 400. Katika kipindi...
  2. Bramo

    JamiiForums Tanzania Lissu Kuwaita IGP, DCI na CDF kwenyeUtetezi Ni Mbinu au Mtego?

    Wakuu JF amani iwe nanyi, Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kumkuta Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, na kesi ya kujibu kwenye mashtaka ya uhaini, mjadala mkubwa umehamia kwenye orodha ya mashahidi wa utetezi. Katika uamuzi wake kuhusu maombi ya utetezi, Mahakama Kuu imeridhia waitwe viongozi...
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Bwana CDF, IGP , DCI, hakikisheni mnapinga kwa nguvu zen LISSU kufungwa , Ninawahakikishia, Endapo Lissu akifungwa, Moto wa ICC hautawaacha Salama

    Hata kama hamna Akili ya kutafakari, Embu Jiulizeni tu, kwann Serikali ya Samia, imehakikisha inawachomeka nyinyi kwenye KESI hii kama Mashahidi mloitwa na LISSU ?. Kwa tafasiri ya Kawaida, Mmeunganishwa Moja kwa Moja na Matukio ya Mauaji ya Oktoba 29 2025. Mara zote nmewaambia...
  4. G Sam

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    Boksi la Pandora kuhusu mauaji ya October 29 limeanza kufunguliwa leo. Hili boksi lina mambo mengi machafu. Lissu kuanza kulifungua kupitia ushahidi wa Heche ana makusudi makubwa sana. Imagine IGP anaulizwa ieleze mahakama October 29 nini kilitokea? Imagine aulizwe nani alitoa amri ya watu...
  5. bullbar

    JamiiForums Tanzania Hili la DCI, CDF na IGP aibu utaona wewe..🤣🤣

    Ikumbukwe hao wote ni makada na watu wa kupokea maagizo tuu na maelekezo. Wengi wao wamepachikwa kwa utashi na shukrani kutoka namba moja pale kwenye wingi wa gogo, na watu ambao kumbukumbu zimeshaanza kuwaacha, sasa msije shangaa mtu anatoa siri za aliye mtuma. Kiuhalisia wote wanaujua uwezo...
  6. Troll JF

    JamiiForums Tanzania If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

    Court imeshatoa Summons kwa hao miamba vipi wasipotokea??? Mahakama ita issue warrant of arrest? Vitu vingine vinafikirisha sana.
  7. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Ikiwa CDF, IGP NA CDI watasema walifuata amri: Swali ni amri ilitolewa na nani?

    IKIWA CDF, IGP NA CDI WATASEMA WALIFUATA AMRI: SWALI NI JE: AMRI HIYO ILITOLEWA NA NANI? Hapa ndipo tunapaswa kutumia critical thinking, si hisia. Kama CDF, IGP na CDI watatoa ushahidi kwamba walichofanya kilitokana na amri au maelekezo ya mamlaka ya juu, basi chanzo, maudhui na mlolongo wa...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Je, Lissu anaweza kumuuliza IGP kuhusu ni wapi walzika miili ya watu waliouwawa kwenye mauji ya October 29?

    Hili ni moja ya swali ninalotamani Lissu amuulize IGP. Je, wewe unasemaje au unatamano aulize swali gani? Tukumbuke ripoti ya Jaji Chande ilikuja na idadi ya watu zaidi ya 500 waliouwawa katika mauaji ya Oktoba 29, 2025.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tafakuru: Mbona Mahakama mwishoni imewaita CDF, IGP na DPP kwa vyeo vyao kwenda kutoa ushahidi na si kwa majina na vyeo vyao kama mwanzoni?

    Wakati Jaji Nduguru anatoa uamuzi wa mahakama kuhusu kuwaita mahakamani mashahidi wa utetezi, aliwataja IGP, CDF na DPP kwa majina na vyeo vyao. Swali ni kwanini wakati anasoma maamuzi yao hao mashahidi kupekewa wito wa kufika mahakama aliwataja kwa vyeo tu bila kutaja majina yao kama wakati...
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CDF ,IGP, DPP jiandaeni kujibu Aliyeua Watanganyika Oktoba 29 2025 ni nani? Na Nani aliwapa Order ya Kuua Watanganyika Oktoba 29!

    Ya Oktoba 29 2025, Mtayajibu tu!!. Kama Lissu kayauliza kwa Mashahidi wa Jamhuri , kayagusia kwa Mashahidi wa Utetezi!!. Jiandaeni kutujibu Watanganyika, Ni nani aliwaua Watanganyika wenzetu Oktoba 29!!.
  11. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Kwakuwa Samia, Mpango na Majaliwa mahakama imeweka uzio juu yao bas Lissu awakatae pia CDF na IGP

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kwa kuwa mahakama imepiga chenga ya mwili juu ushahidi wa Samia, Mpango na Majaliwa basi na Tundu Lissu naye apige chenga ya mwili juu ushahidi wa mkunda na wambura Asante Sana Nina maana kubwa sana kusema hivyo SAYUNI BOY
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Kwenye hii kesi kama CDF na IGP watakubaliwa na serikali kwenda mahakamani kuwa mashahidi basi hukumu itakuwa tayari imeshaamiluwa tayari kwamba Lissu apewe adhabu ya kunyongwa au kifungo cha maisha. Ila hatanyongwa akihukumiwa hivyo (na pia hata akipewa kifungo cha maisha), atapewa msamaha wa...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Baada ya jana Septemba 9, 2026 Makamu Mwenyeekiti wa CHADEMA Bara, Joun Heche kupanda Kizimbani na kuanza kutoa ushahidi wake katika Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyeekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu na leo tena anaendelea. Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Septemba...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mahakama iliamua nini kuhusu mashahidi wa utetezi aliotaka Lissu wafike mahakama ambao ni IGP, CDF, DGIS, Majaliwa na Mpango?

    Naomba kuuliza ni nini mahakamani iliamua kuhusu hao mashahidi kwenye kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu? Hawa wanatakiwa kufika mahakamani kama mashahidi wa upande wa utetezi kwahiyo ni mashahidi muhimu kwa mshitakiwa. Kuhusu Samia, najua kulikuwa na mvutano, sasa hao wengine mahakama...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kumtongoza Mkuu wa Mkoa, Rais, Waziri, CDF, IGP, au mtu yeyote isipokuwa mtoto sio kosa kisheria wala kimantiki

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Mwanasheria wa Tibeli. Nimesikia kuna Mkuu wa Mko sehemu fulani amesaundishwa. Ametongozwa, amepigwa Vesi na mistari. Kilichotokea aliyefanya jambo hilo amejikuta kwenye matatizo. Kwanza, sidhani kama jambo hilo linaweza kuwa Kweli. Kwa kweli sifikirii. Naona...
  16. mirindimo

    JamiiForums Tanzania SAMIA : MPANDISHE CHEO IGP AWE WAZIRI WA MAMBO YA NDANI HALAFI WAZIRI AWE IGP AU MPELELEZI MAANA ANAFANYAKAZI ZA POLISI

    Yule Waziri anajia work descriptions zake kweli ? Ukute alimwagiza IGP kufanya anachokifanya akagomewa akaona sio kesi afanye hayo mahojiano mwenyewe
  17. McLaren

    JamiiForums Tanzania IGP Wambura: Tunawaomba wananchi wajitokeze kusalimisha silaha haramu walizonazo kwa hiari

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillius Wambura, amezindua kampeni ya msamaha wa usalimishaji wa silaha haramu kwa hiari, 2026 jijini Dodoma, akiwahimiza wananchi kutumia fursa hiyo kusalimisha silaha walizonazo kinyume cha sheria bila hofu. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, IGP...
  18. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Nchimbi kawa mzalendo kuzidi CDF na IGP hongera nchimbi

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kwa maneno ya kijasiri ailyoyasema mbelel ya hadhira kuwa katika vitu vya msingi vya kuungana watanzania kwa faida ya sasa na vizazi vyetu ni kudai katiba mpya kwani katika ya sasa inampa Rais mmlaka makubwa sana ambayo anaweza kufanya chochote kile na hakuna...
  19. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kuna swali moja matata sana litaulizwa kwa mkuu IGP na CDF ikiwa wataamua kwenda mahakamani. Nani aliamuru vijana wapigwe risasi 0ctober 29?.

    Oya siyo poa tusifike huko.
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania IGP Wambura Azindua Call Centre Ya Dawati La Jinsia Na Ulinzi Wa Mtoto

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillus Wambura, leo Julai 31, 2026, amezindua rasmi Call Centre ya Dawati la Jinsia na Ulinzi wa Mtoto wakati wa kufunga Mkutano Mkuu wa Dawati hilo uliofanyika mkoani Dodoma. Call Centre hiyo imeanzishwa ili kuboresha upokeaji na ushughulikiaji wa...
Back
Top Bottom